UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Ninaiquote pale ninapothibitisha uongo wenu au uongo wa Quran yenyewe
Hapo niliposema kuwa kwenye Quran kuna watu wanoitwa people of the book nilikuwa namwambia huyo mfuasi mwenzako wa mwamedi kutokana na madai yake kuwa Warumi ndio walianzasha ukristo

Mimi sio kama nyie ambao mnaiquote biblia pale mnapotaka ushahidi kuwa inasema kweli lakini pale inapowaruka mnadai eti imechakachuliwa!
Majibu mazuri
 
nilikua naongelea kabla hajafa ,kuna mahali nilisoma mary magdalena ndie aliempaka mafuta,ntaitafuta ili kuona kama niko sawa.

Lakini kumbe kupakwa mafuta haikua bigdeal kihivyo,ni kama vile ilikua ni desturi yao kuwapaka mafuta watu wenye mamlaka.
Mfano king david alikua na hadhi kweli ya kupakwa mafuta na bwana.
King david alikua mzinzi,alimua ur ili aweze kujitwalia mke wake.

hata kiapo si dili kihivi ndio maana JK akaapishwa wakati wabunge, madiwani, mawaziri , mabalozi, mahakimu , wahalifu etc wanaapishwa.....unaweza pima logic yako ambayo haitoshi msaidi hata fisi anayekula kila kitu ku survive msituni.

Mwehu kuapishwa ni kupewa uhalali..kukabidhiwa mamlaka na hivyo kutakiw wajibika kwa kila kitu...
 
-Unakichaa wewe..hakuna kitu unaweza andika sahihi....0.15 kg/tonn/gm au?
-kwani viroba vinapunguza uzito au vinaongeza?Viroba havina uzito..?Hizi ni hesabu za mwaka wa tembo , wa mbwa au wa ngamia....?Angalia usijikute unatukana uislam zaidi ukidhani unanitukana mimi?


Haha..hata hesabu ya urithi ktk Uislam ni wendawazimu kabisa...km elimu ya mangaribi haikuwepo....sijui km kaenda ya kiislam ingekuwepo tena,majina ya mwaka kubase ktk wanyama...sijui mwaka wa Tembo, ngamia etc mngekuwa mmemaliza wanyama wote wa saudi Arabia na miezi kutumia majina, mngejuwa mmemalizia miezi ya shaaban, ramadhani, na wengine wangedai miezi yao.

Tatizo ni elimu yako mangi!!

Mkuu Ritz amekwambia binaadamu ana ubongo ambao uzito wake una average ya 1400 g! Akasema wewe una 0.5!
Halafu unauliza kg au ton!

Teh teh teh teh! Umeshaona hapo nyuma kaandika 1400g halafu unauliza tena!!

Halafu we hujiulizi! Kama wewe ungekuwa na hata 0.5 kg ya ubongo!
We unadhani tungekuwa tunabishana na wewe hapa!

Teh teh teh teh! Unajua nyie wachaga wa kigalatia viti moto mmezidisha sana pale kiboriloni!
Na hivi viti moto vinaathiri sana upeo wa kufikiri kweli mangi!
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kweli utafiti huo umefanywa November 28, 2013?,

Leo September 16, 2013

Wewe kiingereza kinakusumbua sana!
Huyo mwenzako anasema kuna kongamano litakalo fanyika hio tarehe 28/11/2013 ! Huko HEIFA!!

We unauliza "" je! Utafiti umefanywa tarehe 28.11.2013! Wakati leo ni tarehe 16.09.2013??""

We kweli umekwenda shule wewe!?
Au ni makapi tu ya elimu za kata!?

Halafu wewe usie elewa sentensi fupi namna hii ndio utuletee utumbo hapa jukwaani halafu unauita ni UTAFITI??

teh teh teh teh!

Cc Ritz Tayeb
 
Last edited by a moderator:
Elungata unajua shida ya waislam ni kwamba hawana akili ....na hata Arabs wengi tuu wanasema wazi kuwa Arabs wana akili ndogo sana...ila wana ujasiri sana...Huw ampo desperate sana kuchukua vitu vinavyopinga Ukristu....hata kama vinapinga na uislam wenyewe...mojawapo nikakupa mfano wa Theory of Evolution...ulicho copy hujaweza think otherwise..ndio maana umejaribu sana kukufuru illi kutafuta kashfa kwa Kristu..ndio maana dhambi aliyosema Yesu haisameheki...ya kumkufuru Roho Mtakatifu...Muslims do it day and night......yule mwandishi alikuwa akitaka onyesha kuwa hakuwa amevaa zaidi ya nguo aliyofufuka nayo.....na kuonyesha kuwa haikuchukua muda tangu kufufuka na kurudi kwa Yesu....Linen ndio kitambaa kilichotumika kumzika..Pengine hakupata nguo nyingine kwa vile watu walikuwa akiogopa kuwa ni mzimu.
since you beliave someone died for your sin.it makes sense that all of your sin the one you have committedand the one you will commit have already been forgiven.so it is done,you have free ticket to heaven.
So i ask you,why do you care to follow rules and regulations?why do you care about remaining moral and trying to be better?.
Jesus died for everyone sin.,so who are we judging?.
Why do we care whether or not one breaks the law and why do we not break the law as we see fit?
This type of logic is why christian will doom humanity.
How ironic to think that people beliave they had to kill their savior in order to get salvation.
 
Haya ndio.matatizo ya akili.kuambiwa!!
We unaenda kwenye parokia kwa nia ya kuabudu!
Halafu unaambiwa fungua wakolosai 4!
Unafungua..!
Unaambiwa haya soma..!
Unasoma kuwa na bwana mungu akamtoa mwana wake wa peke, ili kulipa deni la dhambi!..!na kwa kafara hio viumbe woote wakasamehewa..!
Unaambiwa funga kitabu tuombe!!
Unafunga..
Halafu mnafunga macho. Mnachangishwa hela..!
Mnaambiwa haya mbarikiwe. Mnarudi nyumbani mkijisifu kuwa ..Duh ibada ya leo kiboko!
YAANI HATA KUJIULIZA ,

JE! HUYU MUNGU ALIKUWA HANA UWEZO WA KUSAMEHE DHAMBI BILA KUMUUA MWANAE?

KAMA KWELI HUYU NDIE YULE MUNGU ALIYEUMBA KILA KITU NA MWENYE MADARAKA YOTE. KWA NINI ASIMWAMBIE MWANAE KUWA BASI MIMI KWA NGUVU ZANGU NA UWEZO WANGU NAWASAMEHE WEWE NA WATU WOTE NA HAKUNA ATAKAE KUFA LEO!!

NA JE! KAMA KWELI WEWE UMESAMEHEWA DHAMBI ZOTE. YA NINI KWENDA KANISANI KILA MARA. TENA UNAKWENDA KUOMBA MSAMAHA??
Tatizo ni kuwa nyie mkiuliza mnaambiwa mna MAPEPO!
SASA MTABAKI AKILI KUAMBIWA MPAKA MWISHO WA DUNIA!
Maskini nawaonea huruma sana!!🙁🙁
kwani hata angesamehe kwa mtoto aliyejiuza ingesaidia nini?nimekujibu sana hii concept il akw avile unakimbilia weka ma vitu ya kunakili ktk internet mnayotumia dunia nzima hukuweza notice..

Wewe mwanao akijiuza na kusaidi mkataba kufanya kazi za kitumwa baada ya kukukimbia na kukukataa..baadaye akajikuta mahali hawezi toka tena..msamaha wao hauwezo tisha mtoa ..msamaha wako utakuwa mwanzo wa wewe kuanza jituma kumfuata kulipa kila deni ili awe huru..

Msamaha wa Mungu haukutosha kumto akumtoa mikoni mwa shetani..ila kumfanya Mungu sasa awe na nia ya kumlipia deni....siku moja msamehe mdogo wako baada ya kula restaurant, halfu utegemee atatoka km hutolipa....halfu hutegemee atatoka.Otherwise uwe haramia na kumtoa kibabe huku mwenye restaurant abaki akiwadai..sasa imagine Mugu adaiwe na Shetani atakuw ana nguvu ya kumhukumu tena?Kwa uislam na ubabe wake ,umewafany amkadhani kw avile mungu basi atoke bila lipa deni la shetani..Hiyo kwenu ni haki.

Ndio maana huwa hamna aibu kudai visivyo haki ktk nchi ,sasa Yericko anawa corner km Wakrostu walivyoanza kataa nyie kuchinja...fasta mkaanza ua kwa vile mlijua hali itakua ngumu sana kupata makafara....
 
kwani hata angesamehe kwa mtoto aliyejiuza ingesaidia nini?nimekujibu sana hii concept il akw avile unakimbilia weka ma vitu ya kunakili ktk internet mnayotumia dunia nzima hukuweza notice..

Wewe mwanao akijiuza na kusaidi mkataba kufanya kazi za kitumwa baada ya kukukimbia na kukukataa..baadaye akajikuta mahali hawezi toka tena..msamaha wao hauwezo tisha mtoa ..msamaha wako utakuwa mwanzo wa wewe kuanza jituma kumfuata kulipa kila deni ili awe huru..

Msamaha wa Mungu haukutosha kumto akumtoa mikoni mwa shetani..ila kumfanya Mungu sasa awe na nia ya kumlipia deni....siku moja msamehe mdogo wako baada ya kula restaurant, halfu utegemee atatoka km hutolipa....halfu hutegemee atatoka.Otherwise uwe haramia na kumtoa kibabe huku mwenye restaurant abaki akiwadai..sasa imagine Mugu adaiwe na Shetani atakuw ana nguvu ya kumhukumu tena?Kwa uislam na ubabe wake ,umewafany amkadhani kw avile mungu basi atoke bila lipa deni la shetani..Hiyo kwenu ni haki.

Ndio maana huwa hamna aibu kudai visivyo haki ktk nchi ,sasa Yericko anawa corner km Wakrostu walivyoanza kataa nyie kuchinja...fasta mkaanza ua kwa vile mlijua hali itakua ngumu sana kupata makafara....

Wewe unafundishwa na imani yako kuwa. Mungu ni muweza wa mambo yote!
Na hupanga mambo yote kabla hayajatokea sio?!
Sasa nikuulize! Kwa mifano yako dhaifu hapo juu. UNAMAANA MUNGU ALIPANGA KUPIGWA MIJELEDI NA KUFA KWENYE MSALABA??
Hebu jibu hapa sasa!
 
haha..waislam kwa kutafuta kila kiushikilie uislam:

Eti uislam ulianzia kwa adamu:As if uislam umekuwa that general....km vile uislam hauna Sifa za msingi ambzo ni nguzo tano+ya sita ya Jihad...Hakuna mtume kabl ya muhamad alifanya hayo....Yesu aende hija mecca?Yesu afunge ramadhani kila usiku akimbizane na futari na kusikiliza azana?


haha:Hivi Ritz na vlaza wengine hembu niambieni:HIvi Yesu ambaye majinn na mashetani mengine yalikuwa yakimkimbia.....angeenda mecca kuhiji kweli waislam ambao dini inawaamuru kuwatambua brotehrs and sisters wa makabila yote ya majinn hiyo hija ingekuweje.?Leo tuu hata wakristtu wasio na chembe ya imani wanawanyima waislam usingizi hadi wanalalamika makanisa yapo mengin wanakosa usingizi na amanii..ingekuweje Masih kuingia Mecca...at the heart of allah black magic..?
 
Goverment of Tanzania pay all the running cost at KCMC.
Kilimanjaro Christian Medical Centre

Runnig Cost nadhani wamongeza ujenzi hata wa ward moja...yaani mtu aje toa msosi ktk nyumba yangu ili apate hifadhi halafu wategemezi wake waje juu. Kuwa huyo mtu ndio kaniwekea mali zangu....

sishangai akli zenu....km mmeweza sema Yesu alikuwa muislam, yaani naye anafuga majinn, yaani naye alikwenda Mecca na majinn ya waislam wengine yakavumilia..............?IPO BIG KAZI
 
haha...alichofanya Yuda ni kugeuza jambo kuwa dili na kuliuza kabla wahusika hawajakinywa kikombe chao.
HOW DID JUDA DIE?.

(a)in mathew 27:5~juda hangs himself.
(b)in act 1:18,he burst open and his inside spill out.
(c)according to the apostle paul neither of the above happened.paul say jesus appeared to''the twelve''after his resurrection.
Mark 14:20 makes it clear that judas was one of the twelve.
Who is telling the truth here?.
 
Yericko Nyerere anaonekana ameanzisha uzi huu kwa nia nzuri, kwa fact nzuri, na kwa namna bora kabisa. Katika bango lake; hakuna mahali alipoidhalilisha wala kuichafua wala kuwatukana watu wa dini yeyote. Hata hivyo kwa jinsi mjadala unavyoendelea, naona kuna watu washaubadilisha na kuufanya ni wakuchafuliana dini na kutukanana na kwa kiasi unaanza kupoteza muelekeo. Sioni kama ipo sababu ya mtu Kumchafua Mtume katika uzi huu, sioni kama ipo sababu ya mtu kumchafua yesu katika uzi huu, sioni kama ipo sababu ya kuwachafua waislam au wakristo katika uzi huu.Wakati fulani tujaribuni kutumia busara za kawaida tu.Ambao mnachafuana humu mnajijua.Ni bora mkiacha. Hakuna mtu anayefurahishwa na mnachokifanya humu hata mmoja.Ni bora mkatoa michango yenu kistaarabu kama uzi wenyewe ulivyo.

Pia ni vyema kwa watu wanajiita wasio na chama, wasio na dini, wasio na JINSIA ..wasio na kabila pia wajitahidi WASIDEMONIZE KIL AMJADALA UNAOINGIZA DINI WAKATI NDIO UNAPUNGUZA TENSION ZINAZOBAN KTK ROHO ZA WATU KW AKIASI CH AKUELETA SHIDA..HIZI THREAD NDIZO ZINA ABSORD KWA KUTENGUA MYSTH NA UHCAFUW ATU WALIOJAZWA KW AKIASI CH AKUJIAMINI KTK UJINGA..


Kwa kujaribu demonize issue ili tuu jirani yako mwislam/mristu akuone kuwa bado ni wake, au boss wako musilam/mkristu asikwazwe ni political correctness ambayo ni mbaya km uovu unaoweza leta shida kwa kutokemewa...waliyoandika hawa jamaa hapa ni mambo yanajadiliwa sana msikitini na kufindishana km challenges na uimara wahoja dhidi ya Wakristu, na mengine sana unayoona hawa jamaa yaanajibiwa ukayona yanafanana na matusi si matusi ndugu yangu ndio maana hawa jamaa hawana cha kujietetea ni vitu vipo ktk maandiko ya kiislam kabisa.na wengi huwa hata aibu wanaona kuyasikia kafiri akiyasema.
 
Naona tufanya hizi kwa wanaotaka jibiwa propaganda dhidi ya Yesu wasome hapa:
Y-Jesus.com

na msirudi tena hapa kwani maswali yenu mengi ynajibiwa hapa...turudi ktk ubunifu wa karne ili kuhalalisha unyonyaji kwa wakristu na pato la taifa.....Yaani Mfumo Kristu....

Sasa mfumo Kristu mbon ahaupo ktk kuchinja?
 
Runnig Cost nadhani wamongeza ujenzi hata wa ward moja...yaani mtu aje toa msosi ktk nyumba yangu ili apate hifadhi halafu wategemezi wake waje juu. Kuwa huyo mtu ndio kaniwekea mali zangu....

sishangai akli zenu....km mmeweza sema Yesu alikuwa muislam, yaani naye anafuga majinn, yaani naye alikwenda Mecca na majinn ya waislam wengine yakavumilia..............?IPO BIG KAZI
the government pay all the running cost not germany,that is very clear.
 
-Unakichaa wewe..hakuna kitu unaweza andika sahihi....0.15 kg/tonn/gm au?
-kwani viroba vinapunguza uzito au vinaongeza?Viroba havina uzito..?Hizi ni hesabu za mwaka wa tembo , wa mbwa au wa ngamia....?Angalia usijikute unatukana uislam zaidi ukidhani unanitukana mimi?


Haha..hata hesabu ya urithi ktk Uislam ni wendawazimu kabisa...km elimu ya mangaribi haikuwepo....sijui km kaenda ya kiislam ingekuwepo tena,majina ya mwaka kubase ktk wanyama...sijui mwaka wa Tembo, ngamia etc mngekuwa mmemaliza wanyama wote wa saudi Arabia na miezi kutumia majina, mngejuwa mmemalizia miezi ya shaaban, ramadhani, na wengine wangedai miezi yao.

Wenda wazimu ni nynyi mnaemu abudu yesu mwana haramu kama wayahudi walivo mtolea njee huyo yesu mnaemuabudu ni mwwana haramu kama mnabisha mtaje bsbake
Ni sawa na nyumbani kwako mkeo anakuzalia toto la kiarabu anakwambia kafana na bibi yake mkumbwa
Na nyie ndio hivo hivo waulizeni mayahudi wanasemaje kuhusu yesu wenu
Sisi tunamjua Issa bin mariam binadamu kazaliwa kwa miujiza kama adam
Lakini yesu wenu ni mwana haramu hana baba mnadanganywa ni mtoto wa mungu astaghafiru lah
Mnaabudu mwwnaharamu alievumbuliwa na paulo nabii Issa hakuwa christo
Wwzungu mabash wenu wametambua uongo mtupu ndio maana huko makanisa yanageuzea misikiti na huko marekani wanaoiga disco kupata wasikilzaji
Na huku africa wanaletewa mazingaombwe ya uchawi kama ya kina power mabula ati nguvu ya yesu
Someni tena historia ya ukristo
Na uliletww afrika kuwatawala milele
Endeleeni kumfanya mwanaharamu asie baba ndio muungu
Issa bin mariam ni tofauti na huo mungu wenu asie baba alieletwa na paulo
 
Yesu Kristo alitambua kuna watu watakuwa wabishi na wasioamini katika Kristo. Yeye alikufa msalabani na kuwaokoa wale waliomwamini Kristo kama Masiha. Kwa hiyo waliomwamini, waliokolewa, na ndiyo walio watakatifu na wamekiti kwa Baba; wakituombea mimi, wewe na yule.

Ili uweze kuwa mfuasi wa Kristo na mwamini wake sasa unapaswa utubu dhambi zako na kumkiri Yeye kuwa ndiye Kristo aliye NJIA, UKWELI na UZIMA. Hayo yanafanyika kwa njia za sala, toba na kufunga.

Haha.hili kwao ni fumbo la gumu kuliko la imani....hembu warahisishie...yaani km unavyohitaji kupata card ya mwaliko ya kuingia ktk harusi..ndivyo unavyohitaji mkubali na kumwamini
 
Mimi naomba nikuulize swali moja hivi Tanzania ikijiunga na OIC nini athari utakaoipata
wewe rastafari nyuma ya pazia la ukristo au ni chuki tu zimejaa mioyono mwenu?

Ni kama mimi nikikuuliza kwanini Mkristu kuchinja iliwapelekea kuua mchungaji hata aliyechinja mnyama wa kuliwa na wakristu...?
 
Nadhani dizaini hii ya malumbano ambayo mmeanza kuyafanya; mwishowe mtaanza kutukanana na mwishowe mtakula ban! au uzi utafungiwa. Ni bora tukajikita kwenye mantiki ya uzi wenyewe.Wakati fulani ukiona mtu anakupeleka kwenye sehemu itakayoleta shida; usikubali kwenda.

naona wewe ndie unashawishi zaidi iwe hivyo kuliko ilivyo
 
Tatizo ni elimu yako mangi!!

Mkuu Ritz amekwambia binaadamu ana ubongo ambao uzito wake una average ya 1400 g! Akasema wewe una 0.5!
Halafu unauliza kg au ton!

Teh teh teh teh! Umeshaona hapo nyuma kaandika 1400g halafu unauliza tena!!

Halafu we hujiulizi! Kama wewe ungekuwa na hata 0.5 kg ya ubongo!
We unadhani tungekuwa tunabishana na wewe hapa!

Teh teh teh teh! Unajua nyie wachaga wa kigalatia viti moto mmezidisha sana pale kiboriloni!
Na hivi viti moto vinaathiri sana upeo wa kufikiri kweli mangi!

ukishakosa kuwa mwaminifu huna thamani kabisa wala kustahili aminiwa.....ulichoandika hukuweka unit, baadaye ukaweka kg, huku ukinilazimisha niangalie g.Kwa ujinga wako hujaon akuwa unaniambia niweke g....yaani 0.5g ndio ubongo wa tembo...by the way Tembo ni intelligence kuliko hata ngamia, na wewe mwenyewe Ritz.Next time ukienda waua jaribu poteza muda wasom hutowaua.....km ilivyo kwa similar creature dolphin baharini ndivyo temba walivyo....wapo human than you Ritz.

hembu compose upya huo uchafu wako ili ueleweke....toa final version.
 
Wewe unafundishwa na imani yako kuwa. Mungu ni muweza wa mambo yote!
Na hupanga mambo yote kabla hayajatokea sio?!
Sasa nikuulize! Kwa mifano yako dhaifu hapo juu. UNAMAANA MUNGU ALIPANGA KUPIGWA MIJELEDI NA KUFA KWENYE MSALABA??
Hebu jibu hapa sasa!

wewe kimeo kweli...kwani kuamua si sehemu ya uwezo wake?Au kuamua kwingine waislam hamjampa ruhusa..?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom