Kule kujiingiza kwa serikali tangu enzi za mwalimu kuvunja jumuia za waislam na kuwa undia na kuwachagulia viongozi mbumbumbu kupitia Bakwata kwa lengo moja tu la kuzuia maendeleo yao .
Na kutofanya hivo kwa wakristo basi ni mfano tosha wa mfumo kuwapo ndani ya utendaji wa serikali
Hayo mengine yote yanaanzia hapo na mada yako ingegusia hili ungepata ukweli
Nimetumia miezi zaidi ya 36 kufanya utafiti huu,Ni mada nzuri. Lakini sitaki niamini kuwa mtafiti unaweza kuhoji watu laki tatu kujua imani zao. Inawezekana pengine sijakuelewa.
Jesus before he died he cryed,''Eloh eloh lam sabak...
(Alah Alah why are u leaving me''.
Jesus beliaved in Allah not jehova.
Eli could be Allah.
EmanuELI=God with us.
AbdALLAH=servant of God.
But.
There is no such a thing as>emanujehova.
Now tell me,WHY ARAB CHRISTIAN BIBLE REFER GOD AS ALLAH?.
Nicholas
Kazi nzuri sana, hongera kwa ujasili wakupambana na maamuma hao wote bila kutetereka!
Tupo nyuma yako tunakusoma kwa utuvu sana kamanda!
utafiti wa mleta mada ni uwongo usiokua na shaka!duka laki 5,kwa siku aliweza tembelea maduka mangapi ndani ya hiyo miaka 3?je ni kweli dar kuna idadi hiyo ya wana siasa?,wakazi wa dar 6m then laki nne wanafanya siasa?
Kwakweli hata mimi nampa hongera sana
Hawa watuni hatari sana
Walikuwa kama wanne hivi lakini kichawa kimoja tu kikawatosha!!!!!!!!!!!!!!!!
Serikali ndio mlezi wa mambo yote yaliyopo nchini,
Mwaka 1982 kulitokea mgogoro katika kanisa la kirokole la TAG kati ya marehemu Mch Moses Kurola na Mch Emanuel Razaro, yalitokea mapigano makali kati ya wafuasi wa pande hizo na mwisho serikali iliingilia kati kwakutuma kikosi kazi cha FFU kilipelekwa na kutumia nguvu kubwa kutuliza vurugu hizo pale Tabora,
Hatimae TAG ilivunjwa na kugawanywa ikazaliwa EAG,
Fikiria hapo wangekuwa ni waislamu leo tungekuwa tunaongea lugha gani?
Mwaka 2012 kanisa la Anglicana lilikuwa na mgogoro mkubwa ulioamuliwa na mahakama (za serikali)
Hapo jiulize iweje serikali inaposaidia kuleta amani katika taasisi hizi za kiroho isemwe kuwa inakandamiza kwa lengo la mfumo kristu??
Hehee wameenda kupumzika watarudi tu,
Mada hii hawawezi kuikwepa kabisa hata chembe
Kumbe hata hujui Dar ina maduka mangapi halafu unakuja kubisha!!!!!!!!!!!!!!
We kweli hamnazo!!!!!
utafiti wa mleta mada ni uwongo usiokua na shaka!duka laki 5,kwa siku aliweza tembelea maduka mangapi ndani ya hiyo miaka 3?je ni kweli dar kuna idadi hiyo ya wana siasa?,wakazi wa dar 6m then laki nne wanafanya siasa?
Fafanua mkuu, nini unachokibisha hapo?Eneo la Kariakoo ambako kunamkusanyiko mkubwa wa wafanyabiashara na biashara zao kulitoa picha stahiki za utafiti wangu,
Kariakoo na viunga vyake pekee nilitembelea maduka 489,125, kati ya hayo 312,568 yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, na maduka 176,500 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Ukristu wakati maduka 57 wamiliki wake ni wa dini nyingine
Rais ni mwisilamu,makamu wa rais ni mwisilamu pia!kwa nini msiwaulize wakija misikitini hayo maswali magumu as you call them?If that is the case hilo linakuwaje kosa la wa kristu walioamua kuboresha huduma za afya na elimu nchini?Na ninyi mlikatazwa kujenga hizo hosipitali ili mpate ruzuku?Mimi nilishafanya kazi ktk mradi waafya vijijini.Katika mkoa wa Ruvuma 60% YA zahanati ni za kanisa....nz zinatoa huduma kwa watu wote bila kujali dini wala jinsia!...hizi lawama pelekeni kwingine!ndomana nikasema mnatoa majibu mepesi kwa maswli magumu. Jiulize, serekali itaendelea kutegemea hizo hosipitali mpaka lini?
Je mpaka leo tangu tupate uhuru, serekali haijaweza kujenga hosipitali zake yenyewe?
Jumla ya ruzuku ilokwisha tolewa ingeweza kujenga hosipitali ngapi bora zaidi ya hizo?
Mbona wanapewa ruzuku na bado wanatoa matibabu kwa gharama kubwa, mf: ni majuzi tu kcmc walipandisha gharama maradufu mpaka mkuu wa mkoa akaingilia kati?
Fikiri nje ya boxi mkuu.
Rais ni mwisilamu,makamu wa rais ni mwisilamu pia!kwa nini msiwaulize wakija misikitini hayo maswali magumu as you call them?If that is the case hilo linakuwaje kosa la wa kristu walioamua kuboresha huduma za afya na elimu nchini?Na ninyi mlikatazwa kujenga hizo hosipitali ili mpate ruzuku?Mimi nilishafanya kazi ktk mradi waafya vijijini.Katika mkoa wa Ruvuma 60% YA zahanati ni za kanisa....nz zinatoa huduma kwa watu wote bila kujali dini wala jinsia!...hizi lawama pelekeni kwingine!