UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.

Khaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!

Kuna injil ndani ya quran?
Kuna taurati ndani ya quran?
Kuna zaburi ndani ya quran?
Na quran iko wapi?
Au iko ndani ya ihjil?

Wewe hujui unachikizungumza!

Unajua maana ya kitabu?



Hata huvyi nikiamua kukubaliana na wewe kichizi
Unajua kama unajifunga mwenyewe?
Unajua kuwa unathibitisha kuwa mungu wako ni mwongo kwa kukiita kitabu hicho quran kama kina yote hayo uliyodai?
Unajua maana ya biblia wewe?
Kwa majibu yako haya hujui kuwa unaifanya quran kuwa biblia?[Mungu aepushe mbali hii laana]
Sidhani kama unataka quran iitwe biblia[Mungu epusha mbali hii]
 
Hayo makanisa huko znz yalianzishwa na JMT?think out of the box!Fanya tafiti yako then mwaga hapa,Huo muungano wa mkataba ukoje bora usiwepo kabisa,kila mtu ale 50 zake
Hakuna makanisa Zanzibar ispokuwa kuna mahekalu ambayo kila siku ni matupu yaliokosa waumini lakini vibanda vya nyasi vinavyoitwa kanisa ndiyo viko kama uyoga SIKUHIZI kutokana MFUMO Kristo. Amka Ukiristo ulianza Zanzibar kabla ya Tanganyika ndipo hayo mahekalu yalipojengwa lakini ULISHINDWA NA KUSHHINDWA ndio unataka kuletwa sasa kwa kivuli cha JMT
 

Ama kweli kiziwi kipofu ni jamii ya kuonewa huruma, Akili yako yakiwehu haiweleweki. Eti ansema Uislam hauna hata nguvu ya kukimbiza majinn ..kamuulize shekhe wako km kuna muislam anayeweza kimbiza Jinn. HIVI WEW UMESIKIA MUISLAMU ANSALI MSIKITINI AKAWESEKA NA KUPANDISHA PEPO? TABIA HIYOSI MNAYO NYIE WEHU MAPDRE WENU WAKIGOMBANIA UPADRE WANA KWENDA KWA SEIKH KUOMBEWA TUMESOMA MARA KADHAA KWENYE MAGAZETI WEW ENDELEA KULALATU YESU SI MUNGU BABA YAKE HALALI ALIELALA NA MARIA NI JOSEPH THE CARPENTER NA AMEZAA NAE WATOTO WENGINE AMKA ACHANA NA DINI YA MSITUNI
 
tofautisha suicide na suicide mission.

Haya na jesus tunamweka wapi?suicide au sacrifice?
 
yesu mwenyewe haijui bibilia na ameondoka hapa kukiwa hamna bibilia,yesu alitumia maandiko tofauti kuhubiria na sio bibilia.bibilia ni kitabu wameandika akina marco,luka ,paul ambao hawakupata hata kuwa wanafunzi wa yesu.bibilia sio maneno ya mungu ni mkusanyiko wa matukio yaliyoandikwa na kikundi cha watu na wala hayana uhusiano na maneno ya mungu.
 
yesu mwenyewe haijui bibilia na ameondoka hapa kukiwa hamna bibilia,yesu alitumia maandiko tofauti kuhubiria na sio bibilia.

Alitumia maandiko gani?

bibilia ni kitabu

Acha uongo wewe
Unajua maana ya Biblia wewe?

wameandika akina marco,luka ,paul ambao hawakupata hata kuwa wanafunzi wa yesu
.

Hawa ndio wameandika Biblia?????????????
Hivi wewe unaijuia biblia kweli?

bibilia sio maneno ya mungu

Unajua Biblia ni nini?

ni mkusanyiko wa matukio yaliyoandikwa na kikundi cha watu na wala hayana uhusiano na maneno ya mungu.


Hayana uhusiano na maneno ya Mungu gani?
Yupi?
Wa wapi?
Anaitwa nani?
 
HIVI WEW UMESIKIA MUISLAMU ANSALI MSIKITINI AKAWESEKA NA KUPANDISHA PEPO? TABIA HIYOSI MNAYO NYIE

Nitakupa mfano mdogo tu:

Mwnao akijisaidia kwenye nguo halafu kile kinyesi ukikipeleka sebuleni kwako kitakawa kipo mahala pake?
Je ukikipeleka chooni je,itakuwa nimahala pake?

Ni wapi kati ya maeneo hayo mawili kinyesi hakitakuwa kero na kitatoa harufu?
 
Daaaah religious people wameharibu kabisa msingi mkuu wa uzi huu
 
MAXI SHIMBA hivi umetoa mfano wa lulu ya kanisa?,
 
Mwasemaje sisi tuna akili,na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi?Lakini,tazama ,kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
JEREMIH 8:8
 
How can you say ,"We are wise,for we have the law of the Lord ,when actually the lying pen of the scribes has handled falsely?
Jeremiah 8:8
 
Katika wajinga nimeamini wewe ndio mjinga mnene injili ni mjumuko wa wa Torati na Zaburi,
na Quran ni mjumuiko wa Torati,Zaburi na Injil sasa unaposema tunataka Quran iitwe biblia
una maana gani kweli wehu hawaishi!
 
Katika wajinga nimeamini wewe ndio mjinga mnene injili ni mjumuko wa wa Torati na Zaburi,
na Quran ni mjumuiko wa Torati,Zaburi na Injil sasa unaposema tunataka Quran iitwe biblia
una maana gani kweli wehu hawaishi!

Teh teh teh teh!
Mkuu Boko haram huyo mparokia Eiyer jamaa yake kanambia vile vidonge alivyoandikiwa hajamaliza dozi bado!
Nenda nae taratibu anaweza kukuchafua bure kumbe mwenzetu ndo hivo tena ufahamu wake kwa sasa ni kama hii hesabu ya (1+3 =13)!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:

Sisi watoto wetu tunawavisha nepi za pampers! Kwa hivyo suala la kujisaidia kwenye nguo halipo kabisa!

Labda nikusaidie kukujibia wewe ambae wanao wana tabia ya kunya ovyo kwenye nguo kutoka na kuwalisha vitimoto!

NADHANI ukikipeleka kanisani pale nyuma ya madhabahu harufu itabaki kwa muchungwaji! We nyumbani kwako kutakuwa shwari kabisa!

Teh teh teh teh!

Haki ya nani hii mifano mingine sijui ni bangi mbichi hii au kitimotona damu ya bwana umezidisha!?

I really don't know!
 

Teh teh teh teh!

Halafu nikisema unapepo mbaya unasema nakuonea!

Umeuliza maswali TISA HAPA! na hakuna moja la maana!

Ugalatia nuksi wallahi!
 
Mbona ueleweki maneno mengi tu bila maandiko.
Unajua maana ya Biblia wewe?
Tueleze maana yake nini.
Unajua Biblia ni nini?
Biblia kwani zipo ngapi? hii hapa chini nini?
Ndiyo hii biblia mnayoifuta?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…