UTAFITI WANGU: Utakachomsimulia mpenzi wako mwanzoni penzi lenu linapokuwa jipya ndio maneno atakayokurushia siku mtakapokwaruzana

UTAFITI WANGU: Utakachomsimulia mpenzi wako mwanzoni penzi lenu linapokuwa jipya ndio maneno atakayokurushia siku mtakapokwaruzana

Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa CHADEMA mwaka jana walijuta sana.
 
Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa CHADEMA mwaka jana walijuta sana.
Rais Samia ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
 
Kinaco niokoa mimi ni masihara yangu hata nikitoa siri wakati mwingine wanajua ni masihara hata wakiiitumia kunisema nachekaaa sana kiasi cha kumfanya mhusika kuona ni mwendelezo wa masihara.

Nimewahi kwaruzana na mpz wangu,akataka nijazia nzi vile anapayuka kunisema mimi nashangilia sana hadi alitulia mwenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi hapana ila nakumbuka X wangu nilimwambia atakuja olewa na libabu tena ligane kutokana na alichobitendea.....

Bana bana si akaolewa na jamaa wanawaiita ma handsameboy zaidi yangu.... Akanipigia simu kunishushua et Lana yangu haijafanya kazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.
Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.
 
Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
 
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
 
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.
 
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.
 
Back
Top Bottom