Jamani ladynaa...unakimbizwa??
Dismond tena?
hahahahaha baada ya kukosa fact unatoa pumba, yani unamfuatilia diamond ukoowake wote unawafahamu duuuuuh...
Mi mwajuma ndala ndefu mtoto wapili wa kiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ladynaa...unakimbizwa??
Dismond tena?
hakuna ukweli kwenye hilo, Dismond kaingia followers milioni jana sijaona anaepata followers wengi kwa kasi kama diamond
Na hao ni watu wameongezeka sio namba kama namba
Hivi ukiwa na followers wengi unalipwa sh ngapi?
Nina uhakika hao followers sio wa hapa tanzania..na kigezo cha ma followers hakitoshi kuwa kielelezo kuwa anapendwa na watanzania..hao ni followers globally! ..
kama domo amekuwa lofa anapost uchoko kutukana ukawa kama alivyo yeye