Utafiti binafsi: Wanawake huwa hawafurahii kufanya mapenzi kama hawako katika siku za kupata ujauzito

Utafiti binafsi: Wanawake huwa hawafurahii kufanya mapenzi kama hawako katika siku za kupata ujauzito

Kuna ukweli mkubwa sana kwenye hili ila tu kusema kuna wakati hawapati nyege kabisa sio kweli wanapata muda wote na hii inategemeana na mood ya wote wawili ila wana siku hizo huwa inazidi wanashindwa kuficha hisia.
Well said
 
Ningependa nikuulize swali eti Mwanamke akijifungua muda gani anatakiwa akae mpaka aje kufanya tendo la ndoa? Maana kuna kauli tunasikia kwamba Mwanamke akishajifungua anatakiwa akae angalau miezi 3 mpaka 6 ndio hamu ya kufanya mapenzi inakuja je kuna ukweli wowote kwenye hili au kama sio kweli ebu tudadavulie
Ni wiki 6 tu ndio wanaita arobaini ya mtoto lakini hiyo ni lugha ya kikubwa sio arobaini ya mtoto ila ni mke kuwa tayari kwa mume wake ila watu wazima zamani kutumia lugha ya stara wakaita arobaini mtoto anatoka tech ni mke kuwa ready.
 
Ni wiki 6 tu ndio wanaita arobaini ya mtoto lakini hiyo ni lugha ya kikubwa sio arobaini ya mtoto ila ni mke kuwa tayari kwa mume wake ila watu wazima zamani kutumia lugha ya stara wakaita arobaini mtoto anatoka tech ni mke kuwa ready.
Kumbe unavumilia siku 40 tuu unarudi kusasambua mbususu...asante kwa taarifa tulikuwa tunapigwa na hawa wake zetu
 
Jarib kufafanua ili uwaelimisha wanaobisha mkuu
Wanajua sana lakini wameamua kubisha.

That is why kama mtu hayuko makini while having sex kwenye danger days ni rahisi kupata mimba..

Aise unakua on heat na unakua na nyege balaa balaa hakuna mfano and the sex is so sweet unlike the other days inakua sweet lakini siyo sana kulinganisha mwanamke akiwa "on heat"
 
Wanajua sana lakini wameamua kubisha.

That is why kama mtu hayuko makini while having sex kwenye danger days ni rahisi kupata mimba..

Aise unakua on heat na unakua na nyege balaa balaa hakuna mfano and the sex is so sweet unlike the other days inakua sweet lakini siyo sana kulinganisha mwanamke akiwa "on heat"
Inshu hapa hisia huwa zipo kila muda sema tu kipindi cha ovulation zinaongezeka ili kumchochea mwanamke ashiriki mapenzi ili abebe ujauzito.

Sio kwamba other days mwanamke hapati hisia za kimapenzi.

Ukiangalia zaidi hapa inakuja ile dhana ya sex ni kwajili ya kuzaana tu sema wanadamu tumei overrate.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajua sana lakini wameamua kubisha.

That is why kama mtu hayuko makini while having sex kwenye danger days ni rahisi kupata mimba..

Aise unakua on heat na unakua na nyege balaa balaa hakuna mfano and the sex is so sweet unlike the other days inakua sweet lakini siyo sana kulinganisha mwanamke akiwa "on heat"
Ahsante Sana mkuu
 
Inshu hapa hisia huwa zipo kila muda sema tu kipindi cha ovulation zinaongezeka ili kumchochea mwanamke ashiriki mapenzi ili abebe ujauzito.

Sio kwamba other days mwanamke hapati hisia za kimapenzi.

Ukiangalia zaidi hapa inakuja ile dhana ya sex ni kwajili ya kuzaana tu sema wanadamu tumei overrate.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujafafanua vzr mkuu
 
Nasisitiza kama mwanaume mbobezi hawezi igiziwa.
Mwanamke akikunwa palepale hujionyesha.
Na utambue kila mwanamke ana vionjo vyake na mlio wake katika kuonyesha kufurahia tendo.
Ila kama hujui mapenzi anaweza kukuigizia.
Rudia Tena kuchunguza
 
Back
Top Bottom