Utafiti: Je, umeolewa ukiwa bikira au umeoa mwanamke bikira?

Utafiti: Je, umeolewa ukiwa bikira au umeoa mwanamke bikira?

Je umeolewa ukiwa bikra? au je umeoa mwanamke bikra?

  • Ndio

  • Hapana

  • Sijui


Results are only viewable after voting.
Hili LA bikra mpaka nahisi naweza kufa sijatoa hata moja, najiuliza ina maana ndio basi tena? Wanawake tunzeni hii kitu muhimu sana mwanaume anaweza kumuamini mwanamke kwa asilimia mia hata kama baadae atakua ana cheat,
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii thiredi noma mara paap kigezo vyuo vikuu wadada bikira imo hakika vyuo vingekuwa na wanaume tupu......nawaza tu[emoji855]
 
zipo ila zile za kuigiza unakuta dem anabana miguu mbaka unamshitukia kua huyu anajifanya bikra ila kautamu kakizidi mwenyewe anafunguka
 
Kuna wengine wanatolewa bikra na vidole vya watoto, hivo wakiolewa wanatolewa bikra haswa
 
Mazeee Mm najivunia kutoa bikra tatu. Moja Christian na mbili islamics. Huyu Christian ndo ntaoa mwaka huu. Mm ni mjanja humu jf kuwa na mke niliyemtoa bikra angali Wadau wangu mmechukua makarai
 
Screenshot-2018-5-14 Utafiti Je, umeolewa ukiwa bikira au umeoa mwanamke bikira .png
if (b && b.href != bH) b.href = bH;
 
Back
Top Bottom