Utafiti; Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha

Tunaunganisha na matukio kabisa...ndio itakua vyema...
 
WaTzed wengi wamekata tamaa ya maisha ,ukosefu wa kazi ,umaskini na gharama ya maisha imepanda juu sana .Hali hii imesababisha WaTzed wengi kugeukia uchawi na kuwachinja albinos wengi ili kupata utajiri .Wengi pia wamehamia Kenya kuuza mali ndogo ndogo na kufanya omba omba mtaani.
 
Hahahaha, kwisha habari yenu, mumebaki kupiga domo tupu. " No research, No right to speak". Uhuru kesho anakuja kupiga magoti ili aongezewe chakula msiendelee kufa njaa.
 
Wewe wale vifaranga ilikuwa ni mali ya mtanzania si Mkenya
 
Vifaranga ilikuwa ni mali ya mtanzania na ng'ombe wenyewe walikimbia so unafikiri polisi wangeendelea kuwafuga?
Lengo la maswali yangu ni kutaka tutafute tatizo lipo wapi Kati ya Kenya na Tanzania katika uchomaji wa vifaranga, na wale Ng'ombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…