Utafiti: Profesa Janabi yupo sahihi 100%; watu wanajiua wenyewe kwa upumbavu wao

Utafiti: Profesa Janabi yupo sahihi 100%; watu wanajiua wenyewe kwa upumbavu wao

Nakumbuka Mwaka ule nilipokuwa nafuatilia au nafanya utafiti usio rasmi. nakumbuka mada zangu nilizokuwa nafanyia kazi

"kwanini watu wanafanya mazoezi ila hawapungui"

nikawa na mada nyingine
"namna ya kupungua"

nikawa na mada nyingine
"namna ya kupungua pasipo kukonda"

Mwaka ule nilisoma nyaraka nyingi na kupitia machapisho mbalimbali sana pia nilikuja kuhitimisha kwa kujua kwann wanga ndio chakula kikuu kwa watanzania wengi na Amerika hasa ya kaskazin na ambako wanasumbuliwa zaidi na obesity.

hitimisho kiujumla ilikuwa ni hivi


1. adui mkubwa wa mwanadamu ni ulaji mwingi wa sukari na wanga.


2. adui mwingine ni ulaji usio na mpangilio. na milo mingi kama kuku mfano kwa siku mtu anamilo takribani mitano


3. elimu potofu. mfano mafuta ya wanyama yanaganda kwenye mishipa ya damu kitu ambacho si kweli wale walowahi shuhudia autopus/post motm watakuwa mashahidi


4. tatizo jingine kutokuwa na ratiba ya chakula. mtu akiamka asubuh ndo anafikiria ale nn. kitu ambacho kinafanya mtu alekile alichokiwaza kwa siku hiyo.


5. elimu potofu ya kunywa dawa za kuharisha ili kuondoa mafuta yaliyo ndani ya tumbo.
hii ni elimu ilojaa uongo mkubwa sana. mafuta hayakai ndani ya utumbo ila nje ya utumbo wa chakula
wale walowahi kufanya au kushuhudia upasuaji. wanafahamu yanapokaa mafuta
yanakaa nje kuzunguka utumbo na organ nyingine za mwili mfano moyo.figo nk.


6. elimu potofu ya maji ya moto.
mtu anamshauri mwenzake anywe maji ya moto ili ayeyushe mafuta yaliyo tumboni.
huu uongo umekaa miongon mwa watu miaka mingi,mafuta yanakaa chini ya ngoz sasa unawezaje yayeyusha na maji yanayokaa kwenye tumbo la chakula ambalo huwa haliwekagi mafutaaa?


7. mazoezi sana na ulaji sana, mtu amafanya mazoezi vizuri na anazingatia ratiba na lengo lake ni kupungua ila akishamaliza anaenda kula wanga mwingi na sukari ambavyo vinaenda kumeng'enywa na kuwa sukari ambayo inabadilishwa na mwili kuwa mafuta ambayo inahifadhiwa na mwili. mafuta hayo huwa kwenye mfumo wa minyama kiswahili chake sijui. ila tunaweza ita fat tissue.
mafuta haya kadri yanavyozidi kujilundika ndivyo mtu anazid nenepa. na huwezi yaondo kwa mazoezi peke yake. haya mafuta ni akiba ya mwili so mpaka yatumike lazma mwili uwe unaupungufu wa chakula cha kuendesha mwili kwa wakati au siku hizo.


8. Mazoezi ila mtu hajui mazoezi hayo yanamsaidia nn. mfano unakuta mtu ananyanyia vitu vizito ili kukunguza uzito au mwili. Hapa kwenye mazoezi napo panashida yake.


9. watu wanaelimu nyingi ila nyingi hazipo sawa.
ila elimu ya chakula sahihi ipo shule ya msingi nadhani darasa la sita kama sijakose pia shule ya upili.


10. Mtu anakwambia usile nyama ni mbaya. kuku ni mbaya. mayai mabaya. yan karibu kilakitu ni kibaya.
Nyama ni nzuri sana kwa afya ila kilakitu kiasi
mayai ni mazuri sana ila ni mayai gaji na kiasi gani si unakula mayai 10 ya kichemsha peke yako.


11. Wito wangu kwa watanzania wenzangu,tujitahid sana kuepuka wanga na sukari kupita kiasi.
unaweza kula hivi
Asubuhi
supu nyama
na kitafunywa chochote
plus matunda mfano tango au parachichi

mchana
Ugali mboga za majani/samaki/daga/maziwa nk
matunda
maji

usiku
Wali kiasi samaki/mboga za majan za kutosha/samaki
matunda kama parachich
maziwa fresh
nk
maji

huu mpangilio wq chakula ni mgumu kama huna ratiba ila ukiwq na ratiba hiwezi na utaona ni mgumu sana


WATU WA MICHEZO
Mfano
watu wa mpira wa miguu
Ngumi
riadha na micjezo mingine ya kutaka wepesi na uharaka
wanazingatia sana lishe maana ulaji mbaya kwao hasa pombe na wanga kunaongeza uzito ambako kunapunguza ufanisi wao

Bodybuilder
wanakula kiwango kingi cha vyakula vya proteni kwaajil ya kujenga mwili. wanga kwao wanakula kidogo sana maana ukinenepa mwili hauwezi kugawanyika.

******************************************
Mkuu umeongea vema sana. Naomba kusapoti andiko lako na makala haya hapa:
 
Kodi ya unene na kitambi ingeanzishwa ili kusaidia serikali kununua madawa na vifaa tiba kuwatibu vibonge pindi huo unene na kitambi utakapo anza kuwasumbua.
Ndio maana serikali imependekeza wanene wote walipishwe tozo ili fedha zipatikane kwa ajili ya matibabu ya raia. Hatuwezi kukubali minyama uzembe inayoligharimu taifa mabilioni y fedha bila sababu za msingi.
 
Mkuu umeongea vema sana. Naomba kusapoti andiko lako na makala haya hapa:
shukran kwa nyongeza.
Niliwahi pata tenda ya kumsaidia mtu kupungua.
ilikuwa kama sehemu yangu ya kaz na majukumu yangu makubwa yalikuwa kuhakikisha anapungua na uzito wake uwe sawa yan usipande tena.

Mazoezi hayakuwanye kwenye program yangu.

Nilikuwa na jukumu kuu moja la kujua mtu leo anakula nn toka anaamka. mchana na usiku anakula nini

Nilifanya kwa muda wa mwezi mmoja na mtu alipungua kilo 6 na alikuwa anakula na kushiba.


Elimu ya lishe n muhmu sana kwa ustawi wa maisha yetu na wanaotutegemea
 
Mkuu hii falsafa yako inaniletea changamoto kubwa kwenye ndoa yangu. Kiuhalisia nipo kama wewe mwanamke mwenye minyama jumlisha kitambi juu huwa sina hisia kabisa.

Sasa shemeji yako kaangukia huko, yaan siku nikijaribu kutumbukiza napata mgandamizo yaan nahisi maumivu makali ya tumbo, kwani haaa watu hawafai kwa style yoyote zaid ya kifo cha mende.

Nimezaa nae watoto watatu ila nimetokea kushindwa kihisia kutokan mophology yake. Imebidi tu nitafute masuria ya kumaliza shida zangu huyu nimewaachia wanatakao muweza.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa kweli umeongea jambo zuri sana. Hii mijianamke minene ni shida sana. Hata mkuu DeepPond analijua hili aisee.
 
Back
Top Bottom