Utafiti: Ukitaka mwanamke asikuangalie sana fanya haya...

hilo dubwashana ni saizi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwelii.
Wengine hata magar ya kuazima hatuna lakin tunawachinja na magari yao mnayowa nunulia.
Mambo zingine hazinaga formula..msiishi kwa kukariri

ah sasa unajua hapo tunasema hivyo bado uja factor in quality ya mrembo
no way on this earth utamgegeda mrembo thats an 8/10 bila kuwa na gari hilo mie nakataa.
 
Agiza kinywaji popote ulipo nakuja kulipia!!! Hiyo mbinu ni 100% True
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wale ambao wako flat tuwaangalie nini.
 
We cheka ila hakikisha umevaa mask.Maana cvd19 kwasas ni wireles
Acha woga mtoto wa kiume!yaani ufe kwaajili ya corona? Tz hii hii au? Mwanaume unakufa kwa ajali babkubwa ...tena unafia hapohapo road..sio ukalazwe !
Wanawake bora wafie gest🤣🤣 kuliko kaugonjwa kenu kadogooo mnakakuza tu😉😉😉!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…