edwin george
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 1,218
- 981
alikuwa ndotoni uyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnatafuta kick kwa mgongo wa kiranga, hakuna ushahid mtu hajafa ushaona mtu anafanyiwa operation anakua amekufa? damu inaacha kuzunguka ktk mwili? nonsense leten ushahid i doubt kiranga atakua na mda wa ku respodn to such empty proofKiranga yuko wapi, natamani kuona reaction yake kuhusu hili
Akija atachafua Mada bora asiuone Uzi huKiranga yuko wapi, natamani kuona reaction yake kuhusu hili
Mkuu huko si kuua ni kudhoofishaAisee hii issue nipasua kichwa ukiifikiria katika upeo wetu. Hata mimi kuhusu Bi. Pam najiuliza maswali ambayo hayana majibu. Kama waliweza kumuua kwa muda na baadaye kuurudisha uhai wake, inashindikana je kurudisha uhai wa mtu aliyekufa?
Mkuu hebu nisaidie nawezaje kuihisi roho..?Vingi ya unavyoamini uliambiwa na vingine ulisimuliwa,sasa hivi unaambiwa habari nyingine ambazo zinapingana na habari ambazo umezifahamu maisha yako yote.
Nikushauri,fanya utafiti wako kisha uamue ni kipi cha kuamini. Jaribu kuwa huru,usikubali dini iteke ufahamu wako kwenye kutaka kuujua ukweli.
Binafsi nimeshajiridhisha kwamba kulikuwa na maisha kabla ya kizaliwa na kutaendelea kuwa na maisha baada ya kufa kwa mwili.
Roho haifi.
Wewe ni Roho,uliye ndani ya mwili wenye nyama mifupa na damu.Mkuu hebu nisaidie nawezaje kuihisi roho..?
We ulishawahi kufanya na ukaprove..?Wewe ni Roho,uliye ndani ya mwili wenye nyama mifupa na damu.
Wanasema ukifanya meditation unapata mawasiliano ya ndani zaidi na kufahamu mengi zaidi ya kiroho.
Ha ha ha hii nayo kaliAkija atachafua Mada bora asiuone Uzi hu
Mkuu huu sio uzi wangu,naona tuache watu wachangie mada husika.We ulishawahi kufanya na ukaprove..?
fanya astra body projection utapata jibuMeditation
Mkuu watu wa meditation huwa wanatoka nje ya mwili kwa mujibu wao
Na wana uwezo wa kukaa pembeni na kuangalia mwili waliouacha,
Kwenye hili swala maisha baada ya kifo nafikiria sana ila sifahamu kama kuna life after death...
Lakin cha kujiuliza ni kwa nini watu wengi wanapokuwa wanataka kukata roho huwa wanaona watu????
Akija atachafua Mada bora asiuone Uzi hu
Aliyekufa anakuwa ameshaingia kwenye ule mwanga mkali tayari [emoji23] [emoji23]Aisee hii issue nipasua kichwa ukiifikiria katika upeo wetu. Hata mimi kuhusu Bi. Pam najiuliza maswali ambayo hayana majibu. Kama waliweza kumuua kwa muda na baadaye kuurudisha uhai wake, inashindikana je kurudisha uhai wa mtu aliyekufa?
Ukisema roho bado kutakuwa na maswali kama vile; roho ni nini? Roho inathibitishwa je?Huo utafiti hamna kitu ni mkwara tu,mtu kufa maana yake ni kutoka rohoo.Kwenye huo utafiti hakuna sehemu ambayo mtu alitoka rohoo bali ni organ za mwili zilifreeze kufanya kazi tu!......Kutoka rohoo ni zaidi ya organ za mwili kufreeze kufanya kazi!!
Mimi hatajudi nimefanya na majibu nimeyaona ...We ulishawahi kufanya na ukaprove..?