Utafiti: Wana JF na Avatar zao

mleta ulichoongea ni fanya kinyume chake!
rejea ule msemo "kizuri chajiuza kibaya chajitembeza"
 
Huu utafiti una ukweli mkubwa sana japo wapo ambao hawafanani na jina wala avatar zao narudia tena ni wachache wengi wetu ni uhalisia kabisa wa jinsi tulivo. Ovar
 
Mpaka muachiwe mfike huko ndio muonane mkuu au unategemea teuzi za jiwe?
Kama ambavyo mimi ni mtoto, sio?

Uko sahihi kabisa, soon ntamaliza darasa la saba B shule ya msingi Mtakuja.

Asante Anko Magu kutuletea laputopu sisi wanaKayumba. Mnaosoma St. Mtakatifu academy Mungu anawaona, tutakutana kwenye bodi ya mikopo.
 
Kupitia avator yangu naona hujanijumuisha mkuu au nusubiri awamu ya pili?
 
Kama ambavyo mimi ni mtoto, sio?

Uko sahihi kabisa, soon ntamaliza darasa la saba B shule ya msingi Mtakuja.

Asante Anko Magu kutuletea laputopu sisi wanaKayumba. Mnaosoma St. Mtakatifu academy Mungu anawaona, tutakutana kwenye bodi ya mikopo.
Hahaha [emoji316][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…