tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #41
Profesa janabi ni msomi makini na asiyekuwa na makuu. Anawapenda watanzania ndio maana anawausia jinsi ya kula vizuri kuepuka maradhi. Wewe kinachokuuma nini?JANABI MUONGO MUONGO HAMNA MAISHA YA NAMNA HII. MUONGO NA ANATAFUTA ATTENTION