Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wanawake iwe huku au mitaani sema wanaume wahuku wamezidi sana wanaona wanawake ni malaya sana yaani mnatuona huku siso hatuna dira yaani tunategemea tu kutumiwa nakupewa hela nanyie.
Sina uwakika kama kila mtu hana kazi sijui aisee yaani kuna mtu kweli anawategemea kwa kila kitu kweli tuambizane .
Kwangu sina mtu ambaye namtegemea humu hadi tuonekane wacheap hivyo mie imenikera sana sio siri.è
Sina uwakika kama kila mtu hana kazi sijui aisee yaani kuna mtu kweli anawategemea kwa kila kitu kweli tuambizane .
Kwangu sina mtu ambaye namtegemea humu hadi tuonekane wacheap hivyo mie imenikera sana sio siri.è