Utafiti: Ukitaka mwanamke asikuangalie sana fanya haya...

No comment..

NB

Unavyodhan ndivyo sivyo ila dunia ndivyo ilivyo

Mie nakubaliana na ww....! Kwan mnavyosemaga wake za watu ni chakula ya mabodaboda si ndo haya haya! Home ameacha ndinga boda anakuja mvua kyupi kiwepesiiii!...😣😣😣
 
Ahahahah..Mkuu umeanza kuvuta bangee siku hiz eeh!!???
 
Mie nakubaliana na ww....! Kwan mnavyosemaga wake za watu ni chakula ya mabodaboda si ndo haya haya! Home ameacha ndinga boda anakuja mvua kyupi kiwepesiiii!...😣😣😣
Inauma ila ndio dawa hiyo no way..sema kwakua hatak kuukubal ukwel ndio mana ananikatalia...
 

Kweli kabisa, ila kwangu mwanamke hata kama ana tako zuri ila sura mbaya huwa sina time naye hata akinisalimia huwa naitikia tu na kusepa. Mwanamke akiwa mzuri kisha ananiringia ndipo nami nampa mtihani huo mpaka mwenyewe anajidharau na kutetemeka nikimsemesha. Sibabishwi na wanawake hata siku moja labda aniroge tu.
 
Mwanamke ambaye Hana hela akiwa bar

Moja huwa bize sana na simu yake

Mbili ang'aza macho Kama anatafuta mtu bar [emoji3][emoji3]

Chooni kwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu nisiyemfahamu tena mwanaume siwezi kumuangalia zaidi ya dakika moja,wa nini?labda awe hajafunga zipu ama awe na kitu kinachoshangaza

Hahaha, sasa asipofunga zipu ndiyo unamuangalia, unaangalia nini usichokijua!?
 
Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi...

Rangi
Urefu
Umbile
Hivi kuyajua hayo mtu anahitaji kukuangalia sana?!
Atakuangalia angalia vp hadi afahamu kipato chako?
Nini unamzidi
Kipi anakuzidi
Hapo sekunde mbili tu zinamtosha kujua pamoja na kwamba wewe ni mwanaume, lakini unamzid tako, na yeye anakuzidi nywele!
Anakudefine pia who u might be
Labda kama huna hela na kwahiyo mchafu mchafu, hapo ndo lazima aku-define "you might be just a thief" au teja flani hivi.
 
πŸ˜€πŸ˜€ kazi kweli kweli
 
Wanaume bhana, me huo muda wa kumtazama mtu sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…