Utafiti mpya: Wanawake wengi wa Kitanzania hutamani kutoka na wanaume wa kanda ya ziwa kama chaguo lao la kwanza.

Kanda ya ziwa ndo Tanzania na Tanzania ni Kanda ya ziwa over
 
Huu utafit hauko valid,kwanza kabixa umelenga kuchafua kanda fulan iv ila tu kwa taarifa yako cc wa kanda ya mlima tupo kwa dada zako usukuman huk ,wanatukubali kinouma,kucare na kuwatendea haki kunako 6kwa6,jambo jingine wanawadharau kaka zao,i mean wanaume wa kisukuma,wanadai kwao hawajui kucare na wametawaliwa na mfumo dume na ndo maana wanawake wengi wa kisukuma n mama wa nyumban.Ila kubwa kuliko kwny uzi wako umetudangan mabaharia n kuhuzisha na wauza mwili,iv inakuingiaje akilin unaenda labda kununua hiyo bidhaa afu muuzaji akuulize umetoke kanda ipi?wao wanachojali n pesa,suala la kukuulza ww msukuma au mkurya sidhan kama ndo kigezo cha kupata hyo huduma,rudi tena ukafanye utafit upya!
 
Huu uzi wa kichochezi. Ngoja waje njemba za kaskazini na pwani
Kaskazini hawajui kuchapa mbunye wao wakikutana na mwanaume cha kwanza ni kuingiza ndani, hawajui kuichezea mbunye mpaka iteme maji, hajui kumpiga busu mwanamke mpaka mizuka ipande. Chezea wanaume wa Kanda hasa hasa Wahaya, Wanyambo, Wakerewe, Wajita, Wasubi, Wasumbwa, Wazinza, Waangaza na Washubi. Wakikuchukulia mwanamke tulia ulie tu. Wasukuma si sana, Wakurya wao wanabaka hawajui mapenzi kwa hiyo hawamo pamoja na Wahjaluo
 
Duuh
 
Kweli kabisa
Wasukuma wanaongoza Ni ndoto ya kila mwanamke kuolewa na msukuma.hata Mimi natamani basi tu nimekosa
Wakurya
Wagita
Wanyamwezi sio sana maana wapo kiswahili sana kama wazaramo halafu sio wachapakazi.
Wahaya hao wanawezana wenyewe.
Ungeandika coment hii nikiwa kijana ningekuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…