UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Haha ahmend deendan , Zakir nair, na wengine wengi tuu...wamejidanganya sana ktk maisha yao..wametumia nguvu nyingi sana halafu sasa hivi wana perish..wakiuacha uislam ukiwa even uglier.......

ndio nawaambia hawa vilaza hapa hawana life ya generations..watakufa kwa ugonjwa wa moyo na uislam utazidi kuwa more ugly...watakimbiza kuziba matundu hadi pa kuweka viraka pakosekane..Mwalimu wetu Mkuu...Rabbi mkuu Yesu alisema .....Huwezi weka kiraka Kipya ktk Nguo kukuu kwani kitabanduka kw akuichana zaidihiyo nguo..
 

Yesu alituagiza mkitusema na kututukana tuwabariki.

Matthew 5:11-12
New King James Version (NKJV)
11 “Blessed are you when they revile and persecute you, and say all kinds of evil against you falsely for My sake. 12 Rejoice and be exceedingly glad, for great is your reward in heaven, for so they persecuted the prophets who were before you.

---
11.Heri ninyi watu watakapo watukana na kuwatesa na kuwanenea kila neno baya kwa hila kwaajili yangu. 12. Furahini hayo yanapotendeka maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyowatendea manabii waliokuja kabla yenu.
 
hizi ni za chembe na moyo.
 
Nimekukubali wewe ni great thinker,
Utafiti wako ni mzuri ongera sana ndugu.
Ushauri wangu kwa watz wenzangu ni kwamba tutumie tafiti hizi kujenga nchi na siyo
kutumia muda mwingi kueneza chuki.
 

YESU WA KWENYE QURAN SIO YESU WA KWENYE BIBLIA

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.
 

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.
 

Let me give you a piece of advice!
NEVER EVER TAKE EVIDENCE FROM WIKIPEDIA!
Mtu yyt anaweza kuingia kwenye hio website na kufanya edit!
Je! Uliyajua hayo?

Hayo majina yoote uliyotoa HAKUNA HATA MOJA NDANI YA BIBLIA!

SASA UNATAKA KUSEMA UONGO KWA FAIDA YA NANI?

Mi nakuuliza majina ya hao manabii kwenye biblia!
We unaniletea WIKIPEDIA!?
One more time!
NAOMBA UNIPE MAJINA YA PILI YA MANABII HAWA WALIOANDIKA HIZO UNAZOZIITA BARUA KWENYE BIBLIA!!
(KWA KUTUMIA BIBLIA HIO HIO)!!

SIO KAMUSI WALA NOVELS!! WALA HISTORICAL BOOKS!!

Kama huna usione aibu kusema! Manake hata hao walioleta ugalatia kwenu afrika bado hawajapata hayo majina mpaka leo!!

Nasubiri jibu!!
 
Nimekukubali wewe ni great thinker,
Utafiti wako ni mzuri ongera sana ndugu.
Ushauri wangu kwa watz wenzangu ni kwamba tutumie tafiti hizi kujenga nchi na siyo
kutumia muda mwingi kueneza chuki.

Ukikubali kuwa huyu muongo kuwa ni great thinker!
Na wewe unaingia kwenye kundi la wasio na elimu!
Huyu mpiga ripu kaandika utumbo hapa!
Ameulizwa maswali na wasomi kedekede kuhusu huu uongo anaouita ripoti!

Hakuna hata swali moja kalijibu!!

Sasa wewe kabla hujajitia aibu rudia kusoma hizo data zake, halafu piga hesabu taratiiibu , uone sarakasi na utumbo aliouandika humo!

Kumsifu mjinga! Hakumfanyi yule mjinga kuwa mjinga! Ila yule aliyemsifia!
 

Wewe kijana chamtemamoto !
umekuwa ukitaja taja kila mara UKRITO ee UKRISTO oo!

Hebu tusaidie MAANA YA UKRISTO!

AU unaona raha tu kuitwa MKRISTO!

TAFADHALI USINIPE MAANA KUTOKA KICHWANI KWAKO!

NATAKA ANDIKO!

AU WAPI BIBLIA INASEMA" KUWENI WAKRISTO"

Maelezo meengi staki! We nipe andiko tu!

Kwa mfano Sisi waislamu tumeambiwa hivi ktk QURAAN;-

Surat Al maida 5:3

ِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ

This day have I perfected your religion for you and completed My favour unto you, and have chosen for you as religion al-Islam.

Yaani tumeambiwa tuwe WAISLAMU!

Ntakupa dondoo kidogo!

Wafuasi wa Abraham hawakuitwa Abrahamian!

Wafuasi wa moses hawaitwi Mosesian!

Wafuasi wa david hawakuitwa Davidian!

Wafuasi wa Solomon hawakuitwa Solomian!

Na

Wafuasi wa Muhammad s.a.w hawaitwi Muhamadian!

Sasa swali linakuja!

KWA NINI WAFUASI WA JESUS CHRIST WAITWE CHRISTIAN???

AU WAPI WEWE ULIAMBIWA NA ANDIKO LAKO UWE UNAJIITA MKRISTO??

Ukijibu hili swali kwa HAKI! Utakuwa umeinusuru roho yako na moto wa jahannamu!
 
Last edited by a moderator:

Hakuna anaetukana humu zaidi ya hao wenzako Nicholas na Eiyer !

Nimewauliza swali dogo tu!
Sisi waislamu tumeambiwa katika QURAAN kuwa tuwe WAISLAMU!
Na ushahidi wa andiko huu hapa chini!

Quraan Al maida 5:3

ِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ
This day have I perfected your religion for you and completed My favour unto you, and have chosen for you as religion al-ISLAM.

SASA NAOMBA UNIPE ANDIKO KUTOKA KATIKA BIBLIA LINALOSEMA,

KUWENI WAKRISTO, AU JIITENI WAKRISTO! AU DINI YENU NI UKRISTO!
AU IMANI YENU MTAKAYO IFUATA INAITWA UKRISTO.

acheni matusi na kashfa!
Mi naomba andiko tu! Kama nilivyo kuonyesha ushahidi wa andiko kwa upande wangu!
Ahsante ndugu muhubiri!
 
Last edited by a moderator:

Hawa waalimu wawili uliowataja hapo juu!
Wamesilimisha wasiokuwa waislamu si chini ya million 6!! Duniani!
Na bado watu wanasilimu kila siku!
Na nadhani nyote mnayafahamu hayo!
Kwa hivyo wewe kusema hawana chochote ni kuonyesha roho inavyo kupasuka tu!
Na hauna namna ya kuzuia ukweli usionyeshwe!
Wale wagalatia kutoka makao makuu yenu wamefanya kila kampeni kuwanyamazisha lkn wapi!
Yule zakir naik alipewa offer ya kuingia ktk serikali kwa sharti la kunyamaza tu! Lkn kidume anaunguruma bado!
Sasa we ukitaka faida msikilize tu!
We unadhani wale wanaosilimu ni wajinga?

Kama hawa hapa chini!

Hebu wasikilize upate faida kidogo!

Watch "Roman Catholic priest : my journey to Islam ..." on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=w3jntHgqbHY&feature=youtube_gdata_player

Na huyu hapa!

Watch "Atheist Islam-Hater converts to Islam! Funny yet AMAZING story! (with subtitles)" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=9xhZ00xnHIA&feature=youtube_gdata_player


Wameona haki! Na wewe insha Allah nakuombea Mungu akuonyeshe HAKI kabla hujafa hali ya kuwa ni KAFIRI!
 
Toa andiko wacha kutoa kichwani,mimi nakupa maandiko,wewe watoa kichwani.
 
Toa andiko wacha kutoa kichwani,mimi nakupa maandiko,wewe watoa kichwani.

Hilo ndio tatizo kubwa! Kutumia vichwa vyao kujadili na kuamua mambo!

Hawa wangekuwa wanatumia andiko wasingekuwa hapo walipo!

We Nicholas umeombwa utoe andiko!
Kwanini nyie mnakuwa ni wagumu kuelewa kiasi hiki??
Na kama huna andiko si useme tu!
Huyu ustaadh Kikwajuni one yuko hapa kwa ajili ya kukuelimisha hawezi kukuadhibu kama huna andiko!
We sema ukweli tu!
Msema kweli hata Yesu anampenda!
 
Last edited by a moderator:
Yericko Nyerere sijui uliwaza nini kuja na utafiti huu. Tukupongeze lakini lazima tutoe maoni yetu na pia tukuulize
1. Comment: Nadhani ingeleta maana zaidi kama ungeweka hadharani utafiti wote ili watu "wanaobisha" wajiridhishe kama ulifuata taratibu stahiki za kiutafiti
2. Bila shaka utafiti huu ulihusisha Nyaraka kadhaa muhimu za Serikali mojawapo ambayo naamini umeitumia ni "Tanzania Government Directory"/Kitabu cha mawasiliano Serikalini ambapo toleo lake la mwisho ni la 2012. Je katika kitabu hicho, kina watumishi wangapi? na kati ya hao waislamu wangapi na wakristo wangapi?

Hata hivyo, sidhani kama hiyo dhana ya Mfumo Kristu iko katika misingi ya "idadi" kwamba ikitokea 50/50% basi ndio suluhu yake au ikitokea 60/40% au 40/60% Basi ni mfumo kristu au mfumo islam. Nionavyo hakuna kitu hicho ispokuwa kuna athari za kimazingira na makuzi ambazo hazina budi kurekebishwa kiendane na hali halisi kwa sasa ili kuondoa hicho kinachoitwa "mfumo kristu"
 
Kwa hiyo Jesus siyo Yesu,hayo ni matamshi ya majina kutembeana na lugha husika,hata kiswahili,wana matamsi tofauti katka majina.Tukiwaambia hamna elimu,mwaiba veti,na kutafuta vyet fake,mwasema mna elimu.Ikiwa utofauti wa majina kwa lugha mwashindwa kuelewa.Yesu na Jesus,ni watu tofauti?
 
Wataweza kunijibu kwa Andiko,wao wanakubali kama Jesus ndiyo Yesu,lakini wanajifanya haelewi kama Yesu ndio Isa nk.Majina yanabadilika kutegemea na matamshi ya lugha husika.Yote ni kukosa elimu,wanabakia kutafuta vyeti feki.
 
Last edited by a moderator:
Toa andiko wacha kuleta ngonjera.
 
<Kwa hiyo mimi ndio mwandishi wa quran, au hii lugha ni ya kuzimuni aieleweki,

<Nini maana ya makafiri kwa kiswahili?

(EBU WEKA HAPA
USHAIDI WA MADAI
YAKO KAMA SIO DHANA)

ASANTE KWA SWALI ZURI!

NA KWA SABABU UMEOMBA USHAHIDI WA MAANA YA KAFIRI!

MIMI SIKU ZOTE HUPENDA KUTUMIA ANDIKO KAMA USHAHIDI!
SASA TUFUATANE WOTE HAPA CHINI!

QURAN 5:72-7372.

Hakika-wamekufuru-walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!-Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi.
Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.-

TAFSIRI:Wenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu yu katika YESU mwana wa Maryam hata akawa yeye Mungu, kama wasemavyo Wakristo hii leo, hakika wamekufuru!
Yeye Yesu hana dhambi ya haya, kwani hakupata kudai hivyo hata mara moja.

Bali yeye aliwaamrisha Wana wa Israili wamsafie imani Mwenyezi Mungu peke yake kwa kusema: Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba mimi na nyinyi, na ndiye anaye niendeshea mambo yangu yote, na kwamba kila mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu malipo yake ni kuwa hatoingia Peponi kabisa, bali ataingia Motoni, kwa kuwa amekiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuvunja mipaka yake hataepuka na adhabu

.(Yesu kasema: "Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28.

"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )-

Quraan 73.

Kwa hakika-wamekufuru-walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja.-Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale-wanao kufuru.

KWA USHAHIDI HUO HAPO JUU!
YEYOTE MWENYE KUSEMA MUNGU NI UTATU MTAKATIFU AU YESU NI MUNGU!

BASI HUYO NI "KAFIRI"

Ahsante kwa kusoma.
 
Kukosa elimu tamu,Mwakubali Yesu ni Jesus,lakini Yesu si Issa,ni utofauti wa matamshi ya lugha tu,mtu ni yule yule.Jesus in English,Yesu kiswahili,Issa kiarabu.Someni,acheni kununua vyeti.
 
Wataweza kunijibu kwa Andiko,wao wanakubali kama Jesus ndiyo Yesu,lakini wanajifanya haelewi kama Yesu ndio Isa nk.Majina yanabadilika kutegemea na matamshi ya lugha husika.Yote ni kukosa elimu,wanabakia kutafuta vyeti feki.

Teh teh teh teh!
I know bro! I know!
Wanajua wakikubali kuwa Yesu ndio Issa watasilimu woote!

Na Allah alishasema!

..."Wana macho lkn hawaoni"

Ni mabubu viziwi, vipofu na kamwe hawato rejea"..

Amesema kweli Mwenyezi Mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…