UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Takwimu zilizopo humu hazina ukweli kwa kiwango kikubwa. Wanasiasa 521,000 Dar unamaanusha wanachama WA vyama vya siasa au viongozi? Sidhani kama kuwa mwanachama WA chama cha siasa automatically unakuwa mwanasiasa. Na kama Ni viongozi, uongozi WA kisiasa unaanzia ngazi ya mtaa, sidhani kama Dar Ina mitaa laki tano, no way...

Hope kwenye ajira umeongelea sekta zote na sio public peke yake kama watu wanavyodhani.

Pia napata shida Sana kuamini kuwa mtafiti anaweza kutembelea maduka 489,000. Ina maana hii Ni sensa, yaani umetembelea entire population. Je ulikuwa na maswali unauliza au checklist? Nijuavyo researcher makini anaweza kuwafikia watu 10 kwa siku maximum, kwa hiyo kama ulikuwa na watafiti 1000 wangetumia siku 48 kutembelea maduka ya kariakoo na hata kama ulikuwa unawalipa 10,000 kwa siku maana yake ungetumia shs 480,000,000. Sina hakika unafanya biashara gani lakini siamini kama unaweza kutumia hela yote hii kwa tafiti ya kuangalia mfumo kristo. Unless ulete Raw data, sisi researchers hatuwezi hata robo kukubaliana na wewe

Umegonga msumari wa kichwa. Yeriko nyerere anadanganya wenzake tuamini hizo mada zake.
Mfumo kirsto wala mfumo islamu hauwezi kubadilisha hali zeti kama wenyewe
 
Last edited by a moderator:
Umegonga msumari wa kichwa. Yeriko nyerere anadanganya wenzake tuamini hizo mada zake.
Mfumo kirsto wala mfumo islamu hauwezi kubadilisha hali zeti kama wenyewe

Wakuu hebu leteni nyinyi kile mnachokifahamu kikiwa na data sahihi
 
Last edited by a moderator:
Inashangaza kusema kuna mfumo kristo wakati rais na makamu wa rais ni waislamu,halafu hatuwezi kwenda kinyume na historia kwa sababu wa kwanza siku zote ataendekea kuwa wa kwanza,wamishionari walipokuja tanganyika walikuwa wanajenga kakanisa kadogo na shule kuubwaaaa,na hospitali kuubwaaaa.
Na ndipo elimu kwa wakristo ilipokuwa imepewa kipaumbele na hata kusababisha mababu na mabibi zetu kubatizwa na kupewa majina ya kikristo na kuendelea kufaidika na mali za wamisionari.,

swali,je ni kosa kuwa mkristo na kupata bahati ya kuajiriwa sehemu nzuri???
KIUKWELI ULIOPO SASA NI MFUMO UISLAMU AMBAO WAKRISTO HAWAUPIGII KELELE KWA SABABU WOTE NI WATANZANIA NA TUTAENDELEA KUWA WATANZANIA,LAKINI DINI NAWEZA KUBADILISHA MUDA WOWOTE, LEO NAWEZA KUWA MKRISTO NA KESHO NIKAWA SINA DINI AU NIKAWA MUISLAMU,JE NA MAHITAJI YANGU YATAWEZA KUBADILIKA KILA WAKATI NA KILA SAA KUTOKANA NA KUHAMA KWANGU,I DONT THINK SO!! KWA SABABU MAHITAJI YANGU NI YALEYALE BILA KUJALISHA NIMEKUWA MUISLAMU AU MKRISTO,WAISLAMU MSIDANGANYWE NA KUCHUZWA NA WATU WACHACHE,KWA SABABU KIMYA CHA WAKRISTO SIO UJINGA
 
duh,wewe ni noumer,bible imesema wazi ,amekuja pale eden hajamuona ikabidi aite.

Haya tuache hilo,kumbe yahweh pia ni msahalifu.
Kampatia jacob,jina jipya kuwa kuanzia sasa utaitwa israel.
Yet amesahau anaendelea kumwita jacob,jacob.
BSV:

Unalazimisha ?Si ulikuwa unalilia MAN OF WARS iwe km ulivyotaka...badala ya mjuzi na shujaa ktk vita....ndivyo kila kitu utalilia.
 
We mtoto wa kufikia una matatizo sana, hebu lete humu nakala ya dodoso la hiyo tafita.
Tufahamishe 'modelity' ya tafiti yako !..........eti umehoji watu laki tatu !?
Yaani watu wa kujaza uwanja wa mpira wa Taifa mara tano !!!

Haha nini kinakuuma..kasema tuu dini zimeletwa na majahazi,leo zinasumbue watu sasa povu la nini?.....haha..mbona mimi sikubaliani na imani ya Yericko km naye vile ila hakuna hata chembe za kugombea dini?Its funny nyie kila mlipokaribishwa milianza kuwa busy walazimisha wengine kusoma kitu nyie wenyewe hamtaki kisoma.....

Mda mrefu huwa mnaongelea sana dini nyingine kuliko safisha dini yenu..ndio maana hadi leo hamjaweza jiuliza aya za shetwani zipo kutimiza malengo ya nani?
 
Ehheee anapokufa rastafari ni wapi muelekeo wake baada ya maisha ya hapa duniani man!

Haha mbona upo mbali sana..unataka tena hubiri Urastafarian?Kwani Quran iliandika..au allah ahakuweza andika zaidi ya dini alizokutana nazo muhamad...?hakujua urasta, ungekuwepo?hakujua kuan uhindu, ubutha ,etc....?hehe..hembu tuambie ubingwa wa vitabu vya marasta ......
 
Mkuu nakusoma kwa umakini sana,

Hongera sana kwakuwatawala hawa maamuma wetu,

Kweli nimeamini hakuna kijiji kisicho na wazee,

Wafunde ipasavyo mpaka waelewe kuwa Tanzania hakuna mfumo kristu wala ndugu yake mfumo islamu!

Haha..nadhani kwa aliyefuatilia kaona jinsi wanavyobrush issue...watoto wa mama wa kiswahili ,hata wasipofanya kazi bado ni wachafu..huwa ni wepesi sana kumcheka mtu anayechafuka ktk kazi...halafu baadaye wanalia njaa..aliyechafuka akiwa anakula....


Hawa uzao wa binamu nyama ya hamu sayansi inasema wanazaliwa na vilema vya kila sehemu...hawajui kuwa " wakritsu wanajua kwa mvivu hakukosi njaa...".
 
Dini hizi jamani duh kazi ipo! Tunaenda wapi? Tuendelee kusaidiana ndugu

haha....tunaenda kule wenzetu wanapotaka tutoa..yaani kujifanya dini yao inawahusu wengine..wakati hata wao tuu imewachosha..muda wote wanashida kuelezea za wengine.Kupanga vita dhidi ya wengine.....km ni vita wapigane tuu kw akujisema nia yao ovu na si kutauta visingizio ili wajifanye victims.
 
Uislamu ulikuwapo toka wakati wa Adam
AND STRIVE IN HIS CAUSE AS YE OUGHT TO STRIVE ,(with sincerity and under discipline).HE HAS CHOSEN YOU,AND HAS IMPOSED NO DIFFICULTIES ON YOU IN RELIGION :IT IS THE CULT OF YOUR FATHER ABRAHAM .IT IS HE WHO HAS NAMED MUSLIMS ,BOTH BEFORE AND THIS (Revelation);that the Messenger may be witnesses for you ,and ye be witnesses for mankind !So establish regular Prayer.give regular Charity ,and hold fast to Allah!He is your Protector -the Best to protect and the best to help!
Qur-aan 22:78

haha.......................basi km ni hivyo huo uislam mnaoufuata si uislam.....Nimabie ni vipi Yesu alisema haya:



  1. Shahadah: declaring there is no god except God, and Muhammad is God's Messenger
  2. Salah: ritual prayer five times a day
  3. Sawm: fasting and self-control during the blessed month of Ramadan
  4. Zakat: giving 2.5% of one’s savings to the poor and needy
  5. Hajj: pilgrimage to Mecca at least once in a lifetime[SUP][5][/SUP][SUP][6][/SUP]if he/she is able to do[SUP][7][/SUP]

Utakuwa na Kichaa.....Yesu apige swala 5, Yesu afunge ramadhani n akukimbiza na mwezi na adhana au kukimbiza na ndizi ,vitumbua, sijui na nini ili kufungua?Yesu alifunga siku 40 bila kula, yohana mbatizaji alifunga siku 40 akila mzige na asli ili kupata nguvu za msingi tuu na si kula hadi kujamba ..na kwenda chaba kwani , mavi hayakati kwa mlafi..ni km kiwavijeshi.

Yesu amkiri muhamad bila majinn kukimbia?Yesu angemtaja Muhamad muhamad asingewehuka na kuingiwa na majinn mahaba.

Yesu aende hija mecca...?haha sasa km hapa tuu kakobe anapiga maombi miskiti inaanza minong`ono kw akutumia jina tuu, sasa mwenye jina aingie ktk jiwe jeusi......haha


Haha....sipati picha wajinga km nyie mnajifanya kusahau nguzo 5 za uislam mnazokimbizana nazo kila ili mtu awe muislam il aktk uongo mnajidanganya kuwa uislam ulianza siku nyingi.


hii yoteni BSV: shetani haogopi uongo.
 
Ritz na wengine:

Hamjanijibu haya:

1.Ni vipi mnatambua aya zipi ni za shetani na zipi ni za allah.
2. Hamjaniambia wale brothers in faith majinn, mnapata wapi mifupa na damu za kuwapatia?Mavi tunajua majinn mnafuga vyooni na hamuwezi ingia bila futa sheria zao.

3.Hichi kilio na vita za kutaka chinja si sehemu ya kupta damu kwa ajili ya kutambika majinn?Wakristu dunia nzima wanashughudia sana waislama kugombeak kuchinja....na wakipewa huwa wanashukuru sana..wengi hufikiri ni umasikini wa jamii za kiislam ziwazungukazo.Unalisemajie hili , na vurugu za kuua wachungaji kuliko mkose nafasi ya kuchinja?
 
Haha nini kinakuuma..kasema tuu dini zimeletwa na majahazi,leo zinasumbue watu sasa povu la nini?.....haha..mbona mimi sikubaliani na imani ya Yericko km naye vile ila hakuna hata chembe za kugombea dini?Its funny nyie kila mlipokaribishwa milianza kuwa busy walazimisha wengine kusoma kitu nyie wenyewe hamtaki kisoma.....

Mda mrefu huwa mnaongelea sana dini nyingine kuliko safisha dini yenu..ndio maana hadi leo hamjaweza jiuliza aya za shetwani zipo kutimiza malengo ya nani?
Aya za shetani ziko wapi?lete ushahidi.Hiyo Qur-aan ukianza kuisoma inaanza na kwa kusema,NAJILINDA NA ALLAH,KUTOKA NA SHETANI ALIYEWEKWA MBALI NA REHEMA.na aya kibao zimo ndani ya Quraan zinakataza kumfuata shetani,sasa shetani aweke aya zake,halafu akataze watu wasimfuate?
Soma QUR-AAN 2:168
NA WALA MSFUATE NYAYO ZA SHETANI.BILA SHAKA YEYE KWENU NI ADUI ALIYE DHAHIRI.
SOMA QUR-AAN MAIDA AYA YA 90
"ENYI MLIOAMINI!HAKIKA ULEVI,NA KAMARI,NA KUABUDU MASANAMU,NA KUPIGA RAMLI,NI UCHAFU KATIKA KAZI ZA SHETANI.BASI JIEPUSHENI NAVYO ILI MPATE KUFANIKIWA."
Jaribuni kusoma wagalatia,msiambiwe maneno,mkayafuata bila kuchunguza,mtaonekana hamna kitu kichwani
 
Haha mbona upo mbali sana..unataka tena hubiri Urastafarian?Kwani Quran iliandika..au allah ahakuweza andika zaidi ya dini alizokutana nazo muhamad...?hakujua urasta, ungekuwepo?hakujua kuan uhindu, ubutha ,etc....?hehe..hembu tuambie ubingwa wa vitabu vya marasta ......
QUR-AAN 58
19 SHETANI AMEWATAWALA NA ATAWASAHAULISHA KUMKUMBUKA MWENYEZI MUNGU .HAO NDIO KUNDI LA SHETANI.KWELI HAKIKA KUNDI LA SHETANI NDILO LENYE KUPATA KHASARA
20 HAKIKA WANAOMPINGA MWENYEZI MUNGU NA MTUME WAKE,HAO NDIO MIONGONI MWA MADHALILIWA MWISHO
QUR-AAN 29:23
NA WALIOZIKANUSHA ISHARA ZA MWENYEZI MUNGU NA KUKUTANA NAYE,HAO NDIO WENYE KUKATAA TAMAA NA REHEMA YANGU,NA HAO NDIO WENYE KUPATA ADHABU ILIYO CHUNGU

WANAOFUATA SHETANI NI HAWA
MARK 8:33
YESU AKAMWAMBIA PETRO,PETRO NENDA NYUMA YANGU SHETANI(wewe)U-KIKWAZO KWANGU KWA MAANA HUYAWEZI YA MUNGU BALI YA WANADAMU
MATHAYO 16:16
YESU AKAMWAMBIA PETRO WEWE U MWAMBA NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA
MATHAYO 13:38
YESU AKAMWAMBIA PETRO AMIN AMIN KABLA YA JOGOO KUWIKA ASUBUHI UTANIKANA MARA TATU
HUYU ALIYEMKANA BWANA YESU KANISA LASTAHILI KUJENGWA JUU YAKE?MAKANISA YAPO KIBIASHARA ZAIDI WACHUNGAJI WANAISHI MAISHA YA KIFAHARI NA WAUMINI WANA MAISHA YA UMASKINI KUPINDUKIA.JE HAYO NI MAFUNDISHO YA BWANA YESU?AU NI MAFUNDISHO YA WATU WAOVU?
 
Aya za shetani ziko wapi?lete ushahidi.Hiyo Qur-aan ukianza kuisoma inaanza na kwa kusema,NAJILINDA NA ALLAH,KUTOKA NA SHETANI ALIYEWEKWA MBALI NA REHEMA.na aya kibao zimo ndani ya Quraan zinakataza kumfuata shetani,sasa shetani aweke aya zake,halafu akataze watu wasimfuate?
Soma QUR-AAN 2:168
NA WALA MSFUATE NYAYO ZA SHETANI.BILA SHAKA YEYE KWENU NI ADUI ALIYE DHAHIRI.
SOMA QUR-AAN MAIDA AYA YA 90
"ENYI MLIOAMINI!HAKIKA ULEVI,NA KAMARI,NA KUABUDU MASANAMU,NA KUPIGA RAMLI,NI UCHAFU KATIKA KAZI ZA SHETANI.BASI JIEPUSHENI NAVYO ILI MPATE KUFANIKIWA."
Jaribuni kusoma wagalatia,msiambiwe maneno,mkayafuata bila kuchunguza,mtaonekana hamna kitu kichwani

haha..kwanini unadhani Salman Rushdie hajajibiwa badala yake mnatafuta kumua?Hembo Onja hii?

Never sent We a messenger or a prophet before thee but when He recited (the message) Satan proposed (opposition) in respect of that which he recited thereof. But Allah abolisheth that which Satan proposeth. Then Allah establisheth His revelations (ayatihi). Allah is Knower, Wise; S. 22:52 Pickthall

[SIZE=-1]And they indeed strove to beguile thee (Muhammad) away from that wherewith We (God) have inspired thee, that thou shouldst invent other than it against Us; and then would they have accepted thee as a friend.
And if We had not made thee wholly firm thou mightest almost have inclined unto them a little.
Then had We made thee taste a double (punishment) of living and a double (punishment) of dying, then hadst thou found no helper against Us. (17:73-75)[/SIZE]

Mengine soma hapa...Hata kitabu cha Sulmanie Rushdie nadhani huwezi kipata ,wala kuthubutu kiweka ndani ya nyumba wasikuue wale jamaa waliokata vichwa...i
Comparative Index to Islam : SATANIC VERSES

Nandahni inatosha mengine jisomee kwa wakati wako.
 
haha..kwanini unadhani Salman Rushdie hajajibiwa badala yake mnatafuta kumua?Hembo Onja hii?

Never sent We a messenger or a prophet before thee but when He recited (the message) Satan proposed (opposition) in respect of that which he recited thereof. But Allah abolisheth that which Satan proposeth. Then Allah establisheth His revelations (ayatihi). Allah is Knower, Wise; S. 22:52 Pickthall

[SIZE=-1]And they indeed strove to beguile thee (Muhammad) away from that wherewith We (God) have inspired thee, that thou shouldst invent other than it against Us; and then would they have accepted thee as a friend.
And if We had not made thee wholly firm thou mightest almost have inclined unto them a little.
Then had We made thee taste a double (punishment) of living and a double (punishment) of dying, then hadst thou found no helper against Us. (17:73-75)[/SIZE]

Mengine soma hapa...Hata kitabu cha Sulmanie Rushdie nadhani huwezi kipata ,wala kuthubutu kiweka ndani ya nyumba wasikuue wale jamaa waliokata vichwa...i
Comparative Index to Islam : SATANIC VERSES

Nandahni inatosha mengine jisomee kwa wakati wako.
Hakuna hata aya moja inayonyesha kuhusiana na shetani umetoa,zaidi ume coppy na kupaste,kwa mtu ambaye ameandika ktu kingine kabisa.Usi copy na kupaste kitu usichojuwa,
 
Hakuna hata aya moja inayonyesha kuhusiana na shetani umetoa,zaidi ume coppy na kupaste,kwa mtu ambaye ameandika ktu kingine kabisa.Usi copy na kupaste kitu usichojuwa,

kwako huu ni uongo?
Never sent We a messenger or a prophet before thee but when He recited (the message) Satan proposed (opposition) in respect of that which he recited thereof. But Allah abolisheth that which Satan proposeth. Then Allah establisheth His revelations (ayatihi). Allah is Knower, Wise; S. 22:52 Pickthall

Unayo shida....hii ni quran inakiri kuwa muhamad alipokea proposala ya shetani..nimekuwekea link nadhani wengine wansoma inayo mambo yote.Sitaki tuendelee bishana hapa.
 
QUR-AAN 58
19 SHETANI AMEWATAWALA NA ATAWASAHAULISHA KUMKUMBUKA MWENYEZI MUNGU .HAO NDIO KUNDI LA SHETANI.KWELI HAKIKA KUNDI LA SHETANI NDILO LENYE KUPATA KHASARA
20 HAKIKA WANAOMPINGA MWENYEZI MUNGU NA MTUME WAKE,HAO NDIO MIONGONI MWA MADHALILIWA MWISHO
QUR-AAN 29:23
NA WALIOZIKANUSHA ISHARA ZA MWENYEZI MUNGU NA KUKUTANA NAYE,HAO NDIO WENYE KUKATAA TAMAA NA REHEMA YANGU,NA HAO NDIO WENYE KUPATA ADHABU ILIYO CHUNGU

WANAOFUATA SHETANI NI HAWA
MARK 8:33
YESU AKAMWAMBIA PETRO,PETRO NENDA NYUMA YANGU SHETANI(wewe)U-KIKWAZO KWANGU KWA MAANA HUYAWEZI YA MUNGU BALI YA WANADAMU
MATHAYO 16:16
YESU AKAMWAMBIA PETRO WEWE U MWAMBA NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA
MATHAYO 13:38
YESU AKAMWAMBIA PETRO AMIN AMIN KABLA YA JOGOO KUWIKA ASUBUHI UTANIKANA MARA TATU
HUYU ALIYEMKANA BWANA YESU KANISA LASTAHILI KUJENGWA JUU YAKE?MAKANISA YAPO KIBIASHARA ZAIDI WACHUNGAJI WANAISHI MAISHA YA KIFAHARI NA WAUMINI WANA MAISHA YA UMASKINI KUPINDUKIA.JE HAYO NI MAFUNDISHO YA BWANA YESU?AU NI MAFUNDISHO YA WATU WAOVU?
Nimekupa aya hizi za kuonyesha shetani yuko wapi,na mimi nionyeshe aya za shetani kama hayuko huko,lete aya inayopinga ushetani ndani ya bible
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom