Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanye utafiti kama niliofanya mimi mkuu. No research, no right to speak.Population sample ndiyo inathibitisha Janabi yupo sawa 100%?
100% umeipata kwa population sample kivipi? Watanzania 100% wanakufa kwa kula ovyo?
Population sample inathibitisha Janabi hakosei hata neno moja?
Unaelewa 100% ni nini wewe?
Nimekuuliza assumptions zako na margin of error, kwa nini hujajibu?
Utafiti gani usio na assumptions wala margin of error? Nimekuuliza umekimbia kujibu haya maswali. Utafiti gani huo?Kafanye utafiti kama niliofanya mimi mkuu. No research, no right to speak.
Pepo unaye wewe mwenye kuamini pepo.Sasa kama mtu ana mapepo ya ulaji yatatokaje bila kuombewa? Huwezi kujua hili ikiwa nawe una mapepo kichwani.
Mkuu,Unakuta mtu anakula kula zaidi mara tatu kutwa nzima, tumbo lake halijawahi kukosa chakula, hajui njaa mwili umenenepa hafanyi kazi za kutumia karoli kwa wingi mwilini, ni wa kukaa ofisini na kupanda gari tu kumbe angetembea tu hata umbali fulani ingetosha kusambaratisha sukari na mafuta mwilini mwake na mwili ukawa balanced, hiyo haifanyiki. Zamani kula iliendana shuhuli ya kufanya na muda wa kukaa bila kula huku ukiwa kwenye shughuli fulani. Siku hizi kukuta mzee bonge wa miaka 60 na hana changamoto za kiafya mwilini mwake ni nadra sana
Mkuu upo serious kweli? Kwa hiyo wewe unashauri mtu akiwa na maisha ya taabu hata ikibidi ajinyonge ni sawa?Mtu anakuuliza, kwa nini aishi maisha marefu ikiwa vile vitu anavyopenda kufanya, vile ambavyo anaona vinayapa maisha utamu, anakatazwa kufanya?
Mkuu wewe ni mtafiti kweli au basi tu? Unajua jinsi ya kufanya sampling?Utafiti gani usio na assumptions wala margin of error? Nimekuuliza umekimbia kujibu haya maswali. Utafiti gani huo?
Umefanya utafiti kuhusu nini?
Na Profesa Janabi yuko sahihi 100% kuhusu nini? Unaijua 100% wewe?
Tuanzie hapo kwanza.
Nina kg 66 na urefu ni ft 6.4Tumia chart hii inayoonyesha uhusiano kati ya uzito (y-axis) na urefu (x-axis) kujua BMI yako inakoangukia ili kujifanyia tathmnini binafsi:
View attachment 2860859
Mpaka sasa nakuuliza margin of error na assumptions hujajibu.Mkuu wewe ni mtafiti kweli au basi tu? Unajua jinsi ya kufanya sampling?
Huwezi kuhoji watanzania wote. Unachoweza kufanya ni kutafuta population sample kwanza. Then unaenda mbali zaidi unapata target population kutoka kwenye population sample. Hii sample ya mwisho sasa ndio unafanyia utafiti based on your chosen variables.
Sasa mimi katika sample niliyofanyia utafiti, wote wameangukia kwenye obesity. Hii ni sawa na 100% of the target population. Ungekuwa ni wewe ungepunguzaje hiyo asilimia ilmradi isifike 100% na kwanini?
Mkuu upo sahihi ngoja Tusubiri majibu yake.Mpaka sasa nakuuliza margin of error na assumptions hujajibu.
Profesa Janabi yuko sawa 100% kwenye nini?
Sample yako ni ya watu wangapi? Umeiwekea control gani? Umepata sample ya watu obese 100% Tanzania?
Unajua kwamba unaweza kutafuta watu wanne walio obese, ukafanya research, ukasema umefanya research Tanzania ukakuta 100% wako obese?
Ume avoid vipi selection bias katika research yako?
Profesa yupo sahihi mkuu. Kama unadhani ni muongo, basi ingia field ufanye utafiti. No research, no right to speak.https://www.nhs.uk/conditions/obesity/causes/#:~:text=It's%20caused%20when%20extra%20calories,in%20the%20body%20as%20fat.Hakuna kitu anachozungumza Professor anachokitoa tu kwenye akili zake.Anayozungumza ni yanayozungumzwa na science ya Afya, Kama unaona Janabi anadanganya basi chukua muda hata upitie tovuti za Vyuo Vikuu vya tiba au hospital kubwa maarufu duniani kuhusu ulaji wa hovyo na madhara yake uone kama professor ni Muongo
Mkuu hii link uliyobandika hapa umeisoma vizuri kweli? Hebu rudia kusoma:Hakuna kitu anachozungumza Professor anachokitoa tu kwenye akili zake.Anayozungumza ni yanayozungumzwa na science ya Afya, Kama unaona Janabi anadanganya basi chukua muda hata upitie tovuti za Vyuo Vikuu vya tiba au hospital kubwa maarufu duniani kuhusu ulaji wa hovyo na madhara yake uone kama professor ni Muongo
https://www.nhs.uk/conditions/obesity/causes/#:~:text=It's%20caused%20when%20extra%20calories,in%20the%20body%20as%20fat.
Probability sampling technique kivipi? Kwenye sample ya watu wangapi? Umewachaguaje kuhakikisha huna selection bias? Umetumia control gani? Assumptions zako zilikuwa zipi? Margin of error yako ni ipi?Nimetumia probability sampling techniques.
Cha msingi atupe Margin of errors na Assumptions za study yake kwanza.Probability sampling technique kivipi? Kwenye sample ya watu wangapi? Umewachaguaje kuhakikisha huna selection bias? Umetumia control gani? Assumptions zako zilikuwa zipi? Margin of error yako ni ipi?
Mbona hujibu maswali? Mtafiti gani unaogopa maswali?
Umefanya utafiti kweli wewe au unatupa chai tu hapa?
Na ukikuta watu 100% ni obese, hilo linamaanisha Profesa Janabi alikuwa sawa 100%?
Unajua kuna tofauti kati ya wewe kufanya research na kukuta watu 100% obese na Profesa Janabi kuwa sahihi 100% ?
Do you understand this simple logical fact?