Halina ubishi hili wala halihitaji Phd ndiomaana tunaitwa nchi masikini, ama nchi ya dunia ya tatu maana yake ni kwamba wengi wa watu wake wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku dola moja nikama sh 2300 hivi sasa imagine kuanzia asubuhi , chai, kula mchana ,jioni , maji usafiri e.t.c , ndio mjue kwamba Tanzania ni nchi masikini sana