Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #161
Ndio inavyokuwaga mkuu. Wahenga walisemaga mapenzi upofu.Shida kubwa unapopenda mara nyingi inakuwa ni kutoka ndani ya moyo wako (deepest part of your heart),kwahiyo unajikuta tu ni mkweli ili kulithibitisha lile penzi lako kuwa sio la uongo,na ukiona unaongea uongo au kuficha ficha vitu utajiona kuwa hauko huru na huyo mpenzi,utakuwa unajihisi hautendei haki penzi lako...
Mimi hapana ila nakumbuka X wangu nilimwambia atakuja olewa na libabu tena ligane kutokana na alichobitendea.....Zaid ya Mara 4. Wanaume tunajisahau sana kipind tunafuraha na cwrthrt zetu.Unajikuta unaongea yasiyoongeleka ,siku mkigombana anakumbushia..unajikuta unajilaumu na kuwa na hasira ila hamna cha kufanya.
Hahahahaaa daah huyo manzi ni noma sanaMimi hapana ila nakumbuka X wangu nilimwambia atakuja olewa na libabu tena ligane kutokana na alichobitendea.....
Bana bana si akaolewa na jamaa wanawaiita ma handsameboy zaidi yangu.... Akanipigia simu kunishushua et Lana yangu haijafanya kazi🤣🤣🤣
Bila Rais Samia na JPM kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilioneaRais Samia anafanya kazi kubwa saaaana huyu kipenzi chetu
Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloniBila Rais Samia na JPM kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilionea
Rais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwaRais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloni
Shauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kuraRais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tuShauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kura
Rais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tu
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.Rais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.
CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.
Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.
Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.
Hakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.
Samia ndio mwamba na vijana wanamuita mama laoHakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.
Wageni karibuni Tanzania chini ya Mzalendo Samia.Samia ndio mwamba na vijana wanamuita mama lao
Kwa hii CCM ya mama Samia, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98% ifikapo 2025.Wageni karibuni Tanzania chini ya Mzalendo Samia.
Akiiona hii comment [emoji23][emoji23]Mimi mume wangu ana jamba kama gari la takataka. Aisee nitaomba talaka mahakamani soon
Rais Samia hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa yule mama Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu.Kwa hii CCM ya mama Samia, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98% ifikapo 2025.
Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.Rais Samia hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa yule mama Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu.