UTAFITI WANGU: Utakachomsimulia mpenzi wako mwanzoni penzi lenu linapokuwa jipya ndio maneno atakayokurushia siku mtakapokwaruzana

Daah kuropoka issue zako kwenye penzi jipya kuna mawil either uonekane shujaa au kilaza..kuna li demu nilianza nalo ila kwa story zake nikajua hili maharage ya mbeya..be careful unachoongea kwa mpz mpya inaweza kiwa fimbo ya kukuchapa mwenyewe baadae..any way hio dem nililitosa mapema sana..jitu kusoma chuo corse ya miaka 2 ushagongwa na wana kama 6 kuna nn hapo
 
Mbona kawaida sana. Mimi kila baada ya miezi 2 napigwa pumbu na bwana mpya.
 
Bado unagonga wanafunzi wa secondary au umeacha?
 
Dogo badili avatar yako imekaa kihuni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…