Utafiti wa Kisayansi: "Kuna maisha baada ya Kifo"

Utafiti wa Kisayansi: "Kuna maisha baada ya Kifo"

Ukisema roho bado kutakuwa na maswali kama vile; roho ni nini? Roho inathibitishwa je?

Sent from my HUAWEI Y511-U30 using JamiiForums mobile app
Hapo kale wanasayansi walishindwa kuthibitisha mambo mengi tu ila sayansi ilivyokua yakathibitishwa.Sisi kwa sasa hatuna uwezo wa kuthibitisha rohoo ila huko mbeleni wanasayansi wataweza kuthibitisha rohoo kama vile mambo mengi yaliyoshindikana huko nyuma sasa hivi yamewezekana!!!
 
Hapo kale wanasayansi walishindwa kuthibitisha mambo mengi tu ila sayansi ilivyokuwa yakathibitishwa.Sisi kwa sasa hatuna uwezo wa kuthibitisha rohoo ila huko mbeleni wanasayansi wataweza kuthibitisha rohoo kama vile mambo mengi yaliyoshindikana huko nyuma sasa hivi yamewezekana!!!
Inanipa kigugumizi kuwashangaa wanaosema hakuna roho! Hivi .... zinawatosha kweli au?
Chukulia haya macomputer yangekuwa yajiendesha yenyewe alafu yaanze kubishana eti hakuna kitu kinaitwa software ... ungeyafikiriaje haya macomputer?
 
Wataalamu wa afya huwa tunatafsiri kifo iwapo itatokea kifo cha shina la ubongo (Brainstem death)... When brainsteam dies hakuna mtu yeyote anayeweza kurudisha uhai wake.. Dalili za kifo kama vile kutopumua , kuwa wa kijivu, mapigo ya moyo kusimama , kukakamaa , kuharibika/kuoza huanza kujitokeza
Inaposemekana mtu amekufa huwa tuna test maalum za kutambua iwapo shina la ubongo limekufa i.e brainstem death na hapo ndipo tunatoa tafsiri ya kifo na kuchunguza sababu za kifo hicho.. Kwa maelezo yako hapo hamna dalili yeyote ya kifo.. Hizo ni porojo na hisia tu..
 
Wataalamu wa afya huwa tunatafsiri kifo iwapo itatokea kifo cha shina la ubongo (Brainstem death)... When brainsteam dies hakuna mtu yeyote anayeweza kurudisha uhai wake.. Dalili za kifo kama vile kutopumua , kuwa wa kijivu, mapigo ya moyo kusimama , kukakamaa , kuharibika/kuoza huanza kujitokeza
Inaposemekana mtu amekufa huwa tuna test maalum za kutambua iwapo shina la ubongo limekufa i.e brainstem death na hapo ndipo tunatoa tafsiri ya kifo na kuchunguza sababu za kifo hicho.. Kwa maelezo yako hapo hamna dalili yeyote ya kifo.. Hizo ni porojo na hisia tu..
mkuu hiyo brainstrem ndiyo ugwemgongo au?
 
Wataalamu wa afya huwa tunatafsiri kifo iwapo itatokea kifo cha shina la ubongo (Brainstem death)... When brainsteam dies hakuna mtu yeyote anayeweza kurudisha uhai wake.. Dalili za kifo kama vile kutopumua , kuwa wa kijivu, mapigo ya moyo kusimama , kukakamaa , kuharibika/kuoza huanza kujitokeza
Inaposemekana mtu amekufa huwa tuna test maalum za kutambua iwapo shina la ubongo limekufa i.e brainstem death na hapo ndipo tunatoa tafsiri ya kifo na kuchunguza sababu za kifo hicho.. Kwa maelezo yako hapo hamna dalili yeyote ya kifo.. Hizo ni porojo na hisia tu..
Porojo zangu au za waliofanya utafiti? Sielewi unapinga ni nini, utafiti au uwakilishi wa huo utafiti?
 
Ukifa wenzio twala,,, ukifa cell hai zote zinakuwa zmekufa na ndo maana unaoza kauli za kuna maisha baada ya kufa ni kauli walizokuwa wanatumia watu wazaman kujifariji
 
Ukifa wenzio twala,,, ukifa cell hai zote zinakuwa zmekufa na ndo maana unaoza kauli za kuna maisha baada ya kufa ni kauli walizokuwa wanatumia watu wazaman kujifariji
maisha yanayosemewa baada ya kufa si ya kiroho?
 
Huyo mama atakuwa alivulugwa tu na tatizo alilokuwa nalo.
 
I do believe kuna maisha mengine ya binadamu kwenye ulimwengu mwingine tofauti na huu mwili. Kitu ka hicho kiliwahi kunitokea kujiona Niko kwenye ilimwengu mwingine na mwili mpya kabisa na nilikua najiona mwepesi na tofauti na ile hali ilinivutia na kunifurahisha kiasi nilikua na watu wengine nafurahia nakushangaa, nikawa nagoma kurudi kwenye hali ya umwili maana nilinogewa then wale watu kuna jinsi walinipiga mgongoni nikarudi hali ya kawaida. So I do believe kuna maisha mengine tofauti na haya tuyaishiyo kwenye ulimwengu huu wa kibinadamu
 
I do believe kuna maisha mengine ya binadamu kwenye ulimwengu mwingine tofauti na huu mwili. Kitu ka hicho kiliwahi kunitokea kujiona Niko kwenye ilimwengu mwingine na mwili mpya kabisa na nilikua najiona mwepesi na tofauti na ile hali ilinivutia na kunifurahisha kiasi nilikua na watu wengine nafurahia nakushangaa, nikawa nagoma kurudi kwenye hali ya umwili maana nilinogewa then wale watu kuna jinsi walinipiga mgongoni nikarudi hali ya kawaida. So I do believe kuna maisha mengine tofauti na haya tuyaishiyo kwenye ulimwengu huu wa kibinadamu
mtihani !!
 
I do believe kuna maisha mengine ya binadamu kwenye ulimwengu mwingine tofauti na huu mwili. Kitu ka hicho kiliwahi kunitokea kujiona Niko kwenye ilimwengu mwingine na mwili mpya kabisa na nilikua najiona mwepesi na tofauti na ile hali ilinivutia na kunifurahisha kiasi nilikua na watu wengine nafurahia nakushangaa, nikawa nagoma kurudi kwenye hali ya umwili maana nilinogewa then wale watu kuna jinsi walinipiga mgongoni nikarudi hali ya kawaida. So I do believe kuna maisha mengine tofauti na haya tuyaishiyo kwenye ulimwengu huu wa kibinadamu
Dada hebu nipe siri ya kufika huko. Ilikuwa je hadi ukafikia hali hiyo?
 
mwanzo 3:19....kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.
wanaosema mtu anaishi baada ya kufa wanampinga Mungu waziwazi
 
Huyu mleta uzi anajaribu ku infuse spiritualism, kuna study ya scientology ina mambo kama hayo sana tu, wao spirit wanaita theta, wanadai wanaweza kumfanya mtu awe clear na pia mtu anaweza kutoka kwenye mwili wake. Nimesomaa hadi nikaona sasa nafundishwa u satanism kwa vile kwanza study yenyewe ina deny existence ya Creator kwa namna ambayo hawaelezi directly lakini ukisoma utajua wanataka nini uelewe. Founder wa dianetics na scientology ni Ron Hubbard ambaye alikuwa ni nuclear scientist, nikajiuliza, elimu yote hii anayoitoa na akatoa na experience zake alizofanya kwa watu, mbona yeye hajaishi milele? Alikufa mwaka 1985, nikaona kumbe elimu zote hizi ni kutuvuruga tu, ni bora ukomae kumtafuta Mungu wa Ibrahimu, kwa kumuamini Kristo wake ambaye anakupa Imani (hapa namaanisha Faith sio belief) ambayo ukiipata hiyo Imani unakuwa na uwezo wa kufanya chochote duniani hata kama ni kuuhamisha mlima na mwisho wa siku Imani hiyo inakuokoa na kifo hichi tunachokipata, haya mambo ya astra body sijui nini ni i
upuuzi mtupu.
 
Sayansi ina kidogo wakati nguvu za Mungu hazina kikomo. Ukiwauliza mambo fulani wanasayansi watakwambia because of nature. Lakini warlike what is nature Havana jibu swahili. Mambo ya Mungu mwambie Mungu na kama wewe haha mini endless kutokuamini ila litakapokukuta la kukuta it will be too late. Ila similar Tina zaidi kumuomba wewe na wen zamora mate kufunguliwa na Roho Mtakatifu
 
Back
Top Bottom