UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Mbon aunakuwa mbogo tena....?kwani uislam hauna sifa za mtoto haramu....?au unatak sema kuwa hata kijakazi wako ni halali yako kingono?Huji kumchukua mwanamke bila ndoa pia ni shida?kwani Abrahamu hakuwa na wafanyakazi wenye imani wamfungishe ndoa?Nduguze nao pia si walikuwa waamini?


Mkewe Aliozeshwa kuanzia kwa wazazi hadi ,Na Mungu aliyemwambia kuwa lazima apate mtoto...
Kwahiyo unataka kuniambia katika wale wanakumi na mbili wa Israel pia kuna watoto wa haramu?
wachana na Ibrahim twende kwa Yakobo.
 
Kumbe hii dunia imeumbwa na Yesu nilikuwa sijui.

CC; Ally Kombo, Gavana,

............nakwambia !..........sasa wale waliomsulubu ndo kusema walikuwa wanamuua mungu !?:heh:
basi siku ya mwisho itakuwa kizaa zaa, watu wanataka wamsulubu mungu kama vile mwanzo, na mungu nae anataka kuwatia motoni !:hatari:
 
mi kwakweli nachojua wakristo ndo hunywa damu,kama kile kimkate wanachokiitwa mwili wa bwana we unaita mavi,then it is ok with me.

Naomba jibu haya maswali PLEAAAAAAAAAAAAAAAAASE:

-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?
 
Hivi haya matusi yote yametoka wapi hebu niambie kama kosa ni waislamu kuwa na wake wanne ni umalaya
YAKOBO alikuwa na wake wangapi au sifa kuwa na mahawara kuliko kuwa na wake wanne wacha ushamba kijana
baki na huyo mke wako mmoja na wengine wameambiwa wasioe sasa hivi wame bumburuka wanabaka badala ya kuoa
pale mahali ni patamu muulize katibu wako mkuu kwanini alikimbia useja CHEZEA DR.....

Yakobo hakuwa Mkristu....kuna tofauti ya mtanganyika na Mtanzania..
 
Naomba jibu haya maswali PLEAAAAAAAAAAAAAAAAASE:

-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?
soma link hapo juu,jehova gives dogsh*t.
 
Sasa ili nikujibu naomba uniletee ushahidi wa haya uliyoyaandika kupitia kitabu changu(QURAN)
au hadithi ili tusipelekane kibubusa kama munavyo pelekwa kule kanisani ukihoji swali kwa mchungaji
unambiwa kijana unapepo mchafu tena shindwaaaaaaaa ha ha haa lete ushahidi kijana wa kigalatia!

Kwani umshindwa jibu nini hapa?Au nini unadhani hutaki jibu?Mbona umeshindwa ndiyo,siyo kwanza kwa kila swali halafu ndipo uendelee...
 
Yakobo hakuwa Mkristu....kuna tofauti ya mtanganyika na Mtanzania..
Ha ha haa makubwa hakuwa mkristo kwasababu alikuwa na ngoma nne fine
niletee ushahidi Yesu alikuwa mkristo au alileta ukristo ukishindwa m PM
rastafari akusaidie lakini hajui kitu zaidi ya bangi na yuko online namuona.
 
Kwahiyo unataka kuniambia katika wale wanakumi na mbili wa Israel pia kuna watoto wa haramu?
wachana na Ibrahim twende kwa Yakobo.

Kuna tofauti kati ya sheria za tanganyika na sheria za Tanzania..unatka nikupe sheria ipi?Ile iliyowaruhusu wana wa Adamu kuoa Dada zao au Ile Yesu aliyokataza ..kuwa mke mmoja mume mmoja..?

Au torati..?

Kwani unadhani Yakobo aliwaaoje wake zake?
 
............nakwambia !..........sasa wale waliomsulubu ndo kusema walikuwa wanamuua mungu !?:heh:
basi siku ya mwisho itakuwa kizaa zaa, watu wanataka wamsulubu mungu kama vile mwanzo, na mungu nae anataka kuwatia motoni !:hatari:

Nikupe swali rahisi la kufungua akili yako?

UKiwa na hela unaweza mlipia deni ndugu yako ili asifungwe?ungekuwa huna hela ungelipia nini asifungwe?
 
Haha kwanini hukutaka jibu haya amabyo ndio msingi wa alichochangia Yericko?


-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?



Ukijibu haya maswali ndipo .tutaeelekea ktk kupata majibu kwanini kuna vurugu ktk dunia ya waislam....Ni ngumu kumeza ila ndilo suluhisho.La hat hiyo sijui mwembechai, sijui wapi na wapi....

...hayo ya majini ni kuropoka au unazungumza jambo unalolijua ?!
Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia, ilianzishwa na Waislaam ?
Mbona majeshi ya nchi zisizo za Kiislaam ndio yamejaa kwa Waislaam ?

Mmarekeni anagawa silaha na pesa kuiangusha serikali ya Syria......nani ni adui wa nani ?
@ Nicholas
 
Kwani umshindwa jibu nini hapa?Au nini unadhani hutaki jibu?Mbona umeshindwa ndiyo,siyo kwanza kwa kila swali halafu ndipo uendelee...
Mimi hayo uliyoandika sijafundishwa ndio maana nimeomba ushahidi siwezi jibu kitu ambacho
ninauhakika hakuna kwenye mafundisho yetu usinilishe matango pori lete ushahidi la huwezi
mwambie rastafari akimbilie kwa mods mnakasha ufungwe ndio hayo tu Abu Jahl.
 
Kwanza kwa tafsiri ya kawaida ya "mfumo kristu" ni "utaratibu unaotumika kuongoza/kutawala mahali/watu kwa misingi ya dini ya kikristu"

Nchini Tanzania kumekuwepo na madai kuwa Tanzania "ni ya mfumo kristu",

Madai haya ni mazito na yanahitaji majibu yakinifu kutoka serikalini kwakuwa yanagusa imani za watu, yana athiri uchumi wetu, yana athiri siasa za nchi yetu, yana athiri elimu yetu pia yana athiri ajira nchini, lakini serikali imekuwa kimya kwa mda mrefu sasa,

Kwa dhana hiyo hapa wanaosema Tanzania ni ya mfumo kristu inamaana kuwa sekta zote zinazosimamiwa na serikali ya Tanzania zipo chini ya Ukristu na hata serikali kuanzia Urais hadi mjumbe wa nyumba kumi nk!

Mwaka 2011 nilijipa kazi maalumu yakuusaka ukweli kuhusu madai hayo,

UTAFITI wangu ULIFANYIKA katika majiji ya Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza na Zanzibar, hii ni kutokana na kuwa majiji haya ndio kitovu cha mambo yote na mwelekeo wa taifa letu, na ndiyo yenye wakazi wengi zaidi ambao ni zaidi ya 15% ya Watanzania wote!

Haikuwa kazi rahisi kupata nilichokihitaji hasa kila nilipojaribu kuomba ufafanuzi kwa walioimba na wanaoendelea kuimba wimbo huo wa "Mfumo Kristu" kukosa majibu mujarabu,

Nilipanga safu yangu ya kiutafiti katika makundi yafuatayo,

1) Siasa,
2) Elimu
3) Ajira
4) Uchumi

A. Katika anga la siasa hapa nilijikita kuangalia Watanzania wanaohudumu katika ngazi za kimaamuzi ya kisiasa tu kwa jiji la Dar, Mbeya, Mwanza, Arusha na Zanzibar

Jiji la Dar limekumbatia wanasiasa 521,556 ambao huendeshea shughuli zao za kisiasa Dar tu, niliowahoji imani zao za kiroho ni 360,001 kati ya hawa 270,823 ni waamini wa Uislamu na 89,100 ni waamini wa Ukristu huku 72 ni waamini wa imani zingine na 6 ni waamini wa Urasta fari.

Kundi la wanasiasa lililobaki nilitumia kigezo cha majina yao japo kina akisi kwa 98% tu ya ukweli wao!

Jiji la Mbeya lina wanasiasa 1360 ambao wanahudumu katika siasa ndani ya jiji hilo. niliowahoji kujua imani zao za kiroho ni 386 kati ya hawa 272 ni waamini wa Ukristu na 112 ni waamini wa Uislamu huku 2 ni waamini wa imani zingine na hakuna waamini wa Urasta fari.


Jiji la Mwanza lina wanasiasa 2682 wanaohudumu katika siasa ndani ya jiji hilo, niliowahoji kujua imani zao za kiroho ni 1230 kati ya hawa 324 ni waamini wa Uislamu na 696 ni waamini wa Ukristu huku watu 58 ni waamini wa imani zingine na hakuna waamini wa Urasta fari.

Zanzibar ina wanasiasa 682 wanaohudumu katika siasa ndani ya mamlaka hiyo, niliowahoji kujua imani zao za kiroho ni 123 kati yao 120 ni waamini wa Uislamu na 2 ni waamini wa Ukristu huku watu 1 ni waamini wa imani zingine na hakuna waamini wa Urasta fari.


B. ELIMU

Hapa kwenye sekta ya elimu kwakutumia takwimu za wizara ya Elimu, nilitumia majina ya wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2011-2012 kutambua imani zao japo sio njia aminifu kwa asilimia mia.

Mkoa wa Dar mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 120,032, kati yao 111,231 ni Waislamu, na 8,801 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Mkoa wa Mbeya mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 76,136, kati yao 25,621 ni Waislamu, na 50,515 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Mkoa wa Mwanza mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 100,116, kati yao 23,522 ni Waislamu, na 76,594 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa

Zanzibar mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 89,139, kati yao 89,138 ni Waislamu, na 1 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa


C. AJIRA

Kwamjibu wa takwimu zilizopo Wizara ya Utumishi na ambazo mimi nimetzitumia kama rejea kuu ni kuwa,

Mwezi wa 7 mwaka 2012 Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wafanyakazi 876,981, kati yao 492,238 ni Waislamu, wakati 384,700 ni Wakristu na 43 ni wa dini nyinginezo!

Mwezi wa 7 mwaka 2012 Mkoa wa Mwanza ulikuwa na wafanyakazi 226,139, kati yao 114,023 ni Waislamu, wakati 112,116 ni Wakristu na 0 ni wa dini nyinginezo!

Mwezi wa 7 mwaka 2012 Mkoa wa Mbeya ulikuwa na wafanyakazi 199,226, kati yao 99,221 ni Wakrstu, wakati 100,005 ni Waislamu na 0 ni wa dini nyinginezo


Mwezi wa 7 mwaka 2012 Zanzibar ilikuwa na wafanyakazi 113,206, kati yao 113,001 ni Waislam, wakati 205 ni Waikristu na 0 ni wa dini nyinginezo


D. UCHUMI

Katika anga la uchumi nchini nilimulika zaidi idadi ya wafanyabiasha katika miji hiyo kwakutumia takwimu za TRA na BRELA

Mwezi wa kumi nambili Mwaka 2012 jiji la Dar es Salaam pekee lilikuwa na makampuni (Limited) 4737 kwamjibu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni, kati ya hayo utafiti unaonyesha 3826 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu kwa 100%, wakati 911 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu,

Eneo la Kariakoo ambako kunamkusanyiko mkubwa wa wafanyabiashara na biashara zao kulitoa picha stahiki za utafiti wangu,
Kariakoo na viunga vyake pekee nilitembelea maduka 489,125, kati ya hayo 312,568 yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, na maduka 176,500 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Ukristu wakati maduka 57 wamiliki wake ni wa dini nyingine


Mwezi Januari Mwaka 2013 jiji la Mbeya lilikuwa na makampuni (limited) 197 kwamjibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kati ya hayo utafiti unaonyesha makampuni 102 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, wakati makampuni 95 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu.

Jiji la Mwanza lilikuwa na makampuni (limited) 204 kwamjibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kati ya hayo utafiti unaonyesha makampuni 102 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, wakati makampuni 95 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu.

Zanzibar ililikuwa na makampuni (limited) 81 kwamjibu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar, kati ya hayo utafiti unaonyesha makampuni 72 yalikuwa yanamilikiwa na waamini wa Uislamu, wakati makampuni 9 yalikuwa yanamilikiwa na Waamini wa Ukristu.

Msomaji unaweza kutumia mang'amuzi yako kujua hoja ya wenye hoja!

Ndugu zangu Watanzania, tuendeshe siasa za kistaarabu kuilinda nchi yetu iliyojengwa kwa jasho na damu, dhana za kufikirika na zenye agenda mtambuka na wakwale zitalipeleka taifa letu pabaya!

Uislam ni harakati haijarishi kama hizo harakati zinakuwa justified na uongo au ukweli, ukipata muda tafuta korani ya kiswahili au kiingereza uisome utajua tatizo sio wao bali kitabu chao. if the book could have translated earlier into other languages then it could have been one of the banned books on the planet.
 
Nikupe swali rahisi la kufungua akili yako?

UKiwa na hela unaweza mlipia deni ndugu yako ili asifungwe?ungekuwa huna hela ungelipia nini asifungwe?

hiyo ndo akili ya kuua mungu !?.....wagalatia kweli mlirogwa siyo bure !
 
''wheever eat my body and drink my blood will have internal life''..!!.
Was this guy drunk or he was joking?.
What has drinking blood has to do with salvation.
Isnt it advocating canibalism.?
 
Kuna tofauti kati ya sheria za tanganyika na sheria za Tanzania..unatka nikupe sheria ipi?Ile iliyowaruhusu wana wa Adamu kuoa Dada zao au Ile Yesu aliyokataza ..kuwa mke mmoja mume mmoja..?

Au torati..?

Kwani unadhani Yakobo aliwaaoje wake zake?
Na ukumbuke Yesu hakuja kuondoa hata yodi moja kwenye torati bali alikuja kutimiliza
sasa hata mtume muhamad (S,A.W)alikuja na sheria ambazo unatakiwa mimi na wewe
tuzifuate ila kwasababu wagala munapenda maraha muka delute kitabu kisiwe na
sheria ngumu zinazowanyima kufanya mambo yenu ya kidunia inshaalah iko siku utakaa
kwenye mstari endelea kuusoma uislamu hivyo hivyo.
Kuhusu Yakobo alioaje wake zake tumuulize mzee Labani yeye ndio anajua ukweli wa mambo.
 
Hata kama w2 2namawazo tofauti,mwisilamu mwenzio kama ww ndo anaweza kuku support;
4me; Yericko nyerere; huna maarifa.na kama umepata elimu either formal or informal,elimu yako ni bure! Ni bora usingesoma!/kujifunza.sijawh kumwambia m2 yyte humu ni ww wa kwanza bt i'm sorry!
 
Mbon aunakuwa mbogo tena....?kwani uislam hauna sifa za mtoto haramu....?au unatak sema kuwa hata kijakazi wako ni halali yako kingono?Huji kumchukua mwanamke bila ndoa pia ni shida?kwani Abrahamu hakuwa na wafanyakazi wenye imani wamfungishe ndoa?Nduguze nao pia si walikuwa waamini?


Mkewe Aliozeshwa kuanzia kwa wazazi hadi ,Na Mungu aliyemwambia kuwa lazima apate mtoto...

kwanza hebu tuweke sawa hapa! huyo mungu aliyemwambia lzm apate mtoto si ndio mungu yesu au?? kama ndio hivyo, siku nyingine andika tu! na yesu akamwambia lazima apate watoto! teh teh teh teh!

halafu kuhusu watoto wa haramu! hebu tuangalie je andiko linamtambua mtoto kabla ya ndoa!!

Deuteronomy 22:21 she shall be brought to the door of her father’s house and there the men of her town shall stone her to death. She has done a disgraceful thing in Israel by being promiscuous while still in her father’s house. You must purge the evil from among you.

hapa tunaona kuwa hata kabla ya mimba kuingia, basi mwamke mzinifu anatakiwa apigwe mawe mpaka kufa!!

sasa kama tungelifuata andiko, mi na imani tungepiga mawe wagalatia wengi sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom