Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa Sumu tukwa wanaume wenye madeni je, nini kinaweza kuwasaidia?
sitaki kufa kwa sababu ya deni, nataka dawa ya kuniliwaza nipunguze msongo!!Kunywa Sumu tu
Dawa ya deni kulipa au kufa chagua mojasitaki kufa kwa sababu ya deni, nataka dawa ya kuniliwaza nipunguze msongo!!
Madeni huja na stress zenye pressure kali sana hususani ukiwa na mdeni mgomvi afu mlevikwa wanaume wenye madeni je, nini kinaweza kuwasaidia?
tatizo nikipata hela roho inagoma kulipa, natumia kwa mambo mengine - afu nakopa kwingine tena.Dawa ya deni kulipa au kufa chagua moja