Utafiti Usio rasmi: Watanzania wenye kipato cha Tsh. 20,000 kwa siku hawazidi milioni tano

Utafiti Usio rasmi: Watanzania wenye kipato cha Tsh. 20,000 kwa siku hawazidi milioni tano

Halina ubishi hili wala halihitaji Phd ndiomaana tunaitwa nchi masikini, ama nchi ya dunia ya tatu maana yake ni kwamba wengi wa watu wake wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku dola moja nikama sh 2300 hivi sasa imagine kuanzia asubuhi , chai, kula mchana ,jioni , maji usafiri e.t.c , ndio mjue kwamba Tanzania ni nchi masikini sana
 
Kinachofanya umasikini ututawale wengi tunazaa sana bila kuandaa maziñgira ya kuwalea

Wewe chunguza familia nyingi yenye watu saba watafutaji utakuta ni wawili tu hao wengine wanasubiria kutakachopatikana kwa mfumo huo huwezi kuweka akiba hata ya 200000,
 
Tafiti hupingwa kwa tafiti, Mkuu, tunashukuru sana kwa kutupa hizo data japo siyo rasmi lakini kwa kiasi kikubwa unaonesha uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Kimsingi, watu wetu ni masikini, kuna kazi ya kufanya kuondoa huo umasikini.
 
Fundi ujenzi kwa siku analipwa 25,000, je wako wangapi nchi hii?
 
Ndio maana watu wanatukana matusi kwenye social media, unakuta mtu njaa ni kali moja haikai mbili haikai, familia yake ni 'Mungu na Wanadamu' kifupi hana mbele wala nyuma. Hasira zote zinaishia kwenye matusi na lawama kwa wanasiasa. Hii bongo ni nyoso..
 
Fundi ujenzi kwa siku analipwa 25,000, je wako wangapi nchi hii?


Kuna Fundi na Saidia Fundi

Ukitaka ujue nisemayo ni kweli, zunguka Tanzania yote utaelewa
 
Back
Top Bottom