Hahahaaaa. Jamaani rafiki.
Najiuliza na kuzurura kote mjini sjawah hata kwa bahati mbaya kuwafuma. Nyinyi ni akina nani? [emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaaaa. Jamaani rafiki.
Hahahaaaa. Ndio hapo sasa na hii ndio chachu inayofanya mtufikirie kuwa sisi ni wanawake wa kipekeee.Najiuliza na kuzurura kote mjini sjawah hata kwa bahati mbaya kuwafuma. Nyinyi ni akina nani? [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimegundua revolution ya wadada kuanza kuweka picha zao halisi nusunusu za sehemu ya miili yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nyie hivyo hivyo ila kuna kauniqueness flan ivi rafiki. Mnakuwa tofautHahahaaaa. Ndio hapo sasa na hii ndio chachu inayofanya mtufikirie kuwa sisi ni wanawake wa kipekeee.
Ila umeniwazisha ujue rafiki mie pia kuzunguka kwangu kote sijawahi gongana na Me anaperuzi jf aiseeee. Sa sijui tunajifungiaga wapi saa ya kuperuzi jf yetu. [emoji23]
Japokuwa mie naonaga nyie ni wanaume kama hawa wa huku kitaa.
Naona utaki shida, pm umetia kufuli nashindwa kukufikia.. Fanya kuni pm basi nipate acces kuongeaHahahaaaa. Duuuh.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Moderator endeleeni kumpga ban huyu lofa huwa anapost pumba tu na limiwani lake km fundi mchomelea vyumaNimebaini kwamba mods wanapenda kunipiga sana BAN ndani ya mwezi nimepigwa ban 3
mashahidi ni
Hajar
Mshana Jr
Madame B
Mchawi Mkuu
HahahahaahahahaModerator endeleeni kumpga ban huyu lofa huwa anapost pumba tu na limiwani lake km fundi mchomelea vyuma
Ndio nini sasa? ππSisemi
Naogopa BAN mamaNdio nini sasa? ππ
Nimeona notification kwamba ulinimention nikaja fasta nafika kumbe usha edit lol.
Hahahaaaa. Sawa Karim.Naogopa BAN mama
dah nimecheka sanaModerator endeleeni kumpga ban huyu lofa huwa anapost pumba tu na limiwani lake km fundi mchomelea vyuma
mkuu mvua huko kwenu mvua zinanyesha?Sisemi