Utafiti: Profesa Janabi yupo sahihi 100%; watu wanajiua wenyewe kwa upumbavu wao

Utafiti: Profesa Janabi yupo sahihi 100%; watu wanajiua wenyewe kwa upumbavu wao

Naamini 95% hawatakuelewa kwa ujinga wao na watajifanya wanaelewa sana na wataleta hoja za kijinga mradi wakupinge na kujifanya wao wanajuwa kumbe hawajuwi.

Niliwahi kuandika hivi kuhusu Watanzania:

Ubaya ni kwamba haya maradhi yanaua taratibu. Wahenga walisema asiyesikia la mkuu huvunjia guu. Naomba serikali ipitishe tozo haraka ili kuwakomesha hawa wapuuzi wanaoukula ovyo halafu wanakuja kuilaumu serikali kutoboresha huduma za afya. Wapuuzi kweli.

Pia naiunga mkono serikali kwa kutobresha huduma za afya. Unaboresha huduma ili kuwatibu wapumbavu magonjwa ya kujitakia? Waacheni wafe wazikane wenyewe. Hatutaki upumbavu.
 
Naamini 95% hawatakuelewa kwa ujinga wao na watajifanya wanaelewa sana na wataleta hoja za kijinga mradi wakupinge na kujifanya wao wanajuwa kumbe hawajuwi.

Niliwahi kuandika hivi kuhusu Watanzania:

Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
 
Kwa wale mnaopenda ulaji wa kiafya, zingatia viwango sahihi vya BMI. Ikiwa uzito wako umepitiliza, hakikisha unafanya jitihada za kuupunguza:
1704281011413.png
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Wewe endelea kupuuza. Unachokitafuta utakipata. Na tozo kwa wanene inakuja. Mtapigwa tozo hadi akili ziwakae sawa.
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Ziba masikio na usimsome.

Kama umeelewa kasema nini basi umemsikiliza, kwa hiyo na wewe umekiri upo kundi la wajinga. Simpo.
 
Hata uepuke kiasi gani au umfuatilie kiasi gani Peo Janabi katika kula UTAKUFA tu. Utaogopa kufa kwa hizo Non Communicable Disease lakini utakufa kwa maradhi yatikanayo na lishe duni!!

Kwani kwa akili yako unavyomuona Prof Janabi unadhani ni mzima? Muangalie alivyonyauka, kakondeana mgonjwa wa utopia mlo, uso mweusi kama ngozi ya goti. Huyu Janabi akienda coco Beach hawezi kuachwa na ule upepo wa bahari.

Haya maisha mafupi, unatafuta hela bado huwezi kula vizuri kisa unaogopa kupata hypertension au diabetes, kwani unataka kuishi miaka mingapi? Maana nayo kuishi miaka mingi kama akina Musuguri au Charles Njonjo (RIP) nayo ni changamoto kubwa.
Issue siyo kula vizuri bali kula sana kuliko uhitaji wa mwili.
 
Mwamposa ndiye mungu wenu? Watanzania wengi ni wajinga sana. Yaani uende ukauziwe udongo na maji kisa unakula asivyopenda Janabi?
Sasa kama mtu ana mapepo ya ulaji yatatokaje bila kuombewa? Huwezi kujua hili ikiwa nawe una mapepo kichwani.
 
Huyu ni janabi mwenyewe kaja kuchamba JF kwani serikali pesa ya matibabu ya wananchi inatoa mfukoni si kodi za wananchi wenyewe...kinakuuma nini?
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Kinachotakiwa sio kuacha kula bali ni kula kistaarabu. Kama unashindwa kula kistaarabu, unachokitafuta utakipata. Subiri serikali ianzishe tozo kwa wanene, huo uzito uliopindukia utaupunguza mwenyewe bila shuruti.
 
Back
Top Bottom