Utafiti wa Kisayansi: "Kuna maisha baada ya Kifo"

kuna mdada flani wa mbeya alitoaga story kama unavyosema wewe. alipelekwa ulimwengu mwingine na kuonyeshwa maisha ya huko
 
Einstein's theory is that matter plus energy is constant. Thus various forms of matter and energy are variations in the constant of unity. Another name for this constant and unity is GOD. All variations in this world are but vibrations in this constant unity of the Almighty GOD. Variations of energy in matter renders it with properties. Conscious energy directly influences variations of energy and property of matter. Conscious energy is the causal force in the variations of energy and matter and also causes variations in automated matter - energy variations. Conscious energy causes variations in automated thought processes. Mind is a pool of thought processes that is tied to body. Conscious energy resides in mind. This is Soul. Conscious energy - Soul is immortal - indestructible. In other words, it is not subject to the frequency of variations that matter - body is. The conscious energy Soul upon leaving body which then changes form very fast - deteriorates; while carrying automated thought processes along, upon entering different body, may manifest recall of past events from the carried forward thought processes providing evidence of reincarnation. Record of such events abounds in all cultures. A detailed explanation on reincarnation, among many other issues, is there for any interested person in Shrimad Bhagwat.
 
I do believe in God, but yet I don't believe much about these types of experiments. In any big operations, people can not die 100%. If you die 100%, you can not wake up. If you wake up, then, you was not dead.
This is called near death experience. Kuna shuhuda nyingi tu za watu ambao wameshapitia hali hii na mwili kurudi kufanya kazi kama kawaaida na kushuhudia waliyoyaona. Nitazitafuta na kuzionganisha hapa.
Binafsi naamini katika uwepo wa Mungu "The Creator" na life after death too

 
Naweza kuwait shuhuda wa hili maana kuna kipindi niliugua sana ilifikia hatua nikajiona kama ninaelea na nina amani wana ila nilishituka baada ya kupigwa drip.
 
kuna movie niliitazama mwaka jana,inaitwa dr. strange. ndani yake kuna scene inayofanana na tukio alilo eleza mtoa mada la mgonjwa kutoka nje ya mwili wakati anafanyiwa matibabu.inasisimua sana.hatari sana hizi habari.
 
mwanadamu na kifo.....ni kama kujaribu kuiangalia bahari uone mwisho wake....
 
Ni kweli kuna maisha baada ya kifo na maisha hayo yanategemea ulijiandaaje kabla ya kufa (kwa mujibu wa vitabu vitakatifu )mengine ya wazungu ni snema tu.
 
Ile ni hofu ya kifo ndomana anaona watu
 
Nafikir na hzi movie tunazo angalia mzungu anajaribu kufikiria baada ya kufa binadamu anaweza kuishi tena ndo wanafkiria kama inawezekana akawa kama zombi au vampire
 
Ni kweli hata wwe wawezajifunza elimu hio ya kuuacha mwili na kwenda sehemu nyingine inaitwa astral Kwa watu wa meditation wanajua,pia kidini yapo maisha baada ya kifo tusiogope IPO siku tutaungana na wapendwa wetu ndugu zetu wazazi wetu na tutakuwa nao Furaha na amani tena fikiria unakuja onana na ndugu au wapendwa ni Furaha ilioje,tusisumbukie sana dunia hii yapita tuishi na tuzidi kutenda mema Kwa wote, na tusiogope.Dunia ni kubwa na hatuwezi maliza elimu yote.
 
Mkuu hiyo ni neema umepewa bure! Nakupongeza sana kuyajua haya
 
Ni kweli kuna maisha baada ya kifo na maisha hayo yanategemea ulijiandaaje kabla ya kufa (kwa mujibu wa vitabu vitakatifu )mengine ya wazungu ni snema tu.

Vitabu vitakatifu, vimeletwa na nani?
 
Kwa maana hiyo hakuna kufa. Siamini kama kuna kitu kinaitwa maisha baada ya kifo, maana kinachokufa kinakuwa hakipo popote pale.

Kama kuna maisha mengine tofauti na hapa duniani, maana yake hatufi bali tunahama tu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…