Utafiti: Wana JF na Avatar zao

Sasa mkuu sisi ambao hatujaweka ovatar unatuweka kenye kundi lipi
 
Jambo moja kuhusu mimi....napenda sana watoto.

I have a soft spot for them.

So hapo umekosea. But no big deal.

Ngabu loves the kids[emoji133]
Hahaaa, kwa hiyo analysis nimekosea lakini naona utafiti kwa ujumla wake naona bado unakubaliana na dhana ya avatar.

I like it!
 
Hahaaa, kwa hiyo analysis nimekosea lakini naona utafiti kwa ujumla wake naona bado unakubaliana na dhana ya avatar.

I like it!
Nah..nakubaliana nayo kwa kiasi kidogo sana aisee.

Si zaidi hata ya asilimia 10.

Na hiyo ni kwa sababu kila mtu anaweka picha kwa sababu zake anazozijua mwenyewe.

Sasa unless labda mwenyewe akwambie kuwa hiyo avatar alonayo inamaanisha au inawakilisha nini, wewe huwezi kujua.

Na kwa vile huwezi kujua basi utaishia kukisia na kusadiki tu.

Sababu za mimi kuiweka hiyo avatar hujagusia hata moja kwenye hiyo analysis yako.

Kwa hiyo mkataa [verdict] hapo ni kwamba, si lazima avatar awekayo mtu iwe inamuakisi huyo mtu.

Mtu anaweza tu kuweka avatar kwa sababu labda inampendeza tu machoni mwake, basi.
 
Nakubaliana na utafiti wako kwa 75%
Na nyongeza ID anayotumia mtu inaendana kwa kiasi kikubwa na maisha yake halisi au vile alivyo.
Nadhani hili suala la ID na Avatar lipo kisaikolojia zaidi.
We fanya kwanza utafiti halafu ndiyo uje na conclussion hapo nahisi unekubaliana naye may b labda nawe kakugusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…