Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mnataka kujua uwezo wa mtu wa kuonga?Hapana anataka mtu tu akupime
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka kujua uwezo wa mtu wa kuonga?Hapana anataka mtu tu akupime
Ndo kilichobaki kwa hiyo wao wenyewe wamejiweka kama malayaHatari mwanawane...acha tuu ndio maana watu wakitumia pesa wanaishia kula na kusepa
Ndio ukweli wenyeweNdo kilichobaki kwa hiyo wao wenyewe wamejiweka kama malaya
Shida zenu huwa haziishi. Leo demu anakupa namba leoleo anaanza kukutext shida zake. Mwendo ni huohuo mpaka siku mnaachana unakuwa umeutua mzigoKwanini usisaidie mtu kwani utapungukiwa nanani??
Ndio maana siku hizi kuna wana wamekuja na kautaratibu cha njoo uifuate pesa geto au guestNdio ukweli wenyewe
😳🚴🚴Pole sana Kuna watu wanaume ni wabaya sana, Ila sio wote tupo wema wachache
Wema tupo kweli mkuu.Pole sana Kuna watu wanaume ni wabaya sana, Ila sio wote tupo wema wachache
Wengine Tuna mikopoWengine ni wafanyakazi na wana mishahara yao lakini bado anataka pesa ya mwanamume.
Dada zangu mna pepo la kupenda pesa si bure
Mikopo ipi tena jamani? Mtatumaliza nyie viumbe hamuishiwagi sababu za kutafuna pesa zetuWengine Tuna mikopo
Mikopo ya nini tena jamaniWengine Tuna mikopo
Mmh embu nipe hadithi kuna nini hasa kimetokeaNahitaji msaada wahawa watu humu
Nimechoka aisee hadi mikopo tunailipa kupitia vizingaMikopo ya nini tena jamani
Alafu ubaya wao wanakuja na gea ya eti nitakopa nitakurudishia....mwee hawarudishi ng'ooNimechoka aisee hadi mikopo tunailipa kupitia vizinga
🤣🤣🤣 ukikompesha pesa mwanamke wewe toa tu kama msaada. Kuna nyuzi humu za wanaume wanalalamika wamewakopesha wapenzi wao kilochowakutaAlafu ubaya wao wanakuja na gea ya eti nitakopa nitakurudishia....mwee hawarudishi ng'oo
Kuna iyo moja ilikua inaniambia nikikwambia kitu utakubali nijibu basi...Yaani wanatupiga vibomu mpaka tunaohopa kupata text toka kwa demu...tena akianza tuu na nimekumiss...tayari unajua hapa mzinga unafuata
Mtego huoKuna iyo moja ilikua inaniambia nikikwambia kitu utakubali nijibu basi...
Mnanivamia mie wakike mwenyewe waje wengine basi nao humuMmh embu nipe hadithi kuna nini hasa kimetokea