Utafiti wako umegundua nini hapa JF?

Pia nimegundua Me wa jf wanajua Ke wa jf wote tunatoka dunia ya peke yetu yaani tuna sura zetu na maumbo yetu ni ya peke yetu hatufanani na walioko nje ya jf. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapo makosa mnayo nyinyi watoto wa kike na baadhi yetu sisi wanaume tusio fikiri kiundani.

Navy amini mimi ni kuwa watoto wa kike wa jamii forum ndio hawa hawa wa kitaa.
 
Nimegundua ule uzi wa madiaspora wengi wao wanakaa Tandale na mbagala km na mburahat.
 
Nimendua jf ni kila kitu,either kibaya au kizuri.Ukiamua kuelimika unaelimika,ukiamua kucheka unacheka,ukiamua kuharibu unaharibu...ila kila mtu humu ana mawazo na akili zake,fake or real,ni juu ya msomaji kuchambua pumba na mchele...pia nimemkumbuka JK,'za kuambiwa changanya na za kwako', mwisho Zitto 'weka akiba ya maneno',jf ukiwa msahaulifu unaumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…