Utafiti wangu

Oh okay, cool down, endelea na Maisha yako, wewe ndio unajua ukweli na you don't have to justify anything to anyone.
 
Utakuwa na shape inayovutia mkuu, siku moja tumekaa na jamaa yangu sehemu inaitwa six kule madale, akapita binti mmoja kweli alikuwa mrembo wa kutizama, wote tulimtizama, akawa anapita mtu yupo kwa Noah/alphard (sikumbuki vizuri), uzalendo ulimshinda mwamba kasimamisha ndinga nadhani alijaribu kumshawishi bidada apande ila ushawishi ulimshinda. Yule binti alikataa, so wakati mwingine ni urembo, shape na aina ya mavazi mnayotupia yanatushawishi tunashindwa kuvumilia.
 
Mambo ni moto aseeeh,

Lakini kwanini ikuume mtu kukudhania ambavyo wewe unaamini sivyo?, Kama wewe unaamini sio malaya, basi prove him wrong na ajione kakosea na maisha yaende. Ukishindwa kufanya hivyo basi wewe ni malaya au umejiweka ki-malaya.
 
My Flower sio wote wapo wanawake wanaendekeza njaa hata kama wewe ungekuwe me ungesema hakika sio wote.
 
My dia mpo mnaojishimu na hamuendekezi njaa ila wapo wanaoharibu hiyo image ya ki a dada na mama zetu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo ya mzabzab

Hii ni nzuri mambo hayawi mengi. Maana zile za kutuma na ya kutolea wana wanachunwa sana halafu mbususu wanapewa kwa taabu na sio kwa wakati.
Ukiwa nice guy,
Afu ukawekwa friend zone
Mbususu Unaweza usipewe kabisa[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…