Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini lazima tukubiane kuwa hakuna huduma ya bure lazima mlipieHaii lazima muhudumie
Oh okay, cool down, endelea na Maisha yako, wewe ndio unajua ukweli na you don't have to justify anything to anyone.Wanawake iwe huku au mitaani sema wanaume wahuku wamezidi sana wanaona wanawake ni malaya sana yaani mnatuona huku siso hatuna dira yaani tunategemea tu kutumiwa nakupewa hela nanyie.
Sina uwakika kama kila mtu hana kazi sijui aisee yaani kuna mtu kweli anawategemea kwa kila kitu kweli tuambizane .
Kwangu sina mtu ambaye namtegemea humu hadi tuonekane wacheap hivyo mie imenikera sana sio siri.è
Utakuwa na shape inayovutia mkuu, siku moja tumekaa na jamaa yangu sehemu inaitwa six kule madale, akapita binti mmoja kweli alikuwa mrembo wa kutizama, wote tulimtizama, akawa anapita mtu yupo kwa Noah/alphard (sikumbuki vizuri), uzalendo ulimshinda mwamba kasimamisha ndinga nadhani alijaribu kumshawishi bidada apande ila ushawishi ulimshinda. Yule binti alikataa, so wakati mwingine ni urembo, shape na aina ya mavazi mnayotupia yanatushawishi tunashindwa kuvumilia.Nimekutana na matukio kama hayo matukio hayo mara nyingi yaani mtu anakuona kama hoe,Sina shida ndogondogo kiukweli wananikwaza na Huwa nawafurahisha wakati mwingine.
Mf. 1 anatoa simu yake umpe namba anaweka na Hela juu kwangu it's big NO.
Mf. 2 ninapokula lunch navuka barabara kwenda next side it's a walking distance Kuna siku Alphard ikasimama Kuna jamaa mmoja anaendesha mwingine yupo Siti ya abiria, yule wa Siti ya abiria akashuka ananiambia Mimi panda na mwingine anachangia yaani walinikwaza do they think am cheap to that extent.
Hiyo ni kdg Tu ninamengi ya kuhadithia.
Wengine sio cheap hivyo, baadhi yetu wapo kwa ajili yenu ambao mtaenda nao kwa pigo hizo.
My Flower sio wote wapo wanawake wanaendekeza njaa hata kama wewe ungekuwe me ungesema hakika sio wote.Wanawake iwe huku au mitaani sema wanaume wahuku wamezidi sana wanaona wanawake ni malaya sana yaani mnatuona huku siso hatuna dira yaani tunategemea tu kutumiwa nakupewa hela nanyie.
Sina uwakika kama kila mtu hana kazi sijui aisee yaani kuna mtu kweli anawategemea kwa kila kitu kweli tuambizane .
Kwangu sina mtu ambaye namtegemea humu hadi tuonekane wacheap hivyo mie imenikera sana sio siri.è
My dia mpo mnaojishimu na hamuendekezi njaa ila wapo wanaoharibu hiyo image ya ki a dada na mama zetu.Nimekutana na matukio kama hayo matukio hayo mara nyingi yaani mtu anakuona kama hoe,Sina shida ndogondogo kiukweli wananikwaza na Huwa nawafurahisha wakati mwingine.
Mf. 1 anatoa simu yake umpe namba anaweka na Hela juu kwangu it's big NO.
Mf. 2 ninapokula lunch navuka barabara kwenda next side it's a walking distance Kuna siku Alphard ikasimama Kuna jamaa mmoja anaendesha mwingine yupo Siti ya abiria, yule wa Siti ya abiria akashuka ananiambia Mimi panda na mwingine anachangia yaani walinikwaza do they think am cheap to that extent.
Hiyo ni kdg Tu ninamengi ya kuhadithia.
Wengine sio cheap hivyo, baadhi yetu wapo kwa ajili yenu ambao mtaenda nao kwa pigo hizo.
Am sorryLione kwanza unakera sana
Ukiwa nice guy,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo ya mzabzab
Hii ni nzuri mambo hayawi mengi. Maana zile za kutuma na ya kutolea wana wanachunwa sana halafu mbususu wanapewa kwa taabu na sio kwa wakati.
Hahahaa amini kaka. Yaani hawa viumbe inabidi uende nao kibad boy la sivyo ukiwekwa friend zone atakuwa anakukanyagia tuUkiwa nice guy,
Afu ukawekwa friend zone
Mbususu Unaweza usipewe kabisa[emoji4]