Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Proverbs 18:2Aibu ya nini wakati ,hata ktk copy ya kiswahili tafsiri si km yako...by the waya nasoma copy aliyodhamini king abdullah..kwa jaili ya makafir..yaani ile opy iliyotakswa na kuondolea ugly words.
Sasa kwa akili yako unadhani kiswahili ch aaya nilizoandika ndio uliyoweka?wewe kweli ipo kasoro...slave wa allah..uliyejisalimisha kwa mohamed.
We call our God father..are jealous?Wengi wa waislam wana wivu sana ndio maana wakikaa wanaota mkristu awajibu matusi wakachoem makanisa ili yapungue....haha
Proverbs 28:26Haha...wwe ni mwehu....sas shida yako nini?Yesu aliwataka wanafunzi wake wa shuhudie yote na kwenda kuyatangaza kwa mataifa....Sasa ulitegemea nini?Ulitaka wahubiri wakatai mhubiri mkuu alikuwepo?Ulitaka wakafundishie halafu sehemu Muhimnu ya Kifo na Kufufuk kwa Yesu akashuhudie nani?Km wehu km nyie leo mnapinga walichoshuhudia km hawakushuhudia ingekuweje?Yesua liona mbali kuliko mohamed..ndio maana leo dini yenu ni hapahapa...tena haitakiwi toka mbali nje ya tropics....Mtashindwa funga na kufungua, mtashindwa tiem adhana.
Acehni ujinga nyie....Quran yenyewe yenyewe inasema kuwa imebadilishwa aya baada ya shetani kuweka zake...kwanza Quran haijakamilika..wale jamaa wa Al-Badr waliokwenda ktk vita zenuzisizo na kichwa hadi miguu(Bora tuu majinn yapate damu) walikufa na mistari waliyokariri..HUwa nyie huwa mnasema kifuani sijui kumbukumbu zinakaa kifuani.Ndipo ikapita Amri magaidi wote wakusanyike..kila mtu aanze rudia quran, mwenye mistrari iliyokubalika zaidi ikachukuliwa na kuandika.Zilikuwa copy kibao za quran...ile waliyoona best wakaichukua na kuchoma nyingine.Ndio maana hadi leo waislam ani so distructive,huwa wanachoma kila kitu...Kadanganyane na watumwa/mateka wa mohamed na allah..Wenye akili hawanunui huo ujinga.
Dini kongwe hata bantu union wanasema hivyo,hata freemasons na animists engi wanaamini hivyo..Ila so fara kihistoria wahindi ndio wamekaa muda mrefu....ila Uislam unaanzaia ktk NGUZO 5 +ya 6 ya JIhad(Ugaidi)....otherwise utakuwa umejidanganya sana.Juu hadpo nimewapa majibu ..ila kwa vile mmejisalimisha lazima mkubali upotoshaji ata iwe kifo.
Conclusion ya km ya nyumbu..hakuna Yesu hakuhubiri dini km fikra za kiislam zinavyolazimisha kuamini dini..Injil si dini, na Injil ni Neno ..yesu mwenyewe alikuwa Injil.....kwa nini tena mtu ahitaji dini?
Inaonekana majibu umeyakubali ndio maana unachekacheka na kungata kucha kama msichana aliye kubali lakini anagoma kumalizia kwa kusema sawa.Bla..bla..bla..!
We unatokwa mapovu ovyoo!
Teh teh teh teh!
Onongea weeeeee! Halafu yooote usemayo unayatoa kichwani kwako!!
Sijui shetani ohh damu ...ohh ninafikiri..!
Teh teh teh teh! We mi nadhani una pepo wa nguruwe! Ngoja nimuite yule shangzi yenu pengo akuongeze mwili wa bwana!
God did choose Adm and Noah,the family of Abraham,and the family of Amram above all peopleTuletee kutoka kwenye quran!
waoneeni huruma wagalatia,mtawaumizaNa huyo mmoja alipokufa kwa siku tatu!
Huo utatu bado ulikuwepo??
Na huyo mmoja alipokufa kwa siku tatu!
Huo utatu bado ulikuwepo??
Kifo ni nini? Kifupi ni kuuacha mwili.
haitoshi angefundisha watu kuhusu haki na ufalme wa mungu ilibidi awafundishe kushinda malimwengu na kifo pia.
-----------------------------
John 10:17-18
King James Version (KJV)
17. Therefore doth my Father love me, because I lay down my life, that I might take it again.
18. No man taketh it from me, but I lay it down of myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again. This commandment have I received of my Father.
--------------------
hata kufikia kusema kuna tumaini baada ya kufa. Angeweza kutuambia "Hatma yangu siijui baada ya hapa na yule nabii aliyenitangulia ndiye alama ya kihama" ila alikivaa kifo na kushinda and the scriptures bare record of it.
Hii ni tafsiri yako wewe mgalatia!
Huko sio kuoandikiza chuki BALI NI TAHADHARI.
Sisi HAIWEZEKANI TUKAWA MARAFIKI NA MAKAFIRI!
Trough out the history, toka wakati wa nyerere waislamu wamenyanyaswa saana, wengi wameuwawa na kufungwa bila hatia. Mpaka leo wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa kusudi ktk mfumo kristo! Nafasi serikalini wanapeana wakiristo!
HALAFU UNATAKA SIE BADO TUWE MARAFIKI NA WANAFIKI??
Mungu Aliyajua haya ndio akatutahadharisha na kuwafanya watu kama wewe Rafiki!
Unajifanya muungwana mbele yangu! Nikigeuka unanchoma kisu unaniua!!
Si tunachofanya ni kukaa mbali na washirikana! Baaaas,
Mungu akupe hekima na akili ya kutafuta ukweli na akujaalie utambue ukweli uko wapi akuondoe katika giza la ujinga ulilonalo...
akuondoshee matusi katika ulimi wako...akujalie uwe mtu wa heshima na busara kama alivokua yesu....asietukana watu
Kwahiyo Quraan inasema kuwa nyie mkosoe dini za watu tu sio kuhubiri dini yenu?
si mnafundishwa yesu alijitoa mhanga,ama huelewi maana ya kujitoa mhanga wewe?
Proverbs 28:26
Whoever trusts in his own mind is a fool,but he who walks in wisdom will be delivered
Proverbs 18:2
A FOOL TAKES NO PLEASURE IN UNDERSTANDING ,BUT ONLY EXPRESSING HIS OPINION
Kwanza rekebisha....Amran na Imran ni tofauti....qurani imekosea sana baba wa Maria hadi kumweka na mtu mwingine ktk enzi ya Moses....God did choose Adm and Noah,the family of Abraham,and the family of Amram above all people
-Qur'an,sura 3(The house of imran)ayah 33
Huyo ustadh nimeishamuona sana ktk tv hana lolote zaidi ya huwa anaongea mwenyewe na kujichekesha mwenyewe ktk tv yake. Anadhani anaijua bible. debate wanapangana kujenga hoja eti wanajadili bible na christianity badala ya kuwafundisha waumini wake quran.
Luka
Matayo
Petro
Naomba majina ya baba zao ukinitajia tu naritadi
si mnafundishwa yesu alijitoa mhanga,ama huelewi maana ya kujitoa mhanga wewe?
Rejea hizi tano ni muhimu kwa wanafunzi wahistoria ya siasa Tanzania; na kwa mtafiti yeyote anaetaka kujua chanzo chachuki baina ya Waislam na serikali na chanzo cha hisia kali za kidinizinazoikumba nchi yetu kuanzia miaka ya 1980.
Jan P van Bergen katika kitabu chake, Developmentand Religion in Tanzania, (1981) ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa naoNyerere dhidi ya Uislamu na Waislamu. Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsiNyerere wakati alipokuwa madarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri naviongozi wa Kanisa kuweka mikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyoNyerere aliwahakikishia viongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo. Kitabuhicho kinaeleza jinsi Nyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwakuhakikisha kuwa anawapa Wakristo nafasi za juu katika serikali na chama. Kitabuhiki kilikuwa kikiuzwa Catholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakiniilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwa kitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti nasiri za Kanisa kuhusu njama dhidi ya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa.Hadi hivi sasa kitabu hicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.
Kitabu cha pili ni cha Dr John C. Sivalon, KanisaKatoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (1992). Kitabu hikikinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalon anafichua kuwakuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofumbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamu kati ya Sunni,Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuuya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwa linahofu kuwa maliwalizokuwanazo Waasia Waislamu zikitiwa katika shughuli za Waislamu ambaowalikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukatolikikatika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislamu niadui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislamu ili kuudhoofisha.
Kuna kazi mbili zilizoandikwa na Waislamukuhusu uhusiano baina ya serikali na Waislamu. Kazi ya kwanza ni tasnifu yaKiwanuka, 'The Politics of Islam in Bukoba District' (1973); kazi yapili ni makala ya utafiti 'Islam and Politics in Tanzania' (1989) iliyoandikwana BWANA MOHAMMED SAID mwandishiambaye sasa hivi anaandika kitabu kinachoitwa "Mwalimu Julius K.Nyerere, Kanisa Katoliki na Uislamu: Dola na tatizo la Udini Tanzania"
Halikadhalika ipo 'Kwikima Report' (1968)ambayo imeeleza kwa ufasaha tatizo la EAMWS, chanzo chake na mchango waserikali katika kuhujumu umoja wa Waislamu. Taarifa hii inafaa kutumika leokama dira ya kuelewa tatizo la Waislamu wa Tanzania kama ilivyokuwa wakati uleilipotolewa kwa mara ya kwanza.
The Literature Reviews are the bases inresearch. Unapaswa usome matokeo ya tafiti tofauti zilizoandikwa juu ya kituunachotaka kukitafiti ili upate deep insight ya kitu hicho kabla hujaanzautafiti. Unatakiwa pia ufanye Critical Assessment and Analysis, sio tukukurupuka ukaandika kama mwanafunzi wa darasa la saba. Na tabia yaku stereotypejamii fulani ya watu kuwa hawakwenda shule isipokuwa ninyi tu hilo nikosa, watuwapo na vichwa vyao wametulia tu kwakuwa sifa ya kibri na ya majivuno ni yaMungu tu.
ukimaliza kunywa wakati ukiwa hadhir au sober..