Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
No comment..
NB
Unavyodhan ndivyo sivyo ila dunia ndivyo ilivyo
Ahahahah..Mkuu umeanza kuvuta bangee siku hiz eeh!!???Acha woga mtoto wa kiume!yaani ufe kwaajili ya corona? Tz hii hii au? Mwanaume unakufa kwa ajali babkubwa ...tena unafia hapohapo road..sio ukalazwe !
Wanawake bora wafie gestπ€£π€£ kuliko kaugonjwa kenu kadogooo mnakakuza tuπππ!
Inauma ila ndio dawa hiyo no way..sema kwakua hatak kuukubal ukwel ndio mana ananikatalia...Mie nakubaliana na ww....! Kwan mnavyosemaga wake za watu ni chakula ya mabodaboda si ndo haya haya! Home ameacha ndinga boda anakuja mvua kyupi kiwepesiiii!...π£π£π£
Wanawake ni viumbe vinavyopenda Sana kuchunguza Mambo madogomadogo ya watu ikiwemo muonekano.
Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi...
Rangi
Urefu
Umbile
Kipato
Nini unamzidi
Kipi anakuzidi
Anakudefine pia who u might be
Sasa tafiti zinaonyesha kwamba mwanamke akikuangalia saaaaana ujue anatafuta thamani yako na udhaifu wako. Vs. Ubora wake na udhaifu wako.
Sasa wataalamu wanasema ukitaka mwanamke akuonee aibu asikuangalie kabisa fwata pattern hii...
1.Mtazame machoni kwanza
2.Kisha mwangalie tako lake.
Ukishafanya hivyo mtazame Tena utaona hakuangali ng'ooooo maana umeshampa mtihani yeye hivyo umempunguzia confidence ya kujiamini atabaki anajiuliza yeye hivi tako langu kalionaje....? Cha ajabu hata Kama tako la mwanamke ni kubwa ukishaliangalia hawajiamini anaona aibu.
Utafiti huu umelenga kuwapa confidence mabaharia wenye muonekano mbaya kwa mademu ili wajiamini.
Superbug.
Mwanamke ambaye Hana hela akiwa barIla hii inaaply pia kwa wanawake!...ukiwa huna hela ke bar unakaa kwa woga woga jicho juu juu..safari za chooni kila mara! Upate attention....! Ukiwa na hela hata kuitwa hovyohovyo hakuna!!...hata ukiaga kwa crew unayokunywa nayo utaruhusiwa fresh tu usepe!
Kitambo ndio codeMwanaume mwenye hela bahati mbya sana anajulikana!..hawajifichi!
Zipi ndio inayokuvutia zaidiMtu nisiyemfahamu tena mwanaume siwezi kumuangalia zaidi ya dakika moja,wa nini?labda awe hajafunga zipu ama awe na kitu kinachoshangaza
Mwanamke ambaye Hana hela akiwa bar
Moja huwa bize sana na simu yake
Mbili ang'aza macho Kama anatafuta mtu bar [emoji3][emoji3]
Chooni kwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu nisiyemfahamu tena mwanaume siwezi kumuangalia zaidi ya dakika moja,wa nini?labda awe hajafunga zipu ama awe na kitu kinachoshangaza
Hahaha, sasa asipofunga zipu ndiyo unamuangalia, unaangalia nini usichokijua!?
Hivi kuyajua hayo mtu anahitaji kukuangalia sana?!Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi...
Rangi
Urefu
Umbile
Atakuangalia angalia vp hadi afahamu kipato chako?Kipato
Hapo sekunde mbili tu zinamtosha kujua pamoja na kwamba wewe ni mwanaume, lakini unamzid tako, na yeye anakuzidi nywele!Nini unamzidi
Kipi anakuzidi
Labda kama huna hela na kwahiyo mchafu mchafu, hapo ndo lazima aku-define "you might be just a thief" au teja flani hivi.Anakudefine pia who u might be
π π π π π π πSiri ya hayo wewe kuwa na hela! ...ni sumu sana!..mengine mbwembwe
Mmekuwa waoga sanaKuangaliwa na mwanamke napo imekua tatizo kubwa mpaka kufikia hatua hii?