UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Kukosa ilimu tamu,Mwakubali Yesu ni Jesus,lakini Yesu si Issa,ni utofauti wa matamshi ya lugha tu,mtu ni yule yule.Jesus in English,Yesu kiswahili,Issa kiarabu.Someni,acheni kununua vyeti.

Sawa kabisa huyu mjinga Nicholas na wenzake wanajitoa ufahamu eti Yesu sio Isa lakini ni jesus yote ni chuki zimejaa mioyoni mwao
 

Sasa mbona munasema Yesu sio Isa kijana usidandie gari kwa mbele utaimbiwa "simbali karibuuu" lakini sio makosa yako huruhusiwi kuhoji kitu church na ukiuliza swali church utaambiwa kijana una pepo mbaya munapelekwa kibubusa biblia inasema musihojihojiii shindwaaa pepo:banghead::banghead:
 
Kwa mtu mwenye upeo na fikra pana, ukisoma kwa umakini maandishi ya Jan P van Bergen na John Sivalon utaona kuwa tafiti zao zilikuwa sahihi katika mapito ya Tanzania toka mikono ya Mkoloni, mikono ya Julius Nyerere na mwangaza mpya wa Tanzania hii tuionayo leo,

Tofauti na uhalisia huo, Waislamu wametohoa tafsiri yakuwa Mwalimu Nyerere ndie creator wa mfumo, kumbe alikuwa ndie destroyer
 

Ivi mbona unaishi kwa kuunga unga,hakiri yako inakutuma tena utafutiwe na kitabu 'kwa nini wafuasi wa yesu kua christian wrong kwa kua hapakua wa ibrahamian?'.YESU NA ABRAHAM NI SAWA KWA HAKILI YAKO?..
 
Last edited by a moderator:

Ivi mbona unaishi kwa kuunga unga,hakiri yako inakutuma tena utafutiwe na kitabu 'kwa nini wafuasi wa yesu kua christian was wrong kwa kua hapakua wa ibrahamian?'.YESU NA ABRAHAM NI SAWA KWA HAKILI YAKO?..
 
Last edited by a moderator:
Ivi mbona unaishi kwa kuunga unga,hakiri yako inakutuma tena utafutiwe na kitabu 'kwa nini wafuasi wa yesu kua christian wrong kwa kua hapakua wa ibrahamian?'.YESU NA ABRAHAM NI SAWA KWA HAKILI YAKO?..

Ndugu nilikuwa naomba uongee kiswahili!
Kwa kweli sijakuelewa kabisa! Huenda ikawa una point muhimu unataka kuongea!
Hebu take a deep breath halafu anza tena upya kuandika!
Nakusubiri, tartibu dr usifanye haraka!
 

Teh teh teh teh!

Umenivunja mbavu kufukuza pepo kwa keybord!

We Boko haram kiboko ya huyu mgalatia!

Kwi kwi kwi kwi! Bro you made my jumaa!
Bless you!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh te! Ubongo wa tembo 0.15. umebakia kuropoka tu bila ushahidi wa maandiko.

Umekasirika tayari na akili imehama na umepata upenyo wa kukimbia mjadala uliouanzisha unamuacha na ukiwa Yericko, hauna hamu tena hakutegemea kukutana na hivi vichwa mbokaleo, Kikwajuni one, kimbia kamanda nenda kwenye uzi za Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh te! Ubongo wa tembo 0.15. umebakia kuropoka tu bila ushahidi wa maandiko.

Umekasirika tayari na akili imehama na umepata upenyo wa kukimbia mjadala uliouanzisha unamuacha na ukiwa Yericko, hauna hamu tena hakutegemea kukutana na hivi vichwa mbokaleo, Kikwajuni one, kimbia kamanda nenda kwenye uzi za Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Ivi mbona unaishi kwa kuunga unga,hakiri yako inakutuma tena utafutiwe na kitabu 'kwa nini wafuasi wa yesu kua christian was wrong kwa kua hapakua wa ibrahamian?'.YESU NA ABRAHAM NI SAWA KWA HAKILI YAKO?..
Teh teh teh!! Huyu ubongo wake utakuwa kama wa kungunguni. 0.1g hana analolifahamu, kamanda naomba nikuulize HAKIRI ni nini?
 
Halafu ukiitwa kauzu unakasirika ww si ulikuwa unapinga kitabu cha padri Sivallon leo unakikubali huna tofauti na mtu aliyejipaka kinyesi halafu akajipulizia perfume mara anukie vizuri mara vibaya!!!
 
Teh teh teh teh!

Umenivunja mbavu kufukuza pepo kwa keybord!

We Boko haram kiboko ya huyu mgalatia!

Kwi kwi kwi kwi! Bro you made my jumaa!
Bless you!

Pamoja mkuu hapa tutawasilimisha hawa wagala mmoja mmoja labda mods waufunge huu uzi uzuri wa sisi waislamu ni shahada tu hakuna kuzamishwa kwenye maji mengi wala kidogo mashaaalah uislam rahaaaaa.
 
Last edited by a moderator:

"Nampenda Yesu Kristo wenu lakini siwapendi Wakristo wenu. Na hiyo ni kwa sababu Wakristo wenu hawafanani kabisa kimatendo na Yesu Kristo wenu"~ Mahatma Gandh.

CC; mbokaleo, Kikwajuni one, Boko haram,
 
Last edited by a moderator:
Risasi ya kupigia tembo wewe unapigia nguchiro...teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Pamoja mkuu hapa tutawasilimisha hawa wagala mmoja mmoja labda mods waufunge huu uzi uzuri wa sisi waislamu ni shahada tu hakuna kuzamishwa kwenye maji mengi wala kidogo mashaaalah uislam rahaaaaa.

Naam. Uislamu raha mkuu!
Tunaendeleza daawa! Wamesilimu wale viongozi wao! Itakuwa hawa?

Ijumaa njema mkuu!
 
Ivi mbona unaishi kwa kuunga unga,hakiri yako inakutuma tena utafutiwe na kitabu 'kwa nini wafuasi wa yesu kua christian was wrong kwa kua hapakua wa ibrahamian?'.YESU NA ABRAHAM NI SAWA KWA HAKILI YAKO?..

Juu ya kutokuelewa kiti gani unasema hapo juu!
Kwa sababu unajiita doctor mi ntakuuliza swali moja tu!
WEWE UNAWEZA KUNIONYESHA ANDIKO LILILOSEMA KUWA "KUWENI WAKRISTO!" AU "UKRISTO NDIO IMANI YA KUFUATA" AU MKITAKA KUINGIA MBINGUNI BASI MUWE WAKRISTO!
AU YESU ANAWAAMBIA NYIE MUWE WAKRISTO!

Ni hilo tu doctor!!
 
Hivi ugomvi hapa ni nini? Kwamba kuna mfumo Kristo unaopambana na uislamu? Na nani anawafanikishia mapambano hayo? Na hapo Mungu yuko wapi, au upande wa nani? Au kuna miungu wawili wanapambana, kila mmoja na mfumo wake? Pengine mnavamia maugomvi ya miungu ambayo haiwahusu?
 
"Nampenda Yesu Kristo wenu lakini siwapendi Wakristo wenu. Na hiyo ni kwa sababu Wakristo wenu hawafanani kabisa kimatendo na Yesu Kristo wenu"~ Mahatma Gandh.

CC; mbokaleo, Kikwajuni one, Boko haram,

Teh teh teh! Mkuu Ritz umeibuka na mpini mtakatifu huu!

Huyu mlevi Nicholas hajaamka!
Na yule kibarua Yericko Nyerere yuko mzigoni!
Wakitoka huko!
Teh teh teh teh!
Povu laaazima wamwage hapa!

Ijumaa njema mkuu.
 
Last edited by a moderator:

.......waliomchafua ni wale waliomuwamba msalabani bila nguo huku wakimkejeli na kumtemea mate !

Sisi Waislaam, tunamtetea Yesu kuwa aibu ile haikumfika !

:nono:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…