UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Christianity is a religious Roman empire inveted to codify moral law.ROME was not out to christianize the entire world,but merely to secure it,set it up under common laws,banking and trade.
 
Hivi na wewe unatambua kwamba nchi hii kuanzia Mwinyi na Mkapa baba yako wa taifa ndio
alikuwa anatuchagulia! kuna kipindi JK alikuwa anataka kugombea urais baba yako akamwambia
bado hujafikia uwezo huo.

Swali lako la kwanza sio lazima katiba iseme Tanzania kuna mfumo kristo hicho nikitu kiliasisiwa
kupitia mlango wa nyuma na baba yako na ndio maana aliwaweka ndani masheikh wote waliostukia
hiyo issue ya mfumo kristo.

Swali la pili mimi nafikiri hujajua maana ya neno "mfumo kristo" unaweza kuwa unaongozwa na
mfumo kristo pasipo wewe kujua au ukajua lakufanya ukakosa kwahiyo JK nimuislamu lakini
lakufanya hana na ukweli anaujua na chama chako kikichukua 2015 ndio kabisaaaaa tumekwisha

Swali la tatu ofisi za mfumo ziko magogoni lakini watu wengi hawalijui hili na "the founder" ni
ni baba yako wa taifa.
 
After Norman conguest of england,europe began converted to roman christianity.
That was the beginning of Roman laying foundation of the SHADOW GOVERNMENT THAT WOULD RULE THE WORLD.
The problem was,at the same time The islamic religion was spreading steadily and rapidly throughout middle east and much of africa and EVEN PART OF SPAIN.
It was a threat to christianity,a way had to be found to put a stop to islamic religion spread.
 
Christianity is a religious Roman empire inveted to codify moral law.ROME was not out to christianize the entire world,but merely to secure it,set it up under common laws,banking and trade.

Hawa ndio waliandika biblia?

Vipi kuhusu people of the book?
Hawa ni watu gani?
Mbona wametajwa kwenye Quran?
Au nayo ni ya warumi?
 

Haya yalitokea mwaka gani?
 
Hapo kwenye red ni unafiki haikuvunjwa na sio EAG ni EAGT na ilikuwa ni uchaguzi Moses Kolola alishindwa
kwenye uchaguzi na Lazaro hakukubaliana na matokeo ndio akaanzisha kanisa lake la EAGT.

Wacha uongo bwana mdogo mbona huzungumzii yaliyotokea Meru wakigombea dayosisi au walikuwa ni
waislamu wanagombana watu walivyokuwa na roho mbaya wali kata mpaka migomba na kuua ng'ombe
dah kweli nyani haoni .........!
 
Jibu hayo maswali hapo juu!!!!!!

how were they to stop islam then..
Islam being a rival of both christianity and judaism had to be stopped by any means necessary.
The stage was finaly set for the most important part of JULIUS CAESAR'S DIVIDE AND CONGUER PLAN.
Muslim were not to be united,muslim were to be kept weak,muslim were to be costantly fighting each other or invaded.
 
Katika Katiba hiyo nikifungu kipi au namba ngapi kinachosema wazi kuwa Tanzania ni ya mfumo kristu?

Swali lako la kwanza sio lazima katiba iseme Tanzania kuna mfumo kristo hicho nikitu kiliasisiwa
kupitia mlango wa nyuma na baba yako na ndio maana aliwaweka ndani masheikh wote waliostukia
hiyo issue ya mfumo kristo.

2) Nikifungu kipi kinachosema rais anasimamia na watu wa mfumo kristu katika utendaji wake?


Kwa kuongezea tu hapo kuhusu huyu jamaa badala ya kufikiri Yerico hajui maana ya mfumo kristo angesoma mada wala asingesema hayo hapa,hapa chini Yerico akielezea maana ya mfumo kristo:
Kwanza kwa tafsiri ya kawaida ya "mfumo kristu" ni "utaratibu unaotumika kuongoza/kutawala mahali/watu kwa misingi ya dini ya kikristu"

Badala huyu jamaa kupoteza muda kupost mambo yake ya hovyo hapa angetumia muda kuisoma mada akaielewa angejisaidia sana!!!!

3) Ofisi za mfumo kristu zipo wapi katika nchi hii?

Swali la tatu ofisi za mfumo ziko magogoni lakini watu wengi hawalijui hili na "the founder" ni
ni baba yako wa taifa.

Hebu tu-assume huyu jamaa alikuwa anajibu kwa mtiririko huo angalia hapo juu manweza tu kuona matatizo ya akili aliyonayo huyo jamaa!
 
It was time to indocrinate the christian also,for nearly 300 years a total of nine separate holly crusade would indocrinate and then exploit deep and biter rivalries between muslim and christians that REMAIN TO THIS DAY.
 

Hongera sana,

Taifa linahitaji watu kama hawa, hata kama kuna mapungufu lakini umeonyesha njia na wengine sasa waingie mtaani kuusaka ukweli huo
 
Hawa ndio waliandika biblia?

Vipi kuhusu people of the book?
Hawa ni watu gani?
Mbona wametajwa kwenye Quran?
Au nayo ni ya warumi?
Watu wa kitabu ni wale waliokuwa wanatumia torati,injili na zaburi na hivi vitabu sisi hatuvikatai
na ukiona muislamu yoyote anapinga kitabu kimoja wapo katika hivi ujue hajitambui huyo.

Hivyo vitabu vilikuwa ni sahihi lakini wajanja walipokuja wakaamua kuingiza mikono yao ndio
mwenyezi mungu alipoamua kuleta kitabu cha ukweli ambacho hakina shaka ndani yake nacho
ni QURAN ilikuondoa mzozo kati ya hawa wayahudi na manaswara(wakristo).

Kwasababu wayahudi walikuwa wanasema uzzeri ni mwana wa mungu na wakristo wanasema
Yesu ni mwana wa mungu,Wayahudi wakawa wanapinga kwamba haiwezekani Yesu awe ni
mwana wa mungu wakati amezaliwa kwa zinna wakiamini kwamba Yusuf alitembea na Mariam
ndio akapatikana Yesu(Isa)kwahiyo Quran ilikuja kuondoa huu mzozo.
 

sio katika nchi hii tu,ni mfumo uko global.

Jibu maswali hayo ndugu,

Kama ni mfumo uko global, hebu tupatie katiba yake,

Maana hakuna mfumo wa kuongoza usio na Katiba

Haya hapa chini ndio majibu yake!!!!!!!!


Wana JF msishangae hivi ndivyo hawa watu wanavyofikiria!!!!!!!
Badala ya kushighulika na matatizo yao wenyewe ni kulaumu ukristo tu!!!!!!!!
 
Sawa tufanye mm ninamatatizo wewe ambae huna matatizo unalipi la maana uliloandika au kazi yako ni kutoa like kwa wanaume wenzako
 
Watu wa kitabu ni wale waliokuwa wanatumia torati,injili na zaburi na hivi vitabu sisi hatuvikatai
na ukiona muislamu yoyote anapinga kitabu kimoja wapo katika hivi ujue hajitambui huyo.

Viko wapi hivi?


Mungu gani huyo?

[/QUOTE]

Nani amekuambia Yesu ni Isa?
Naomba ushahidi hapa kuwa Yesu kwa kiarabu ni Isa!
 
Sawa tufanye mm ninamatatizo wewe ambae huna matatizo unalipi la maana uliloandika au kazi yako ni kutoa like kwa wanaume wenzako

Kwisha habari yako
Povu linakutoka !!!!!:becky::becky::becky::becky:
 
Hawa ndio waliandika biblia?

Vipi kuhusu people of the book?
Hawa ni watu gani?
Mbona wametajwa kwenye Quran?
Au nayo ni ya warumi?
the bible we have today is not the original,someone tampered with it.
 
Haya hapa chini ndio majibu yake!!!!!!!!



Wana JF msishangae hivi ndivyo hawa watu wanavyofikiria!!!!!!!
Badala ya kushighulika na matatizo yao wenyewe ni kulaumu ukristo tu!!!!!!!!
mpendwa katika yesu punguza papara ndugu,usikimbilie kuponda tu,calm down.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…