UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

Mziki ni biashara, wengi wanashindwa kuelewa; ili wewe ule hakikisha na mimi nakula kwanza, usitegemee kipaji tu kikufikishe mbali; wasanii wafunguke watu waweke hisa
 
Yaani diamond unamfananisha na watu wa ovyo mibangi hawana muonekano wa usanii kama juma nature hawajui kuvaa jieshimu na takwimu zako unachukua kweny vibanda vya gongo na mapusha
 
Itakusaidia nini?
 
Exactly.
 
Comparing the fame of Juma Nature and Diamond platinumz is like comparing heaven and earth pls Mr Brittanica don't do this another time diamond has made our music popular beyond Tanzania and he is going to be real legend of this music and a person to be remembered when he retired.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…