NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
Bibi sometimes, ukiondoa Udini unashusha nondo..🙌Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi sometimes, ukiondoa Udini unashusha nondo..🙌Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
Itungwe sheria inayofanana na wale wanaokunywa sumu au kujipiga risasi ili wafeKwa staili ya ulaji kama huu kwanini mtu asife mapema? Unategemea nini kutoka kwa mtu mpumbavu kama huyu? Si ameamua kujiua mwenyewe kwa makusudi?
Huyo Jamaa hata akili mbovu hana.Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
mbona Sugu, Msigwa, Lema, Mdee, Zitto, Bulaya, Mnyika wote walizaliwa mafukara lakini wakatajirika ndani ya utawala wa CCM?Chini ya ccm hakika watanzania tunapigika
Mkuu hiyo asilimia imejikita kwenye population sample niliyofanyia utafiti. Sample yote niliyoitafiti iliangukia kwenye obesity. Kwanini upinge wakati mimi ndiye niliyefanya utafiti?Unajuaje yuko sahihi kwa 100% na si 99% wala 98%?
Godel's Incompleteness Theorems zinakataa sayansi yenye uhakika wa 100%.
Mambo mengi anayoyasema Janabi bado yanafanyiwa uchunguzi. There are known unknowns. Utasemaje Janabi yuko sahihi kwa 100%?
Umefanya assumption gani? Una margin of error gani?
Janabi ana makosa kwenye presentation, si kwenye substance.
Kama wewe unavyokuwa na makosa hayo hayo ya presentation.
Kuna suala la usomi na utamaduni.
Watanzania wengi hata tukipata usomi, kubadili utamaduni ni kazi.
Kwa mfano, utamaduni wa kuwa unnecessarily dramatic umekufanya utoe asilimia katika jambo ambalo tukijikita kuihakiki hiyo asilimia, huwezi kuitetea.
Ingekuwa uko katika comedy show, ningejua unatumia comedic license for effect. But, this is science. There is no such license in science.
Unatoa asilimia 100% kiasi kwamba, mtu akitaka kuifanya hiyo asilimia iwe distraction, anafanya hivyo kirahisi tu.
Message yako ya muhimu kabisa inapotea. Watu wanakuona alarmist.
Mistake hiyo hiyo unayofanya wewe, ndiyo hiyo hiyo anayofanya Janabi.
Population sample ndiyo inathibitisha Janabi yupo sawa 100%?Mkuu hiyo asilimia imejikita kwenye population sample niliyofanyia utafiti. Sample yote niliyoitafiti iliangukia kwenye obesity. Kwanini upinge wakati mimi ndiye niliyefanya utafiti?
Kumbuka utafiti haupingwi kwa maneno matupu bali hupingwa kwa utafiti kinzani. Kama unataka kuni prove wrong, nenda kafanye utafiti kinzani sio porojo.
Biblia haiongei uwongo, uzima wa milele ni kuishi milele bila kuonja mauti.Urithi wa uzima wa milele. Maana yake unakufa kwanza ndio baada ya kufufuka unaurithi huo uzima ukiwa umekidhi viwango.
Halafu awape na keki ya upako!!!😂🤣😂🤣😂Kweli kabisa mkuu. Wakati mwingine hawa wapendakula wana mapepo ya ulafi. Wanapaswa waende kwa mtume Mwamposa awaombee mapepo ya ulafi yawatoke.
Mkuu,Babu yangu alikua hapendi kabisa kusikia haya mambo.
Hakuna siku aliacha kugida soda au bia, kama yupo kwenye dozi au mfungo atagida soda.
Siku nyingine ni bia.
Aliishi miaka 70+.
Hakika umenyooka bundle la jero pia hulioni!Chini ya ccm hakika watanzania tunapigika
Binadamu wote wakiwa katika utimamu wa akili na afya njema wanataka kuishi maisha marefu, vinginevyo labda walio katika mateso makali, ufukara uliokithiri au magaidi wa kujitoa mhanga.Mkuu,
Hata kama angeishi miaka 20 tu, kama alielewa kuwa akilewa kila siku atakufa na miaka 20, ni haki yake tu.
Kwanza, si kila mtu anataka kuishi maisha marefu.
Wengine wanamazingira, wanaona kuishi maisha marefu ni ubinafsi na kuharibu mazingira.
Wanataka waishi maisha mafupi, matamu.
Sasa hao nao utawalazimisha waishi maisha marefu bila wao kutaka?
Hapana,Binadamu wote wakiwa katika utimamu wa akili na afya njema wanataka kuishi maisha marefu, vinginevyo labda walio katika mateso makali, ufukara uliokithiri au magaidi wa kujitoa mhanga.
Exactly [emoji817]....elimu mpauko hata yeye anajua...
Kweli watu wanahitaji elimu sana kwenye lishe bora, siku hizi vyakula vingi tunavyotumia sio balanced diet.
Mijini imekuwa fashion siku hizi kuku wa kukaanga na mishikazi ya kukaanga na chips mafuta yanayotumika pamoja na kuwa low quality yanakuwa overused mpaka yanakuwa meusi sana.
Haina ya chakula hii na zege kwa afya ya moyo na mishipa ya damu ni vibaya sana na wengi wanatumia kila siku.
Tunatengeneza taifa la vijana ambao wanapata magonjwa yasiyoambukiza na ghali sana kuyatibu.
Bado tuna vyakula vya asili vingi tu lakini elimu ya chakula bora wengi hawana kabisa.
Wadau husika inabidi wastage intervention mapema kabla hali haijawa mbaya sana.