UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

Mi nadhani mond nature alijulikana mikoa ya Tanzania tu na sio yote Ila huyu mbwa mond mpaka USA anajulikana Dubai sana nigeria Kenya usiseme
Big enough umarufu wenye tija

Huko Dubai na USA anajulikanwa na nani? zaidi ya wabongo wenziwe na wawili watatu wanchi za jirani
 
Sasa ubishani wa ninikama team Mondi inabisha zingokwe kali za Nature vs kali za Mondi
Ndio mtajua Nature ni nyoko
Semeni platform zao ziko tofauti ndio maana Mondi unaonakama anatusua
Kuhusu kupata hela hiyo sawa , kwani akina MALIJANI walipata hela na miziki yao?
 
Nec
Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Necha mwanamuziki mwanaume aliye kiumeni.

Sio huyu anayekula "pamvu" la mama yake mzazi.
 
Tuambie kwanza, mziki wa diamond una ushawishi gani nje ya bongo!!???

Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
 
Juma Nature,Sir nature Nature a.k.a Msitu wa vina.Kwa Mimi binafsi niliyeshuhudia ubora wake kwangu atabaki kuwa mmoja wa wasaniii Bora kuwahi kutokea katika nchi yetu.mpaka sasa nasikiliza na kucheza nyimbo zake na zote alizoshirikishwa na ubaya wake ukimshirikisha lazima akufunike.sikiliza OCG ft Juma Nature unaitwa akwelina,Rich One ft Juma Nature unaitwa hatuna kitu,Mike T ft Juma Nature unaitwa nakupenda,Unga Robo,Mzee wa Busara,Sonia,Sitaki Demu,Inaniuma sana,Kisa Demu, msela(huyu akitakiwa apewe heshima yake kumlinganisha na yoyote humtendei haki hasa hawa vijana wadogo)...ukisikiliza nyimbo za Juma Nature,Rashid Makwilo a.k.a Chidi Benzi,Juma Mchopanga a.k.a Jay Moe,Albert Mangwea a.k.a Mimi,Prof Jay,Solo Thang,Fid Q na wengine nitawataja hapo baadae.ndio wasaniii Bora kwa kizazi changu
 
Juma Nature,Sir nature Nature a.k.a Msitu wa vina.Kwa Mimi binafsi niliyeshuhudia ubora wake kwangu atabaki kuwa mmoja wa wasaniii Bora kuwahi kutokea katika nchi yetu.mpaka sasa nasikiliza na kucheza nyimbo zake na zote alizoshirikishwa na ubaya wake ukimshirikisha lazima akufunike.sikiliza OCG ft Juma Nature unaitwa akwelina,Rich One ft Juma Nature unaitwa hatuna kitu,Mike T ft Juma Nature unaitwa nakupenda,Unga Robo,Mzee wa Busara,Sonia,Sitaki Demu,Inaniuma sana,Kisa Demu, msela(huyu akitakiwa apewe heshima yake kumlinganisha na yoyote humtendei haki hasa hawa vijana wadogo)...ukisikiliza nyimbo za Juma Nature,Rashid Makwilo a.k.a Chidi Benzi,Juma Mchopanga a.k.a Jay Moe,Albert Mangwea a.k.a Mimi,Prof Jay,Solo Thang,Fid Q na wengine nitawataja hapo baadae.ndio wasaniii Bora kwa kizazi changu
Kabisaaaaaaaa tatizo watoto wa siku hizi hawajui haya
 
Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Hujui
 
Kabisaaaaaaaa tatizo watoto wa siku hizi hawajui haya
nature hakuwahi kufika hata robo viwango vya kina professor jay na afande sele. na ndio maana hata tuzo alikuaga hachukui walikua wanachukua waotu mashaili yake sana yalilenga wavuta bangi na wanawake. wadanganyeni haohao ambao hawakuwepo enzi hizo.
 
Hapa ukimtaja Nature mashabiki maandazi wa Mondi watakwambia ni wivu tu,mashabiki wengi wa Domondi waliozaliwa 1995-2002 ambapo kipindi nature yupo juu anatikisa na kina sinta wao bado walikuwa wanakunjwa uji wa ulezi/lishe na kunywa maziwa kwenye chupa,hawawezi kukuelewa ukisema nature alikuwa maarufu kuliko Dimondi.
Kwanza watakuliza huyo SINTA ni nani?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom