Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Tatizo kuomba kumezidi jamaniWanawake iwe huku au mitaani sema wanaume wahuku wamezidi sana wanaona wanawake ni malaya sana yaani mnatuona huku siso hatuna dira yaani tunategemea tu kutumiwa nakupewa hela nanyie.
Sina uwakika kama kila mtu hana kazi sijui aisee yaani kuna mtu kweli anawategemea kwa kila kitu kweli tuambizane .
Kwangu sina mtu ambaye namtegemea humu hadi tuonekane wacheap hivyo mie imenikera sana sio siri.è
Yaani sisi wanawake ndio tunaomba sana hela kwa wakakaTatizo kuomba kumezidi jamani
Asiee wee utakuwa mwanamke mzuri sana yaani jamaa imebidi wasimamiahe gariNimekutana na matukio kama hayo matukio hayo mara nyingi yaani mtu anakuona kama hoe,Sina shida ndogondogo kiukweli wananikwaza na Huwa nawafurahisha wakati mwingine.
Mf. 1 anatoa simu yake umpe namba anaweka na Hela juu kwangu it's big NO.
Mf. 2 ninapokula lunch navuka barabara kwenda next side it's a walking distance Kuna siku Alphard ikasimama Kuna jamaa mmoja anaendesha mwingine yupo Siti ya abiria, yule wa Siti ya abiria akashuka ananiambia Mimi panda na mwingine anachangia yaani walinikwaza do they think am cheap to that extent.
Hiyo ni kdg Tu ninamengi ya kuhadithia.
Wengine sio cheap hivyo, baadhi yetu wapo kwa ajili yenu ambao mtaenda nao kwa pigo hizo.
Ni kweli kabisa huongei uongoNimekutana na matukio kama hayo matukio hayo mara nyingi yaani mtu anakuona kama hoe,Sina shida ndogondogo kiukweli wananikwaza na Huwa nawafurahisha wakati mwingine.
Mf. 1 anatoa simu yake umpe namba anaweka na Hela juu kwangu it's big NO.
Mf. 2 ninapokula lunch navuka barabara kwenda next side it's a walking distance Kuna siku Alphard ikasimama Kuna jamaa mmoja anaendesha mwingine yupo Siti ya abiria, yule wa Siti ya abiria akashuka ananiambia Mimi panda na mwingine anachangia yaani walinikwaza do they think am cheap to that extent.
Hiyo ni kdg Tu ninamengi ya kuhadithia.
Wengine sio cheap hivyo, baadhi yetu wapo kwa ajili yenu ambao mtaenda nao kwa pigo hizo.
Wewe ndiye uliyeandika ule uzi umeshindwa kula mzigo mwanamke wako kisa huyo mwanamke ananuka uchi..Hauna wema wowote,usingekuja kumwanika huku online,badala yake ungempeleka hospitalPole sana Kuna watu wanaume ni wabaya sana, Ila sio wote tupo wema wachache
Punguzeni vizinga dada zanguYaani sisi wanawake ndio tunaomba sana hela kwa wakaka
Sio wote badhii ila sio muone wabaya napia unavyomoona ukimuheshimu mwanamke hakichuni walahiYaani wanatupiga vibomu mpaka tunaohopa kupata text toka kwa demu...tena akianza tuu na nimekumiss...tayari unajua hapa mzinga unafuata
Mtu hadi ukwame ndio useme ila sijui kwa wengine naunakuta ni mara moja sanaPunguzeni vizinga dada zangu
Unajua kadiri unavyoomba omba pesa ndivyo mwanamume anakuchukulia kama malaya
Anakupelekea moto kisha anasepa
Unabaki kusema ameishia kukuchezea unasahau kumbe na wewe umechezea sana pesa zake
Wengine ni wafanyakazi na wana mishahara yao lakini bado anataka pesa ya mwanamume.Yaani wanatupiga vibomu mpaka tunaohopa kupata text toka kwa demu...tena akianza tuu na nimekumiss...tayari unajua hapa mzinga unafuata
Hapana anataka mtu tu akupimeWengine ni wafanyakazi na wana mishahara yao lakini bado anataka pesa ya mwanamume.
Dada zangu mna pepo la kupenda pesa si bure
Kwa hiyo sisi wanaume ndo hatukwami? Nafikiri Unique Flower hiko ni kisingizio tu cha kutupiga mizingaMtu hadi ukwame ndio useme ila sijui kwa wengine naunakuta ni mara moja sana
Hatari mwanawane...acha tuu ndio maana watu wakitumia pesa wanaishia kula na kusepaWengine ni wafanyakazi na wana mishahara yao lakini bado anataka pesa ya mwanamume.
Dada zangu mna pepo la kupenda pesa si bure
Kwanini usisaidie mtu kwani utapungukiwa nanani??Kwa hiyo sisi wanaume ndo hatukwami? Nafikiri Unique Flower hiko ni kisingizio tu cha kutupiga mizinga