Utafiti: Top 10 ya mikoa yenye wanawake wenye sura nzuri

Utafiti: Top 10 ya mikoa yenye wanawake wenye sura nzuri

Dar hawana sura nzuri bali ni walimbwende. Ni maridadi sopsop.
 
hii list mbovu aisee, kuna mkoa hapo mmeisahau aisee
 
Hapa utafiti wangu ulilenga kuangalia sura nzuri tu.mambo kama tabia ya mtu,chura, na shape sikuyajumlisha.
Na haya ndio matokeo ya utafiti wangu:
1.Arusha
2.Manyara
3.singida
4.Tanga
5.Tabora
6.kilimanjaro
7.Pemba
8.unguja
9.Dodoma
10.Dar es salaam.
Asanteni
Uchungu wa kipumbavu ndo mana wabongo ampew research za madin na gec
 
Hapa utafiti wangu ulilenga kuangalia sura nzuri tu.mambo kama tabia ya mtu,chura, na shape sikuyajumlisha.
Na haya ndio matokeo ya utafiti wangu:
1.Arusha
2.Manyara
3.singida
4.Tanga
5.Tabora
6.kilimanjaro
7.Pemba
8.unguja
9.Dodoma
10.Dar es salaam.
Asanteni

Na labda tuongezee tu kuwa nje ya kuwa na hizo Sura zao nzuri wa Arusha na Kilimanjaro ni ' Wezi ' wazuri tu, huku wa Manyara na Singida ni ' vichenchede ' tupu, wa Tanga, Pemba na Unguja ni ' Walozi / Vigagula ' wazuri tu, wakati wa Tabora na Dodoma ni ' walafi ' kupindukia na wa Dar ambao ni Wazaramo ni ' wachafu ' mno.

Binafsi nimetembea Mikoa mingi sana nchini Tanzania ila sijawahi kupata kuona Mkoa wenye Wanawake ' wazuri ' na ' warembo ' kama wa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) na sishangai ndiyo maana hata siku hizi Wanaume wengi wanakimbilia sana kwenda kuoa Wanawake wa huko ( Mara ).
 
Na labda tuongezee tu kuwa nje ya kuwa na hizo Sura zao nzuri wa Arusha na Kilimanjaro ni ' Wezi ' wazuri tu, huku wa Manyara na Singida ni ' vichenchede ' tupu, wa Tanga, Pemba na Unguja ni ' Walozi / Vigagula ' wazuri tu, wakati wa Tabora na Dodoma ni ' walafi ' kupindukia na wa Dar ambao ni Wazaramo ni ' wachafu ' mno.

Binafsi nimetembea Mikoa mingi sana nchini Tanzania ila sijawahi kupata kuona Mkoa wenye Wanawake ' wazuri ' na ' warembo ' kama wa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) na sishangai ndiyo maana hata siku hizi Wanaume wengi wanakimbilia sana kwenda kuoa Wanawake wa huko ( Mara ).
Mkuu acha uongo, Wanawake wa Mara si wazuri.Mimi mwenyewe nimekaa Mara miaka mitatu yaani hao madada zenu wanafanana na wanaume.
 
Kumbe wa zaramo nao wamo (Dar es salaam)
 
Sawa mikoa yenye wanawake wazuri poa, weka na wanawake wenye figa nzuri au mikoa inayo ongoza kwa wanawake wenye maumbo ya namba 9 pia wanawake wanaoongoza kwa michepuko au mitala ili hali wapo kwenye ndoa.
 
Chezea watoto wa kimbulu...
Chezea watoto wa kimasai..
Chuga ipo juu
Cc. Nifah
 
Ila kumbuka dsm n tanzania,kwahyo mikoa yote iko hapo,mi naona ungeitoa kwenye list........aisee arusha noma watoto wazuri mpaka bar sasa hao wa geti kali sijui wakoje,lazima nioe demu wa bar toka arusha.....lakin arusha nayo n kama dsm inawatoto kutoka kilimanjaro na manyara
 
Hapa utafiti wangu ulilenga kuangalia sura nzuri tu.mambo kama tabia ya mtu,chura, na shape sikuyajumlisha.
Na haya ndio matokeo ya utafiti wangu:
1.Arusha
2.Manyara
3.singida
4.Tanga
5.Tabora
6.kilimanjaro
7.Pemba
8.unguja
9.Dodoma
10.Dar es salaam.
Asanteni
1476129542111.jpg
 
Back
Top Bottom