UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Wacha upuuzi wewe umemfanya YESU ni mali yenu wakati kwenye QURAN yanaelezwa maisha ya mama yake mariam
kabla ya YESU na maria mpaka mahali amelelewa kabla ya kumzaa YESU!
Wacha ushabiki wakujifanya unaujua uislamu kaa kimya bwana mdogo ujue kwanza ukristo wako sio kuvamia vitu usivyo vijua "shame on you"

Sote tunajua Isa ni jina la kiarabu
Yesu kwa kiarabu sio Isa ni Yeshu
Naomba uniambie Isa kwa kiswahili ni nini/nani?
 
Wapi Allah kaitwa BABA kwenye Koran?

Hivi Yesu amuite Mungu "BABA" kwa mamlaka gani?


Kwanini Breathless Muhammad hakuwai muita ALLAH "BABA"?





Yesu katumwa na BABA!!, hivi walikutana wapi hawa na kupeana hii kazi? Kwanini Yesu amuite Mungu "BABA" lakini Breathless Muhammad hakuwai kumuita ALLAH BABA?

Hivi ALLAH na yeye ni BABA? Kama Allah si BABA kwanini Waislam wasema Mungu wa Biblia ambaye ni Baba ni yule yule na au ni ALLAH wa Koran ambaye si Baba?

KUMBE ALLAH SI MUNGU.


kabla hujauliza maswali yako ya kitoto, jiulize kitu hapo juu!! NANI ANAUWEZO WA KUMTUMA MUNGU??



YOHANA 5:24
"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.

YOHANA 5:30
"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.

YOHANA 5:36
Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.

YOHANA 5:37
Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.

YOHANA 7:16
Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.

YOHANA 7:28
Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.

YOHANA 7:29
Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma."


YOHANA 7:33
Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.

YOHANA 8:16
Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja nami.

YOHANA 8:18
Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia."

YOHANA 8:26
Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule aliyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."

YOHANA 8:29
Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."

YOHANA 6:38
kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule aliyenituma.

YOHANA 6:39
Na matakwa ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.

YOHANA 12:44
Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma.

YOHANA 12:49
Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.

MATAYO 10:40
"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule aliyenituma.

MARKO 9:37
"Anayempokea mtoto kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule aliyenituma."

LUKA 9:48
akawaambia, "Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."

LUKA 10:16
Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma."

YOHANA 4:34
Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.

YOHANA 9:4
Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yule aliyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.

YOHANA 13:20
Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma."

YOHANA 14:24
Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.

YOHANA 15:21
Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.

YOHANA 16:5
Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?`
 
Wacha upuuzi wewe umemfanya YESU ni mali yenu wakati kwenye QURAN yanaelezwa maisha ya mama yake mariam
kabla ya YESU na maria mpaka mahali amelelewa kabla ya kumzaa YESU!
Wacha ushabiki wakujifanya unaujua uislamu kaa kimya bwana mdogo ujue kwanza ukristo wako sio kuvamia vitu usivyo vijua "shame on you"
haha ndio umeongea nini?Nani kwakuambia Yesu wa kwenye Quran ndio wa Kikristu...Yesu wenu aliumba Ndege na kufua mtoto, Yesu wenu hana Baba ni "Bin Mariam" ..nani kakuambia NI lazima kuwa muislma ndio uujue uislam?Waliouacha nao hawaujui? waliousoma nao hawaujui...?

Mbona ni makelele ya kunyoosha mikono tuu wala huna hoja.
 
Mahusiano ya Waislam na Allah ni ya master slave...ndio maana hawawezi digest Mungu kuwa na Mwana.Wakristu mahusiano yao na Mungu ni special..Baba mwana.
Yaani wewe kweli nimeamini huna akili na kama unazo ni za kuvuka barabara tu usigongwe na gari
unaposema YESU ni mwana wa mungu unamaana MUNGU alitembea na MARIA akapatikana YESU!
"SUBHANALAH"halafu ukiitwa kafiri unakasirika!
 
sijaquote mistari yote ili kurahisisha wenye mobile..nadhani hayafuti mwingine anaweza yasoma hapo juu.

BADO HUJAJIBU NILICHOANDIKA NA UNAZIDI POTOKA...NIMEKUAMBIA HUJAWEZA TOFAUTI WAKATI ANATUMWA NABII NA WAKATI UJUMBE WENYEWE NDIO UMEKUJA ...UMEKWEPE KUJIBU YESU KUWA 'NENO' .."THE WORD"..NENO LA MUNGU NI HAI,NDILO LILILOUMBA DUNIA.NAJUA ULIJUA NINI KINGEKUMALIZA..HATA KTK BIBLIA UNAYOSEMA IMECHAKACHULIWA ILA WAKATI WA KUI QUOTE UPO FASTA KUITUMI KTK UTETEZI.


Fikra za Kiislam hazitoshi kumuelezea Mungu wala Yesu....Yesu alijipambau kws jinsi alivyopenda kwa vile aliamua tumia maneno yaliyofaa zaidi ktk sehemu husika ili kufikisha ujumbe sahihi bila jichanganya..aliwaambia kuwa shahidi wake wa kwanza ni yule aliyemtuma...mwenye NENO ndie anayeweza sema km ni lake, pia kasema waliomuona yeye ndio wamemwoma Mungu, kwa vile aliwambia kuwa anaye Baba na ni yule wa juu, ....

Pia is kweli waislam wana mwabudu allah pekee..zile "..tu..", "Sisi" huku muhamad akitajwa kwa pamoja na allah ni wazi kuwa mnachoabudu si allah kwa umoja wake ila kapu lenye muhamad na mabint i wa allah...akina manat na wengine.

NDIO NIKASEMA NYIE HAMKAWII KUCHAKACHUA ANDIKO KWA MASLAHI YENU!!

UNASEMA..pia kasema waliomuona yeye ndio wamemwoma Mungu..!!!!

NA YESU ANASEMA, YOHANA 5:37
Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.


SASA NANI MUONGO HAPA! WEWE AU YESU??
 
Yaani wewe kweli nimeamini huna akili na kama unazo ni za kuvuka barabara tu usigongwe na gari
unaposema YESU ni mwana wa mungu unamaana MUNGU alitembea na MARIA akapatikana YESU!
"SUBHANALAH"halafu ukiitwa kafiri unakasirika!

Majibu yako haya hapa chini

haha ndio umeongea nini?Nani kwakuambia Yesu wa kwenye Quran ndio wa Kikristu...Yesu wenu aliumba Ndege na kufua mtoto, Yesu wenu hana Baba ni "Bin Mariam" ..nani kakuambia NI lazima kuwa muislma ndio uujue uislam?Waliouacha nao hawaujui? waliousoma nao hawaujui...?

Mbona ni makelele ya kunyoosha mikono tuu wala huna hoja.

Mkiambiwa nyie vilaza mnajaa gesi!!!!!!!
 
Ukristo kote duniani unapewa support na serekali husika bila serekali ukristo ukweli ndiyo huo , et kuna wakristo wajinga
 
nilimwambia mleta maja tangu mwanzo kuwa ametoa majibu mepesi kwa maswali magumu. Sijawahi kuona ripoti ya utafiti ikitolewa kisanii namna hii.
Alichofanya hata mtoto mdogo anaweza, ameandika tu bila kufuata taratibu za utafiti. Alichoandika hakina tofauti na stori za shigongo.
Hebu yalete hapa hayo maswali magumu tuone kama yatakosa majibu, ndipo tuyaite maswali magumu.
 
By Kimbojo<br />
Ungeulizwa source ya data zako, nadhani kwa jibu rahisi ungekimbilia kusema ni utafiti wako mwenyewe. lakini ukienda ndani zaidi ungetuonesha vyanzo halisi na vya kuaminika. Mfano takwimu za wanasiasa jiji la mwanza ulizipataje na ni wapi, na hao wanasiasa ni wa level gani hasa katika swala la kufanya maamuzi. Halikadhalika ungefanya hivyo katika nyanja zingine ulizozitaja. Hii ingeweza kusaidia kujustfy unachojaribu kukiamini. Pia ungeweza kueleza ulijaribi vipi kuzuia bias katika utafiti wako, ungeenda kisayansi ya utafiti zaidi ya hapo. Vinginevyo utafiti wako huu huna tofauti na wanasaiasa wengine.
<br />
<br />
nilimwambia mleta maja tangu mwanzo kuwa ametoa majibu mepesi kwa maswali magumu. Sijawahi kuona ripoti ya utafiti ikitolewa kisanii namna hii.<br />
Alichofanya hata mtoto mdogo anaweza, ameandika tu bila kufuata taratibu za utafiti. Alichoandika hakina tofauti na stori za shigongo.
Ni yapi hayo maswali magumu?
 
Yaani wewe kweli nimeamini huna akili na kama unazo ni za kuvuka barabara tu usigongwe na gari
unaposema YESU ni mwana wa mungu unamaana MUNGU alitembea na MARIA akapatikana YESU!
"SUBHANALAH"halafu ukiitwa kafiri unakasirika!

Tatizo umedandia gari kwa mbele:Walishajibiwa wenzako ..fikra za kiislam si compartible na duni aya leo tena, temba mbaya hata ya zamani..Wapo viumbe wengi tuu wa Mungu hawazai kwa ngono kuanzia mimea hadi backeria...na sayansi nayi imekwenda huko.Kwanini sasa unataka lazima Mungu mwenye uwezo afanye Ngoto ndipo apate mtoto?Huoni unakufuru sana.Kumuunganisha na ngono, halafu kumpunguzia uwezo wake?

Yesu ni Neno la Mungu, THE WORD..neno la Mungu linaumba.....na ndilo limekuwa likumba hii dunia tangu mwanzo...sasa ukitaka badili ili Mungu awe wa maneno mengi basi unayo shida.SOma hata Quran yako halafu ukimaliza kaanze injil ya Yohana..

Pia jichange umlete Baba Wa Yesu.Na usimfanishe na Adam kwa vile adamu alikuw amavumbi na mavumbini atarudi na kubaki vumbi...hadi mwisho ufike.
 
Naomba niwashirikishe waislam walipo idle swali nililomkaribisha nalo ..Matola ktk issue ya Leb`nan

"Karibu tena......Kama imekuwa ngumu ..Naomba jibu hili?
-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?

Naomba majibu yenye ukomavu na si matusi...pengine tutapata majibu ,tuwasaidiaje chochocko ziishe,kwani data zianonyesha kuwa mmependelewa sana ila bado lengo halipo ktk mnachodai na kutangaza.
"


Mwisho hembu mtupe majibu ...kuna mahusiano gani kati ya kugombea kuchinja na issue ya majinn..kuwadai malipo?

cc:Ritz, na wenzako
 
NDIO NIKASEMA NYIE HAMKAWII KUCHAKACHUA ANDIKO KWA MASLAHI YENU!!

UNASEMA..pia kasema waliomuona yeye ndio wamemwoma Mungu..!!!!

NA YESU ANASEMA, YOHANA 5:37
Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.


SASA NANI MUONGO HAPA! WEWE AU YESU??

YOHANA 14:9
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Wewe ni kilaza haswaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
 
Majibu yako haya hapa chini



Mkiambiwa nyie vilaza mnajaa gesi!!!!!!!
Na wewe na huyo kilaza mwenzako Nicholas Sahih International
So eat and drink and be contented. And if you see from among humanity anyone, say, 'Indeed, I have vowed to the Most Merciful abstention, so I will not speak today to [any] man.' "

19:27to top

19_27.png
Sahih International
Then she brought him to her people, carrying him. They said, "O Mary, you have certainly done a thing unprecedented.

19:28to top

19_28.png
Sahih International
O sister of Aaron, your father was not a man of evil, nor was your mother unchaste."

19:29to top

19_29.png



So she pointed to him. They said, "How can we speak to one who is in the cradle a child?"

19:30to top

19_30.png
Sahih International
[Jesus] said, "Indeed, I am the servant of Allah . He has given me the Scripture and made me a prophet.

19:31to top

19_31.png
Sahih International
And He has made me blessed wherever I am and has enjoined upon me prayer and zakah as long as I remain alive

19:32to top

19_32.png
Sahih International
And [made me] dutiful to my mother, and He has not made me a wretched tyrant.

19:33to top

19_33.png
Sahih International
And peace is on me the day I was born and the day I will die and the day I am raised alive."

19:34to top

19_34.png
Sahih International
That is Jesus, the son of Mary - the word of truth about which they are in dispute.

19:35to top

19_35.png
Sahih International
It is not [befitting] for Allah to take a son; exalted is He! When He decrees an affair, He only says to it, "Be," and it is.

19:36to top

19_36.png
Sahih International
[Jesus said], "And indeed, Allah is my Lord and your Lord, so worship Him. That is a straight path."

19:37to top

19_37.png
Sahih International

Then the factions differed [concerning Jesus] from among them, so woe to those who disbelieved - from the scene of a tremendous Day.majiyenu haya hapa
 
Naomba niwashirikishe waislam walipo idle swali nililomkaribisha nalo ..Matola ktk issue ya Leb`nan

"Karibu tena......Kama imekuwa ngumu ..Naomba jibu hili?
-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?

Naomba majibu yenye ukomavu na si matusi...pengine tutapata majibu ,tuwasaidiaje chochocko ziishe,kwani data zianonyesha kuwa mmependelewa sana ila bado lengo halipo ktk mnachodai na kutangaza.
"


Mwisho hembu mtupe majibu ...kuna mahusiano gani kati ya kugombea kuchinja na issue ya majinn..kuwadai malipo?

cc:Ritz, na wenzako

Hahahahaaaahaa daaah nimevunja mbavu sana leo mkuu!

Nasubiri majibu
 
NDIO NIKASEMA NYIE HAMKAWII KUCHAKACHUA ANDIKO KWA MASLAHI YENU!!

UNASEMA..pia kasema waliomuona yeye ndio wamemwoma Mungu..!!!!

NA YESU ANASEMA, YOHANA 5:37
Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.


SASA NANI MUONGO HAPA! WEWE AU YESU??
issue hapa ni wewe hutaki tumia logic au logic yako ni zile mbovu ambazo kuna orho ya ajabu kuwa ina kwepesha vitu ili mzidi tumika mwaga damu....amini nakuambia hata ukiamua zusha kitu hapa JF kesho kanisa litachomwa na watu wanaumia au kufa.Nakuambia tena Shetani anaweza kuwa na haki mbele ya Mungu waislam....hata kujitetea hamtuweza.


Nini sasa kimechakachuliwa?Yesu ni neno la Mungu mwenyewe hapo juu umelte mstari kutok ktk Quran pamoja mapungufu yake imeweza sema hilo ila akili yako inachanganywa na wale viumbe wenu ili usiitambue kweli...nikupe Biblia..
(
[h=3]John 1 :1-5[/h]
1 In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
[SUP]2 [/SUP]The same was in the beginning with God.
[SUP]3 [/SUP]All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
[SUP]4 [/SUP]In him was life; and the life was the light of men.
[SUP]5 [/SUP]And the light shineth in darkness; and the darkness comprehended it not...)



Yesu angeweza pia kusema Mungu ananishuhudia kwa vile yeye ni NENO na anayeweza thibitisha Neno lake ni Aliyelitoa.

Alisema kuwa nayemwona yeye ndiye Kamwona Baba yake ambaye wanafafana.....na akaenda kuwaambia kuwa hawajawahi muona na hivyo wasitake mtumia yeye km Kisingizio.Na kwa vile hamjui Baba wa yesu wamwache yeye awaambie kuhusu huyo Baba yake..Yaani Yesu ndio alikuwa na uhalali wa kumsema Baba ayke mzazi kuliko hata Qurana na Muhamad na waislam wa Leo wanaojifnaya wajuaji wakati wanamwita Bin Mariam...bila aibu wakati hakuna mtoto wa la mrithi wa ktk uislam.

hakuna mwongo hapa ni wehu wako tuu...umechanganya mboga..wale viumbe ni mzigo kwenu na kwa dunia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom