Utafiti mpya: Wanawake wengi wa Kitanzania hutamani kutoka na wanaume wa kanda ya ziwa kama chaguo lao la kwanza.

Utafit mwingine utakao kuja, utahusu wanaume wengi wa kanda ya ziwa kupenda kutoka na wanawake wa kaskazini, kwasababu wanawake wengi wa kaskazin ni weupe.
 
Kweli kabisa
Wasukuma wanaongoza Ni ndoto ya kila mwanamke kuolewa na msukuma.hata Mimi natamani basi tu nimekosa
Wakurya
Wagita
Wanyamwezi sio sana maana wapo kiswahili sana kama wazaramo halafu sio wachapakazi.
Wahaya hao wanawezana wenyewe.
Karibu kanda ya Ziwa.
Karibu Usukumani
 
%kubwa ya watu wa kanda ya ziwa ni magovi alafu wapenda sifa sanaaa
 
Ebu ngoja kwanza Chaliangu..Kaskazini mbona tuko yente asee!!Huu utafiti ni batili.
 
Mkuu umeacha nyanda za juu kusini, home of gentlemen and hard workers!!
 
Wanaume wa kisukuma tabia zao waulizeni wanawake wao wa kama kisukuma ndo mtawafahamu vizuri!

Wanawake wa kisukuma hawana hamu nao kwa jinsi wanavyowatenda!

Wengi ni malimbukeni wa mapenzi ,
Hawariziki na mke mmoja.

Sijui ni wakristo wa aina gani!

Maana mitala na wao!

Wakiongea mdomoni ulimi kama mzito vile wanakandamiza lakini huko chini utulivu wao wengine ni mashaka matupu.
 
Wanaume wa kisukuma wakioa wanawake wa makabila tofauti kidogo huwezi kuwa na kiasi na subra lakini wakioa wanawake wa kisukuma wenzao huwa ni wakorofi hatari.

Yaani huwa hawaambiliki [emoji108][emoji108]
 
first lady kahusika kwenya kuhojiwa?
 
Sijawahi kudate na msukuma ila WAKURYA nawakubali kila siku yani.
 
Tanzania imeshafanya utafiti gani ukafanikiwa?????
 
Yap wana adabu kweli yani!!
 
Kuna watu wakikaa huwa wanawaza makabila yao tuu!
 
Kweli kabisa
Wasukuma wanaongoza Ni ndoto ya kila mwanamke kuolewa na msukuma.hata Mimi natamani basi tu nimekosa
Wakurya
Wagita
Wanyamwezi sio sana maana wapo kiswahili sana kama wazaramo halafu sio wachapakazi.
Wahaya hao wanawezana wenyewe.
Hapo kwa wahaya umepatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…