Utafiti: Wana JF na Avatar zao

ha

hh ahah ahaaaa,umenifanya nicheke tu,huwa natumia products za apple tu mkuu,kuanzia pc simu na ipad pia...period!
Kwahiyo umeona jinsi gani huu utafiti ulivyo karibu na ukweli eenh?
 
Ila kasinde bwana daa!unapenda ujana wakati umezeeka.Na huko tabora kwenu ni sehemu gn? Bachu,Ipuli,cheyo,mwinyi,Isevya,Kiloleni,Ng'ambo,Tumbi,ama????
 
Ila kasinde bwana daa!unapenda ujana wakati umezeeka.Na huko tabora kwenu ni sehemu gn? Bachu,Ipuli,cheyo,mwinyi,Isevya,Kiloleni,Ng'ambo,Tumbi,ama????

Subiri ufike umri wangu ndo useme haya.

Hujamaliza kuitaja Tabora yote endelea nikiona umepataja kwetu ntakwambia
 
Eti kwa mfano wewe tutaamini avatar ipi sasa kama huu utafiti siyo uongo?
I think, kuna mambo mengi ya kihisia au kisaikolojia au ushabiki yanayopelekea mtu kuweka avatar Fulani..
i.e unampenda mtu/kitu hicho na unapenda kua/kuishi kama yeye au kukipata kitu hicho au kuishi sehemu hiyo. Mwengine anapenda watoto basi ataweka pic ya mtoto, mwingine anapenda science basi utaona kaweka sayari fulani au pic ya DNA (yote hayo ni hisia)

Unaipenda brand/team/label flani na unaichukia ya upinzani wake (ushabiki)

Kwa upande wa kisaikolojia mleta mada kaizungumzia vzur
 
Umeeleweka mkuu!
 
Naona mwaka huu umenza kwa kasi na tafiti km za twaweza! Bla bla nyingiiii
 
Naunga mkono huu utafiti kwa asilimia fulani una kaukweli.
Ukichukulia maadili ya members na avatar zao, zinakupa picha ya mhusika halisi!!
Wengine kina Lizabon unaamua kuwapisha na misimamo yao ya kihafidhina!!
 
Naunga mkono huu utafiti kwa asilimia fulani una kaukweli.
Ukichukulia maadili ya members na avatar zao, zinakupa picha ya mhusika halisi!!
Wengine kina Lizabon unaamua kuwapisha na misimamo yao ya kihafidhina!!
Methodology na derived instruments zilizotumika katika utafiti huu mkuu ni unique na una percentage ndogo sana wa kuwa criticised. Shukran mkuu.
 
Hebu nambie....mimi ni mtu wa aina gani kwa mujibu wa avatar yangu?
Huyo dogo mwenyewe yuko serious, lakini smart means unapenda kuwa serious katika issue za msingi ndio maana ukampenda huyo mtoto aliye hivyo. Lakini vilevile unaamini kuwa ulipokuwa mtoto ulikuwa "smart" kwa ulinganifu wako. Utafiti unaonyesha kuwa watu wa namna hii wana maintain tabia zao hata ukubwani, smart boy/girl.

Lakini pia picha ya mtoto si kwamba unapenda watoto, ila kuna wakati unaweza ku-behave kufanya masihara kama ya mtoto kwenye non critical issues.

Kwa hakika kwa set-up nilizotumia kuna tafsiri nyingi sana ila wacha niishie hapo isije kuonekana naingilia fani za mshana jr
 
Jambo moja kuhusu mimi....napenda sana watoto.

I have a soft spot for them.

So hapo umekosea. But no big deal.

Ngabu loves the kids[emoji133]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…