Utafiti niliofanya ndani ya JamiiForums kwa kipindi kama hiki miaka ya utawala wa Magufuli hakukuwa na malalamiko ya umeme kukatika mara kwa mara

Utafiti niliofanya ndani ya JamiiForums kwa kipindi kama hiki miaka ya utawala wa Magufuli hakukuwa na malalamiko ya umeme kukatika mara kwa mara

Akili zako zimeyumba kama dish.

Kwa taarifa yako ni kuwa hii ni awamu ya 6 hizo habari za awamu ya 5 tupa kule hakuna mtu mwenye muda huo.

Mbona huwa unademka sasa pale inapojadiliwa awamu ya 5 kama sasa ghafla umerukwa uchizi kutamkwa awamu iliyopita kama hakuna mtu mwenye muda huo? Rubbish contribution
 
Mbona huwa unademka sasa pale inapojadiliwa awamu ya 5 kama sasa ghafla umerukwa uchizi kutamkwa awamu iliyopita kama hakuna mtu mwenye muda huo? Rubbish contribution
Ccm ni wale wale ila sasa mmegawanyika kati ya sukuma gang na wale wakojani
 
JamiiForums ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike

Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote cha utawala wa Magufuli mwezi kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es Salaam

Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai ni kawaida kipindi kama hiki cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme. Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko kama sasa

Tafsiriri yake nini?
Sasa unataka utuambie nini ikiwa kipindi kama hiki hiyo awamu mvua zilikuwa stable,hapo umeme ungekatikaje?

Ni hivi yule mtu wenu hawezi kukwepa lawama,kwa nini asingewekeza japo bil.500 kwenye umeme wa gas Ili kufidia in case kuna dharura kama hii ya ukame badala yake akakomaa na Bwawa ambalo hata haijulikani litaisha lini?

Km 200 tu za sgr zilimshinda miaka 6 sasa zigo bovu kaangushiwa Samia ati amalize ndani ya mwaka.Acha upuuzi wewe.
 
Sasa unataka utuambie nini ikiwa kipindi kama hiki hiyo awamu mvua zilikuwa stable,hapo umeme ungekatikaje?

Ni hivi yule mtu wenu hawezi kukwepa lawama,kwa nini asingewekeza japo bil.500 kwenye umeme wa gas Ili kufidia in case kuna dharura kama hii ya ukame badala yake akakomaa na Bwawa ambalo hata haijulikani litaisha lini?

Km 200 tu za sgr zilimshinda miaka 6 sasa zigo bovu kaangushiwa Samia ati amalize ndani ya mwaka.Acha upuuzi wewe.
Alikataa mitambo ya kifisadi ya IPTL na Dowans akakataa umeme wa gesi ,akakataa kutumia majenereta akakataa visingizio kuwa ohh Tabia nchi imebadilika mabwawa ya kuzalisha umeme hayana maji ya kutosha pamoja na kukataa yote hayo umeme ulipatikana.

Mnataka kuibia wananchi mpige pesa tafuteni sababu nyingine
 
Alikataa mitambo ya kifusadi ya IPTL na Dowans akakataa umeme wa gesi ,akakataa kutumia majenereta akakataa visingizio kuwa ohh Tabia nchi imebadilika mabwawa ya kuzalisha umeme hayana maji ya kutosha pamoja na kukataa yote hayo umeme ulipatikana.Mnataka kuibia wananchi mpige pesa tafuteni sababu nyingine
Baada ya kukataa hayo yote ametibu tatizo lipi la Umeme hadi sasa kwenye Hali ya dharura ya upungufu wa maji coz of ukame ? Mtu jasiri fundi wa matumizi ya nguvu asiye na maarifa.Useless.
 
Back
Top Bottom