britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #161
Mbona Alikiba yuko nyuma kila mahala hii si haki. Anatakiwa kuwa no 1 hapo sema hapendi show off.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Alikiba yuko nyuma kila mahala hii si haki. Anatakiwa kuwa no 1 hapo sema hapendi show off.
YesNarudia tena na tena hakuna mtu wa kumfikia Qibratan.
Itakusaidia nini?Utafiti huru ulofanyika Twitter kwa siku 5 mfululizo ambao uliuliza:
Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika?
Na matokeo yakawa high. Kura zimepigwa 3,000 kwa siku 5.
Mr Nice 23%
Juma Nature 33%
Ali Kiba 15%
Diamond 30%
View attachment 1264071
Pitia Pia
Tujikumbushe penzi la Juma Nature na Sinta
Wahenga salaam, Nakumbuka zama hizo Sinta aliibukia kwenye uigizaji enzi hizo na ray Kigosi , ghafla Shigongo naye akadondoka na magazeti ya udaku, miaka hiyo penzi la P Didy na j lo linatamba USA, mwanadada Sinta ndo ilikuwa habari ya jiji yaani hakuna gazeti lililokua halimtaji na kiki kumbe...www.jamiiforums.com
Sintah alikwama sana kwa Juma Nature
Miaka ya 2000 huko ilizuka ghafla couple ya nguvu iliyobustiwa na magazeti ya udaku. Nature na Sintah.. Okei. Mapenzi huota kokote lakini hii combo mpaka leo siisomi ilikaaje kaaje. Sintah alikuwa mtoto wa mjini. Mdangaji kwa lugha ya kisasa ambaye alibahatika kupata exposure mapema ya ujanja...www.jamiiforums.com
Ukosefu wa malengo(goals).britanicca,
Bahati mbaya umaarufu wa Juma Kiroboto haukugeuzwa kuwa hela.
Exactly.Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.
Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?
Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?
Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.
Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Hata mimi mwenye 40 niko pamoja nawe.Nina miaka 60. Namshabikia Diamond. Ana muziki mzuri.
Diamond anatumia nguvu nyingi sana kujitangaza, wakati Kina Juma walitangazwa na mziki na kupendwa bila kuhonga maredion
HooDiamond anatumia nguvu nyingi sana kujitangaza, wakati Kina Juma walitangazwa na mziki na kupendwa bila kuhonga maredion