UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Nicholas

Kazi nzuri sana, hongera kwa ujasili wakupambana na maamuma hao wote bila kutetereka!

Tupo nyuma yako tunakusoma kwa utuvu sana kamanda!
Amepambana kwa lipi wacha ushabiki kijana usizani watu wameshindwa kujibu huu ujinga wake wewe endelea kulamba buti zake hivyo hivyo.
 
Ninakumbuka vema Rais Jakaya Kikwete (muislam) aliwahi kuwaambia wapeleke nao mswada, lakini sijui mpaka leo wamefikia wapi

Huu ni mfumo ambao uliasisiwa na baba yako wa taifa toka Enzi hizo JK ameukuta umeshaota mizizi hawezi kufanya lolote kunawatu wako nyuma yake wanamuongoza rais kuwa muislamu sio sababu
 
Kwakweli hata mimi nampa hongera sana
Hawa watuni hatari sana

Walikuwa kama wanne hivi lakini kichawa kimoja tu kikawatosha!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi wewe umemuona huyu Nicholas ameandika kitu cha maana sana zaidi huo uharo! jitahidi kuwa na mawazo huru lakini sikushangai unaweza kukuta akili yako imepigwa pingu
 
Ndugu tukiangazia nyanja za kimataifa ili kujua kama Tanzania ni ya mfumo kristu ama laa tunaweza kuona mambo mengi sana,

Lakini tusipotumia akili na busara tunaweza kuibuka na kukubaliana na upotoshaji huo wa wenzetu,

Ni ulize tu hivi, kwani hatuna balozi za iran? saudia? indonesia? Kwani hizo sio sawa na Vatican? kwa HADHI VATICAN ni NCHI hivyo huwezi kuukataa ubalozi wake kwetu. Pope ni raisi wa nchi ya Vatican

OIC ni Jumuiya sio nchi yenye malengo yake ya kidini (sitaki kuayataja)Ukilinganisha na UNESCO, AU WHO n.k hayana mlengo wa kuhudumia watu fulani tu, na hayafungamani na imani fulani.

Kikubwa ni kuwa OIC Kama ilivyo kwa organisation nyingine inaweza kusaidia yeyote, watujengee mashule, visima, misikiti n.k nafikiri wote tutafaidika nao. Kwasasa sioni haja ya kuliweka kaika katiba yetu.

VATICAN ni nchi na OIC si nchi ni jumuiya,
 
Hivi wewe umemuona huyu Nicholas ameandika kitu cha maana sana zaidi huo uharo! jitahidi kuwa na mawazo huru lakini sikushangai unaweza kukuta akili yako imepigwa pingu

Uongo+Ugaidi=Uislam!!!!
 
Serikali ndio mlezi wa mambo yote yaliyopo nchini,

Mwaka 1982 kulitokea mgogoro katika kanisa la kirokole la TAG kati ya marehemu Mch Moses Kurola na Mch Emanuel Razaro, yalitokea mapigano makali kati ya wafuasi wa pande hizo na mwisho serikali iliingilia kati kwakutuma kikosi kazi cha FFU kilipelekwa na kutumia nguvu kubwa kutuliza vurugu hizo pale Tabora,

Hatimae TAG ilivunjwa na kugawanywa ikazaliwa EAG,

Fikiria hapo wangekuwa ni waislamu leo tungekuwa tunaongea lugha gani?

Mwaka 2012 kanisa la Anglicana lilikuwa na mgogoro mkubwa ulioamuliwa na mahakama (za serikali)

Hapo jiulize iweje serikali inaposaidia kuleta amani katika taasisi hizi za kiroho isemwe kuwa inakandamiza kwa lengo la mfumo kristu??

HAO Walokole walikua katika magomvi na kupigana...hivyo ilicho fanya serikali ni kuleta suluhu na haikuingilia uchaguzi wa baadae wala namna wana voendeleza shirika lao..na haikuwachagulia ikawaekea mashushu ndani ya EAG. Bakwata ni mashushu watupu na lipo kwa ajili ya kudumaza tu mambo ya waislam basi..hakuna hata jambo moja la maana wanalo fanya.
waislam walitaka kulichukua kwa nguvu kama hao walokole wali ona kuwa mambo yao hayaendi lakini serikali hawafanyi kuwa mlezi mzuri wa waislam .....analinda uozo na ufisadi mkubwa uliopo Bakwata.....jiulizi kwa nini ? ni mfumo
 
Nyie ndio mnaelewa kiarabu.......?km kiswahili tuu shida.....sasa hamna tena ..habari ngoja niwaache sasa mliwazane niendelee na movie ya ngu "The Siege"..ninagalie mnavyogeuka toka vijana watanashati wenye kujifanya mpo modern, toka dini ya maani mnavyogeuka na kuwa "Blood suckers".Nikimaliza naunganisha na "Son Of Hamas".


KWANINI MNADHANI KWAMBA WEWE KWA UMRI WAKO UTAWEZA SAFISHA DINI ILIYOKUWEPO KABLA YAKO NA ITAENDELEWA KUWEPO WEWE UKISHAPITA...BILA KUSAFISHIKA..?WATAPIGANA WENZAKO HADI WASHINDWE AU WAGEUZE DUNIA KUWA JEHANUM ILA HAITOTOKEA DINI YENU IKAWA SAFI....MTANUNUA KITANDA ILA SI USINGIZI.

HAKUNA IICHOONGE HAPA KUHUSU MA JINN KIKAWA KIGENI KWA WAISLAM .HAPA NILIPO TUU KUNA MUISLAM NYUMBA INAYOFUATIA SAA HII WANPIGA MISTARI SHETANI KAPANDA BINTI MZURI ANAKOROMA KAM SIMBA...HAPPY YOUR DEMONIC LIFE ZOMBIES.

Huwezi jibu hapo wewe endelea kulishwa matango pori kanisani pasipo kuhoji kitu.Kiarabu ndio lugha iliyoshushiwa QURAN na raha ya uislamu ni kwamba swala inayo saliwa Tanzania ndio hiyo hiyo utakayo ikuta China na mahali popote duniani ,... kwahiyo kiarabu ni kwaajili ya kudhibi ujanja ujanja ambao mumeufanya nyinyi kwenye biblia...."KALAMU ZA WAANDISHI ZIMEIFANYA TORATI KUWA UONGO"
 
Huu ni mfumo ambao uliasisiwa na baba yako wa taifa toka Enzi hizo JK ameukuta umeshaota mizizi hawezi kufanya lolote kunawatu wako nyuma yake wanamuongoza rais kuwa muislamu sio sababu

Kikwete yupo madarakani kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, anaongoza kwakutumia katika hiyo,

Swali:

1) Katika Katiba hiyo nikifungu kipi au namba ngapi kinachosema wazi kuwa Tanzania ni ya mfumo kristu?

2) Nikifungu kipi kinachosema rais anasimamia na watu wa mfumo kristu katika utendaji wake?

3) Ofisi za mfumo kristu zipo wapi katika nchi hii?
 
Ndugu tukiangazia nyanja za kimataifa ili kujua kama Tanzania ni ya mfumo kristu ama laa tunaweza kuona mambo mengi sana,

Lakini tusipotumia akili na busara tunaweza kuibuka na kukubaliana na upotoshaji huo wa wenzetu,

Ni ulize tu hivi, kwani hatuna balozi za iran? saudia? indonesia? Kwani hizo sio sawa na Vatican? kwa HADHI VATICAN ni NCHI hivyo huwezi kuukataa ubalozi wake kwetu. Pope ni raisi wa nchi ya Vatican

OIC ni Jumuiya sio nchi yenye malengo yake ya kidini (sitaki kuayataja)Ukilinganisha na UNESCO, AU WHO n.k hayana mlengo wa kuhudumia watu fulani tu, na hayafungamani na imani fulani.

Kikubwa ni kuwa OIC Kama ilivyo kwa organisation nyingine inaweza kusaidia yeyote, watujengee mashule, visima, misikiti n.k nafikiri wote tutafaidika nao. Kwasasa sioni haja ya kuliweka kaika katiba yetu.

VATICAN ni nchi na OIC si nchi ni jumuiya,

Hili liko wazi mkuu
Vatcan kuwa na imani ya kikristo hakuifanyi kuwa sio nchi,ni sawa na Iran au Saudia,hizi ni nchi kama nchi zingine

Sasa sijui tatizo linakujaje hapo

Hawa watu wangekuja hapa na kujadili hoja lingekuwa ni jambo lenye tija sana,lakini wanakuja hapa na kuanza kutoa mashambulizi ya kidini tu bila hoja za msingi

Inashangaza.......!!!!!!
 
Sema kwa sauti na kwa kinywa chako ili ukijaze kikombe cha wazee wako cha dhambi....ili uthibitishe mlichoandika ktk quran kuwa Yesu hakuwahi kuwa na dhambi ni kitu cha hadaa ya shetani.........

Wanafunzi wa Yesu walijulikana na aliyependwa alikuwa Petro........sasa ya nini kuficha obvious?....sasa unadhani km ni kuficha Biblia ingeficha NINI JINA AU INGEFICHA KITENDO CHA KUEGEMEA KIFUANI? You are a desperate liar and gossiper Just like in the quran..ndio maana hamuwezi acha hadith..hadith ni umbe wote..kila mtu anasema nilisikia fulani akisema alimsikia mtume akisema...ndio maana mjejaa umbea...Ndio maana umeanza vuta kasi kwa kuuliza kidogokidogo.....



Loosers...wewe nina hakika utakuwa mchawi...km si shekhe ni mtoto wa sheikh......na umesha wahi ingia kuzimu......todaya i shooting at the heart...Unaleta rubbish ukidhani unaokoa roho yako......upo disperate hadi umeamua kuchukua matusi kwa Ukristu tena kwa Yesua mbaye mnajidai kuwa mnamuheshimu na kukubali mafundisho yake...
hahaha,tatizo lako unaongea sana..husomi kwa makini link ninazokupa.PETER siyo mwanafunzi aliependwa na yesu,kama unakataa sema nikuonyeshe kuwa petero hakuwa yule mwanafunzi mpendwa wa yesu.
 
HAO Walokole walikua katika magomvi na kupigana...hivyo ilicho fanya serikali ni kuleta suluhu na haikuingilia uchaguzi wa baadae wala namna wana voendeleza shirika lao..na haikuwachagulia ikawaekea mashushu ndani ya EAG. Bakwata ni mashushu watupu na lipo kwa ajili ya kudumaza tu mambo ya waislam basi..hakuna hata jambo moja la maana wanalo fanya.
waislam walitaka kulichukua kwa nguvu kama hao walokole wali ona kuwa mambo yao hayaendi lakini serikali hawafanyi kuwa mlezi mzuri wa waislam .....analinda uozo na ufisadi mkubwa uliopo Bakwata.....jiulizi kwa nini ? ni mfumo
Ni lini na wapi, serikali ya Tanzania iliwahi kuingilia mambo ya ndani ya Waislamu ambayo hayakuhitaji msaada wa serikali?
 
hahaha,tatizo lako unaongea sana..husomi kwa makini link ninazokupa.PETER siyo mwanafunzi aliependwa na yesu,kama unakataa sema nikuonyeshe kuwa petero hakuwa yule mwanafunzi mpendwa wa yesu.

Kupenda maana yake nini?
 
Kikwete yupo madarakani kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, anaongoza kwakutumia katika hiyo,

Swali:

1) Katika Katiba hiyo nikifungu kipi au namba ngapi kinachosema wazi kuwa Tanzania ni ya mfumo kristu?

2) Nikifungu kipi kinachosema rais anasimamia na watu wa mfumo kristu katika utendaji wake?

3) Ofisi za mfumo kristu zipo wapi katika nchi hii?

Mkuu hawawezi kujibu hili kamwe!!!!!!!!
 
Kikwete yupo madarakani kwa mjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, anaongoza kwakutumia katika hiyo,

Swali:

1) Katika Katiba hiyo nikifungu kipi au namba ngapi kinachosema wazi kuwa Tanzania ni ya mfumo kristu?

2) Nikifungu kipi kinachosema rais anasimamia na watu wa mfumo kristu katika utendaji wake?

3) Ofisi za mfumo kristu zipo wapi katika nchi hii?
sio katika nchi hii tu,ni mfumo uko global.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom