Utafiti; Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha

Utafiti; Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha

Sheria ya tanzania...mkimuua mtanzania popote pale mtachakazwa...
Duniani kote utaratibu ni kwamba ukikamata "live birds" sheria ni kuwateketeza sio kuwarudisha. Ujinga wenu wa kutojua na kufuata sheria za kimataifa, ndio zilizowafanya muwekwe katika kundi la "failed states". Kenya hakuna sheria yoyote inayofuatwa, vinavyoongoza nchi ni Rushwa na Ukabila tu.
 

Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha kutokatana na gharama za maisha kuwa juu nchini mwao, rushwa na ukosefu wa ajira. Matokeo ya utafiti huu yanaendana na utafiti mwingine ulioonyesha kwamba, wakenya wengi hawapendi kuishi nchini mwao na wanapenda kutoroka na kuishi nchi za nje.

Hali hii ya wakenya kukata tamaa ya maisha na kuwaza kutoroka, imesababisha mkenya mmoja Jana kujificha katika eneo la gurudumu la ndege ya KQ ili aweze kutoroka Kenya, bahati mbaya amefariki kabla ya kutimiza lengo lake.
Hehehe ya Kenya mnajua sana lakini ya kwenyu mnajifanya hamyaoni.
 

Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha kutokatana na gharama za maisha kuwa juu nchini mwao, rushwa na ukosefu wa ajira. Matokeo ya utafiti huu yanaendana na utafiti mwingine ulioonyesha kwamba, wakenya wengi hawapendi kuishi nchini mwao na wanapenda kutoroka na kuishi nchi za nje.

Hali hii ya wakenya kukata tamaa ya maisha na kuwaza kutoroka, imesababisha mkenya mmoja Jana kujificha katika eneo la gurudumu la ndege ya KQ ili aweze kutoroka Kenya, bahati mbaya amefariki kabla ya kutimiza lengo lake.
Hehehe

 
Kwa East Africa hakuna watu goi goi kama nyie Watanzania
 
Tanzania na sisi ndio tunanukia huko huko.
Tunafaa kutia nywele zetu maji.
 
Ya Tanzania ni tukia while ya Kenya is urafiti, so which is one is real between the two.
Soma link niliyoweka, " Title" imeanza na neno "utafiti". Unakumbuka mchana nilikupuuza kutokana na tabia yako ya kukurupuka kujibu au kuuliza kitu bila kujipa muda wa kufahamu jambo unalolizungumza?.

Hujasoma huu Uzi inazungumzia nini, wewe unakurupuka kuweka comments, au hujui maana ya neno utafiti?.
 
Ugumu wa maisha...khaa!!!mbna tubakaririshwa hapa km maisha kwao ni mazuri...duh!!kwel leo nimeamini ile link ya tz kuwa kwenye denial
Kama kawaida yako, kichwani hamna kitu. Unajua maana ya utafiti na tukio?
 
Ni kweli, hakuna kilichojificha hapo, na population ya watu inavozid kuwa juu ndio tatizo maana mahitaji hayajitoshelezi.
Ugumu wa maisha...khaa!!!mbna tubakaririshwa hapa km maisha kwao ni mazuri...duh!!kwel leo nimeamini ile link ya tz kuwa kwenye denial
 
Soma link niliyoweka, " Title" imeanza na neno "utafiti". Unakumbuka mchana nilikupuuza kutokana na tabia yako ya kukurupuka kujibu au kuuliza kitu bila kujipa muda wa kufahamu jambo unalolizungumza?.

Hujasoma huu Uzi inazungumzia nini, wewe unakurupuka kuweka comments, au hujui maana ya neno utafiti?.
Those your stories I don't I want to hear, all I know is that we we hupendi ukweli.
 
Those your stories I don't I want to hear, all I know is that we we hupendi ukweli.
Uwe unasoma Uzi unazungumza nini kabla ya kujibu kama unataka kuwepo na discussion ya maana. Mimi nimeweka link ya utafiti uliofanyika huko Kenya, wewe unaniwekea screenshot ya mtu aliydjinyonga. Kweli kwa akili yako unataka tulinganishe matokeo ya utafiti na tukio la mtu mmoja kujinyonga?, na huo ndio unaoita ni ukweli. Unless uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo sana.
 
Kweli maisha ya kenya yako juu hiyo bei ya unga noma
Screenshot_2019-07-04-13-05-04.png
una uhakika... Kila unga na Bei yake.
 
Aisee, ikifikia mtu anaona bora kufa kuliko kuishi nchini mwake, basi jua hali imefikia kiasi cha kutovumilika. Hali hii ilijitokeza sana hapa Tanzania mwanzoni mwa miaka ya 80s, vijana wengi walikua wanajificha katika meli ili waende Ulaya, wengi walitupwa na kufa baharini.
[emoji116]
Screenshot_20190704-214846.jpeg
 
Back
Top Bottom