UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Huyo ustadh nimeishamuona sana ktk tv hana lolote zaidi ya huwa anaongea mwenyewe na kujichekesha mwenyewe ktk tv yake. Anadhani anaijua bible. debate wanapangana kujenga hoja eti wanajadili bible na christianity badala ya kuwafundisha waumini wake quran.
Haha ahmend deendan , Zakir nair, na wengine wengi tuu...wamejidanganya sana ktk maisha yao..wametumia nguvu nyingi sana halafu sasa hivi wana perish..wakiuacha uislam ukiwa even uglier.......

ndio nawaambia hawa vilaza hapa hawana life ya generations..watakufa kwa ugonjwa wa moyo na uislam utazidi kuwa more ugly...watakimbiza kuziba matundu hadi pa kuweka viraka pakosekane..Mwalimu wetu Mkuu...Rabbi mkuu Yesu alisema .....Huwezi weka kiraka Kipya ktk Nguo kukuu kwani kitabanduka kw akuichana zaidihiyo nguo..
 
sio hana kitu ..unajua kwa dhati analosema na ukweli unakuchoma ndani ya moyo...just kubali...usifanye ubishi....hakuna dini ukristo...kubali mungu sio binadamu...just kubali yesu hawaku msulubu
just kubali dhambi zako ni zako na yesu hatakusaidia kwa dhambi yako na atakukana kwani alikwambia atakuja comforter anakuja nabiii kumalizia alipoacha.....kubali dini yako ime kuwa promoted huko turkey niacea ..
kubali mkutano huo wa niacea ulichukua agizo la mfalme wa roman kuwa ndio liwe canon law...na bishops na madri watao pinga wawe ex communicated...watengwe ...
kubali kwamba padri yule anejificha kichumbani kanisani unapozini na kwenda kungama ati akisema unasemehewa ...yule ndani ya kile kibanda hana lolote hana uwezo wa kusamehe...yeye mwenyewe ni mzinzi.....kwani haruhusiwi kuoa na yeye ni mwana ume rijaal
unajua wazi..kuwa sanamu lile manedhaniwa ni yesu ....na mary sio mwenyewe......yesu hakua mzungu wala mary hakua mzungu..
mnajua wazi kuwa wale waponya vilema ni uongo uso haya,....mnawalipa atu waseme wamepona shame...mnauza utu wenu kwa thamani ndogo ya dunia
someni tena historia...someni vitabu vipo....ujue ukristo..na nini lengo la ukristo africa....utaona ni kuwatawala waafrika milele..kwani ukisha wafanya wakristo watakua wepesi kutawalika......
jitambue.....kabla ya Yesu hajashuka ....kukataa...atakukanusha kua yeye haja wahai kusema kwamba ni mungu..wala hakuwa kusema yeye ni mtoto wa mugu........
usingoje mpaka atakapo kuja na kuyavunja masanamu yenu mnayo mfananisha na yeye..atapokuaj kuvunja misalaba na masanamu yaliyojaa ..kwa jina lake
soma....soma tafuta ukweli ..elimu ni maarifa na haina kikomo....usikae tu kuwa brain washed kanisani ...wao hawatakwambia ukweli wao wanataka wakutawale..wakuendeshe....wakufanye karagosi....
tafuta ukweli usije kusema haukukjia ....

Yesu alituagiza mkitusema na kututukana tuwabariki.

Matthew 5:11-12
New King James Version (NKJV)
11 “Blessed are you when they revile and persecute you, and say all kinds of evil against you falsely for My sake. 12 Rejoice and be exceedingly glad, for great is your reward in heaven, for so they persecuted the prophets who were before you.

---
11.Heri ninyi watu watakapo watukana na kuwatesa na kuwanenea kila neno baya kwa hila kwaajili yangu. 12. Furahini hayo yanapotendeka maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyowatendea manabii waliokuja kabla yenu.
 
haha ahmend deendan , zakir nair, na wengine wengi tuu...wamejidanganya sana ktk maisha yao..wametumia nguvu nyingi sana halafu sasa hivi wana perish..wakiuacha uislam ukiwa even uglier.......

Ndio nawaambia hawa vilaza hapa hawana life ya generations..watakufa kwa ugonjwa wa moyo na uislam utazidi kuwa more ugly...watakimbiza kuziba matundu hadi pa kuweka viraka pakosekane..mwalimu wetu mkuu...rabbi mkuu yesu alisema .....huwezi weka kiraka kipya ktk nguo kukuu kwani kitabanduka kw akuichana zaidihiyo nguo..
hizi ni za chembe na moyo.
 
Nimekukubali wewe ni great thinker,
Utafiti wako ni mzuri ongera sana ndugu.
Ushauri wangu kwa watz wenzangu ni kwamba tutumie tafiti hizi kujenga nchi na siyo
kutumia muda mwingi kueneza chuki.
 
dini yetu ndio inatufundisha hivyo kuweka sawa uondo ulo enezwa dhidi ya Yesu...ametajwa ndani ya Quraan hivyo kusema na kufanya utafiti na kuanisha ukweli juu ya ibada hii ya kuabudu binaadamu na kuabudu masanamu ni amrisho....
hatuhangaiki bali tunafanya tulivo amrishwa kuwa onyesha mwanga ....kuwambia mnakosea....njooni katika njia iliyo nyooka

YESU WA KWENYE QURAN SIO YESU WA KWENYE BIBLIA

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.
 
dini yetu ndio inatufundisha hivyo kuweka sawa uondo ulo enezwa dhidi ya Yesu...ametajwa ndani ya Quraan hivyo kusema na kufanya utafiti na kuanisha ukweli juu ya ibada hii ya kuabudu binaadamu na kuabudu masanamu ni amrisho....
hatuhangaiki bali tunafanya tulivo amrishwa kuwa onyesha mwanga ....kuwambia mnakosea....njooni katika njia iliyo nyooka

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.
 
Quote me the Qur'an I want the Moses of quran. Kama Una quote bible it means unaiamin ila kwa sehemu au na Kosea.
You're out of context already Yaani nyie watu mnatafuta ligi tu basi. Hakuna lolote. All the while mna quote bible. Mzozo hapo awali ulikuwa kwanini vitabu vya injili vina majina kifupi bila ubini. tukauliza ubini wa Musa mbona hautajwi mara zote? sote tunamjua Musa wa torati sio kwamba hana baba kumtaja Musa na ubini wake kila saa wala haina maana. sio kwamba sijui ana ubini, kwa sababu hiyo bible hadi kuna kitabu cha hesabu tupu za mbari ya wa Israel wote. Soma hesabu - do your homework.


Majibu yako. Haya
----------
Source Wikipedia - saint Matthew.
Early life

Matthew was a 1st-century Galilean (presumably born in Galilee, which was not part of Judea or the Roman Iudaea province) and the son of Alphas.

---------------
Saint Peter (Latin: Petrus, Greek: Πέτρος-Petros; died AD 64 or 67[3]), also known as Simon Peter,
**Aliitwa Simon Peter.

---------
John the Apostle (Aramaic Yoħanna, Koine Greek Ἰωάννη&#962😉 (c. AD 6 – c. 100) was one of the Twelve Apostles of Jesus according to The Bible. He was the son of Zebedee and Salome and brother of James, son of Zebedee,

Do your homework.

Let me give you a piece of advice!
NEVER EVER TAKE EVIDENCE FROM WIKIPEDIA!
Mtu yyt anaweza kuingia kwenye hio website na kufanya edit!
Je! Uliyajua hayo?

Hayo majina yoote uliyotoa HAKUNA HATA MOJA NDANI YA BIBLIA!

SASA UNATAKA KUSEMA UONGO KWA FAIDA YA NANI?

Mi nakuuliza majina ya hao manabii kwenye biblia!
We unaniletea WIKIPEDIA!?
One more time!
NAOMBA UNIPE MAJINA YA PILI YA MANABII HAWA WALIOANDIKA HIZO UNAZOZIITA BARUA KWENYE BIBLIA!!
(KWA KUTUMIA BIBLIA HIO HIO)!!

SIO KAMUSI WALA NOVELS!! WALA HISTORICAL BOOKS!!

Kama huna usione aibu kusema! Manake hata hao walioleta ugalatia kwenu afrika bado hawajapata hayo majina mpaka leo!!

Nasubiri jibu!!
 
Nimekukubali wewe ni great thinker,
Utafiti wako ni mzuri ongera sana ndugu.
Ushauri wangu kwa watz wenzangu ni kwamba tutumie tafiti hizi kujenga nchi na siyo
kutumia muda mwingi kueneza chuki.

Ukikubali kuwa huyu muongo kuwa ni great thinker!
Na wewe unaingia kwenye kundi la wasio na elimu!
Huyu mpiga ripu kaandika utumbo hapa!
Ameulizwa maswali na wasomi kedekede kuhusu huu uongo anaouita ripoti!

Hakuna hata swali moja kalijibu!!

Sasa wewe kabla hujajitia aibu rudia kusoma hizo data zake, halafu piga hesabu taratiiibu , uone sarakasi na utumbo aliouandika humo!

Kumsifu mjinga! Hakumfanyi yule mjinga kuwa mjinga! Ila yule aliyemsifia!
 
YESU WA KWENYE QURAN SIO YESU WA KWENYE BIBLIA

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa WAKRISTO
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na UKRISTO.

Wewe kijana chamtemamoto !
umekuwa ukitaja taja kila mara UKRITO ee UKRISTO oo!

Hebu tusaidie MAANA YA UKRISTO!

AU unaona raha tu kuitwa MKRISTO!

TAFADHALI USINIPE MAANA KUTOKA KICHWANI KWAKO!

NATAKA ANDIKO!

AU WAPI BIBLIA INASEMA" KUWENI WAKRISTO"

Maelezo meengi staki! We nipe andiko tu!

Kwa mfano Sisi waislamu tumeambiwa hivi ktk QURAAN;-

Surat Al maida 5:3

ِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ

This day have I perfected your religion for you and completed My favour unto you, and have chosen for you as religion al-Islam.

Yaani tumeambiwa tuwe WAISLAMU!

Ntakupa dondoo kidogo!

Wafuasi wa Abraham hawakuitwa Abrahamian!

Wafuasi wa moses hawaitwi Mosesian!

Wafuasi wa david hawakuitwa Davidian!

Wafuasi wa Solomon hawakuitwa Solomian!

Na

Wafuasi wa Muhammad s.a.w hawaitwi Muhamadian!

Sasa swali linakuja!

KWA NINI WAFUASI WA JESUS CHRIST WAITWE CHRISTIAN???

AU WAPI WEWE ULIAMBIWA NA ANDIKO LAKO UWE UNAJIITA MKRISTO??

Ukijibu hili swali kwa HAKI! Utakuwa umeinusuru roho yako na moto wa jahannamu!
 
Last edited by a moderator:
Yesu alituagiza mkitusema na kututukana tuwabariki.

Matthew 5:11-12
New King James Version (NKJV)
11 “Blessed are you when they revile and persecute you, and say all kinds of evil against you falsely for My sake. 12 Rejoice and be exceedingly glad, for great is your reward in heaven, for so they persecuted the prophets who were before you.

---
11.Heri ninyi watu watakapo watukana na kuwatesa na kuwanenea kila neno baya kwa hila kwaajili yangu. 12. Furahini hayo yanapotendeka maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyowatendea manabii waliokuja kabla yenu.

Hakuna anaetukana humu zaidi ya hao wenzako Nicholas na Eiyer !

Nimewauliza swali dogo tu!
Sisi waislamu tumeambiwa katika QURAAN kuwa tuwe WAISLAMU!
Na ushahidi wa andiko huu hapa chini!

Quraan Al maida 5:3

ِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ
This day have I perfected your religion for you and completed My favour unto you, and have chosen for you as religion al-ISLAM.

SASA NAOMBA UNIPE ANDIKO KUTOKA KATIKA BIBLIA LINALOSEMA,

KUWENI WAKRISTO, AU JIITENI WAKRISTO! AU DINI YENU NI UKRISTO!
AU IMANI YENU MTAKAYO IFUATA INAITWA UKRISTO.

acheni matusi na kashfa!
Mi naomba andiko tu! Kama nilivyo kuonyesha ushahidi wa andiko kwa upande wangu!
Ahsante ndugu muhubiri!
 
Last edited by a moderator:
Haha ahmend deendan , Zakir nair, na wengine wengi tuu...wamejidanganya sana ktk maisha yao..wametumia nguvu nyingi sana halafu sasa hivi wana perish..wakiuacha uislam ukiwa even uglier.......

ndio nawaambia hawa vilaza hapa hawana life ya generations..watakufa kwa ugonjwa wa moyo na uislam utazidi kuwa more ugly...watakimbiza kuziba matundu hadi pa kuweka viraka pakosekane..Mwalimu wetu Mkuu...Rabbi mkuu Yesu alisema .....Huwezi weka kiraka Kipya ktk Nguo kukuu kwani kitabanduka kw akuichana zaidihiyo nguo..

Hawa waalimu wawili uliowataja hapo juu!
Wamesilimisha wasiokuwa waislamu si chini ya million 6!! Duniani!
Na bado watu wanasilimu kila siku!
Na nadhani nyote mnayafahamu hayo!
Kwa hivyo wewe kusema hawana chochote ni kuonyesha roho inavyo kupasuka tu!
Na hauna namna ya kuzuia ukweli usionyeshwe!
Wale wagalatia kutoka makao makuu yenu wamefanya kila kampeni kuwanyamazisha lkn wapi!
Yule zakir naik alipewa offer ya kuingia ktk serikali kwa sharti la kunyamaza tu! Lkn kidume anaunguruma bado!
Sasa we ukitaka faida msikilize tu!
We unadhani wale wanaosilimu ni wajinga?

Kama hawa hapa chini!

Hebu wasikilize upate faida kidogo!

Watch "Roman Catholic priest : my journey to Islam ..." on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=w3jntHgqbHY&feature=youtube_gdata_player

Na huyu hapa!

Watch "Atheist Islam-Hater converts to Islam! Funny yet AMAZING story! (with subtitles)" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=9xhZ00xnHIA&feature=youtube_gdata_player


Wameona haki! Na wewe insha Allah nakuombea Mungu akuonyeshe HAKI kabla hujafa hali ya kuwa ni KAFIRI!
 
Haha..who is more foolish..?Kumbe unajua Bible is a treasure ..mnapoteza muda na uchawi, mnapoteza mud ana ugaidi, mnamtukuza shetani, mnalazimisha the Injil kuwa ilichakachuliwa wkaati Al-Kitab haisemi hivyo..

Baada ya kuminywa sana ndio mnakimbilia ktk "Habari Njema" kupata shelter...hata muhamad alikimbilia Ethiopia Kwa wakristu kupata hifadhi..leo wanalia kwa uazao wa magaidi..sijawahi sikia Muislam akiapa ilinda Ethiopia..instead wanaaa kuiangamiza..., hata waislam waliopo sehemu mbalimbalia duniani hali ikiwa mbaya ..wanakimbilia nchi zilizojengwa na Ukristu...halafu wakifika huko wanakwenda na ushenzi uliowakimbiza huku wakitaka na hizo nchi ziwe km walizokimbia ili watoto wao nao wakimbie tena(huo ndio uislam)...hata Kelele za Bakwata na wengine njaa ikiwauma wanakwenda lilia serikali iwasaidie bila kujali ni kodi ya pombe....

Sasa nanyi mnaleta biashara ya kitimoto ...kuliwa wakati unakaribia kura ili KITIMOTO KIWE MWOKOZI...muslim believe in an awkward theologies..Mnakimbilia Biblia mliyoitusi sana iwakomboe....poleni sana.

Ndio mnajiita mmeona mwanga..waliona mwanaga huona suluhisho kupitia huo mwanga.....ila nyie pe....ewww
Toa andiko wacha kutoa kichwani,mimi nakupa maandiko,wewe watoa kichwani.
 
Toa andiko wacha kutoa kichwani,mimi nakupa maandiko,wewe watoa kichwani.

Hilo ndio tatizo kubwa! Kutumia vichwa vyao kujadili na kuamua mambo!

Hawa wangekuwa wanatumia andiko wasingekuwa hapo walipo!

We Nicholas umeombwa utoe andiko!
Kwanini nyie mnakuwa ni wagumu kuelewa kiasi hiki??
Na kama huna andiko si useme tu!
Huyu ustaadh Kikwajuni one yuko hapa kwa ajili ya kukuelimisha hawezi kukuadhibu kama huna andiko!
We sema ukweli tu!
Msema kweli hata Yesu anampenda!
 
Last edited by a moderator:
Yericko Nyerere sijui uliwaza nini kuja na utafiti huu. Tukupongeze lakini lazima tutoe maoni yetu na pia tukuulize
1. Comment: Nadhani ingeleta maana zaidi kama ungeweka hadharani utafiti wote ili watu "wanaobisha" wajiridhishe kama ulifuata taratibu stahiki za kiutafiti
2. Bila shaka utafiti huu ulihusisha Nyaraka kadhaa muhimu za Serikali mojawapo ambayo naamini umeitumia ni "Tanzania Government Directory"/Kitabu cha mawasiliano Serikalini ambapo toleo lake la mwisho ni la 2012. Je katika kitabu hicho, kina watumishi wangapi? na kati ya hao waislamu wangapi na wakristo wangapi?

Hata hivyo, sidhani kama hiyo dhana ya Mfumo Kristu iko katika misingi ya "idadi" kwamba ikitokea 50/50% basi ndio suluhu yake au ikitokea 60/40% au 40/60% Basi ni mfumo kristu au mfumo islam. Nionavyo hakuna kitu hicho ispokuwa kuna athari za kimazingira na makuzi ambazo hazina budi kurekebishwa kiendane na hali halisi kwa sasa ili kuondoa hicho kinachoitwa "mfumo kristu"
 
Kwanza rekebisha....Amran na Imran ni tofauti....qurani imekosea sana baba wa Maria hadi kumweka na mtu mwingine ktk enzi ya Moses....
And never the house of Abdullah......sasa kwanini hamkubali wao kuwapita..?Kweli wewe ni -------- wa mwisho kabisa..huu mstari ningeuleta ungeukataa......sasa umeuleta mwenyewe.....mbona hujaweka wa Nyumba ya baba wa Mohamed Abdullah...?

The other funny thing ...waislam msivyo na akili....Wakai muhamadi akijisuf kuwa ndie muislam wa kwanza na nyie mkijidai kuwa ulikuwepo tangu mwanzo......Abdu/Abdi-Slave of.....Allah-god of pagan arab(god of al kabah)... kuran na nguzo za uislam zilikuja na muhamad wakati babake tayari alishpewa jina la Abdallah na wapagan wenzie.Huwa hamtumii sana akili hadi mtakapoambiwa ndipo mnajituma kudanganya kwa maswali ya dini..sas dhambi gani hamjui ktk dini yenu?Kuua, uchwi-ushirikina, kuua, uzinzi..kupitia ndoa za fasta za emergency(mkataba mfupi-hazina tofauti na kununu malaya kwa makubaliano ya kumalizia kwa muda fulani-Muttah).. bado mnakufa kusafisha uchafu kuliko kuuacha.
Kwa hiyo Jesus siyo Yesu,hayo ni matamshi ya majina kutembeana na lugha husika,hata kiswahili,wana matamsi tofauti katka majina.Tukiwaambia hamna elimu,mwaiba veti,na kutafuta vyet fake,mwasema mna elimu.Ikiwa utofauti wa majina kwa lugha mwashindwa kuelewa.Yesu na Jesus,ni watu tofauti?
 
Hilo ndio tatizo kubwa! Kutumia vichwa vyao kujadili na kuamua mambo!

Hawa wangekuwa wanatumia andiko wasingekuwa hapo walipo!

We Nicholas umeombwa utoe andiko!
Kwanini nyie mnakuwa ni wagumu kuelewa kiasi hiki??
Na kama huna andiko si useme tu!
Huyu ustaadh Kikwajuni one yuko hapa kwa ajili ya kukuelimisha hawezi kukuadhibu kama huna andiko!
We sema ukweli tu!
Msema kweli hata Yesu anampenda!
Wataweza kunijibu kwa Andiko,wao wanakubali kama Jesus ndiyo Yesu,lakini wanajifanya haelewi kama Yesu ndio Isa nk.Majina yanabadilika kutegemea na matamshi ya lugha husika.Yote ni kukosa elimu,wanabakia kutafuta vyeti feki.
 
Last edited by a moderator:
Boys hakuna slave ambaye ana furaha..muslim wote ni abdallah....slaves of allah...tofauti na CHristians watoto wa Mungu wapo happy....muhamad aliwalaumu wakristu kuwa lifist na wenye maringo..aliwalaumu kwa kuwa wachoyo wa Injil .....
Hat hapa vijana wapo too boring with their fiddled minds..I think sihitaji hata kujadili nao kitu....ni aibu kuendelea poteza muda na hawa true slaves...sasa km wana surfer rejection ya ishmaeli, halafu dini yao pia inawatoment tena kw akuwaita slaves, halafu pia kuwafanya miserable..aisha aliwahi muuliza muhamadi kwani waumini wapo so miserable...ni wazi hawaja jamaa hawawezi badili mawimbi wala muelekeo wa jua.

Muhamad alikuwa na unique ways ya ku dela na vitu alivyovitamani kakosa, au kutaka wengine wasipate....Toys ni reserved kwa Aisha..baadaye ndio basi, muhamad wake zake hawakuatakiwa olewa mohamed akifa, mohamed ka introduce kunyw amikojo kwa mfano wake wa kijinga..kuwa watu wenye njaa walikuja wakapewa jukumu la kunywa maziwa na mkojo ,muna si mrefu wakanenepa sana....waislam kwa ujinga wakadhani kuwa walinenepa kwa mkojo na si maziwa. mkojo ulikuwa ni tabiaya waarabu ya uchoyo na roho mbaya ili wale vibarua walioomba chakula wakaishia tumikishwa na kupewa uchafu..ila kwa vile maziwa yalizidi nguvu bado wale watu afya yao haikuharibika..ila kinachonyesha kuwa walikuwa mistreated sana.Waliwaua ngamia wote na kukimbia ingawa baadae waliuwawa.Waislam wakatafsiri wrong sasa wanakunywa mikonjo wakiita dawa..ucahfu wa mkojo kuurudisha ktk ini, na figo kwa mkupuo unaweza haribu kabisa.....muhamad alidhani anaweza duplicate mfano wa mtoto wa mwenye shamba aliyeuwawa na wafanyakazi ili asiridhi shamba..na baadae mwenye shamba kuja kwa shari..kumbe kaishia semam ubaya wa waaarabu..

Ritz, mbokaleo,crabat...na wengine.... aliyejichagulia avator kubwa km ya muethiopia laiyegundua kahawa km kinywaji..baadae waislam wakajumlisha ktk uislam ili kuupaka rangi.......i think sasa mnaleta uvundo tuu..sina haja tena ya kujibizana na ..BSV..
Toa andiko wacha kuleta ngonjera.
 
<Kwa hiyo mimi ndio mwandishi wa quran, au hii lugha ni ya kuzimuni aieleweki,

<Nini maana ya makafiri kwa kiswahili?

(EBU WEKA HAPA
USHAIDI WA MADAI
YAKO KAMA SIO DHANA)

ASANTE KWA SWALI ZURI!

NA KWA SABABU UMEOMBA USHAHIDI WA MAANA YA KAFIRI!

MIMI SIKU ZOTE HUPENDA KUTUMIA ANDIKO KAMA USHAHIDI!
SASA TUFUATANE WOTE HAPA CHINI!

QURAN 5:72-7372.

Hakika-wamekufuru-walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!-Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi.
Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.-

TAFSIRI:Wenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu yu katika YESU mwana wa Maryam hata akawa yeye Mungu, kama wasemavyo Wakristo hii leo, hakika wamekufuru!
Yeye Yesu hana dhambi ya haya, kwani hakupata kudai hivyo hata mara moja.

Bali yeye aliwaamrisha Wana wa Israili wamsafie imani Mwenyezi Mungu peke yake kwa kusema: Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba mimi na nyinyi, na ndiye anaye niendeshea mambo yangu yote, na kwamba kila mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu malipo yake ni kuwa hatoingia Peponi kabisa, bali ataingia Motoni, kwa kuwa amekiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuvunja mipaka yake hataepuka na adhabu

.(Yesu kasema: "Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28.

"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )-

Quraan 73.

Kwa hakika-wamekufuru-walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja.-Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale-wanao kufuru.

KWA USHAHIDI HUO HAPO JUU!
YEYOTE MWENYE KUSEMA MUNGU NI UTATU MTAKATIFU AU YESU NI MUNGU!

BASI HUYO NI "KAFIRI"

Ahsante kwa kusoma.
 
YESU WA KWENYE QURAN SIO YESU WA KWENYE BIBLIA

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.
Kukosa elimu tamu,Mwakubali Yesu ni Jesus,lakini Yesu si Issa,ni utofauti wa matamshi ya lugha tu,mtu ni yule yule.Jesus in English,Yesu kiswahili,Issa kiarabu.Someni,acheni kununua vyeti.
 
Wataweza kunijibu kwa Andiko,wao wanakubali kama Jesus ndiyo Yesu,lakini wanajifanya haelewi kama Yesu ndio Isa nk.Majina yanabadilika kutegemea na matamshi ya lugha husika.Yote ni kukosa elimu,wanabakia kutafuta vyeti feki.

Teh teh teh teh!
I know bro! I know!
Wanajua wakikubali kuwa Yesu ndio Issa watasilimu woote!

Na Allah alishasema!

..."Wana macho lkn hawaoni"

Ni mabubu viziwi, vipofu na kamwe hawato rejea"..

Amesema kweli Mwenyezi Mungu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom